Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakae wajue nguvu iliyomweka magufuli 2015 kuwa rais ndio iliyo mpa jeuri willbroad slaa dhidi ya kikwete[emoji7], na bado ipo sana, makaisari wa namuona tu, akiboronga ataletewa mtu 2025, sasa jidanganyeni akishupaza shingo itavunjwa, hata kwa chadema yenu atapewa mtu nchi kwa miaka 5 tu, ili tuheshimiane, nawaibia tena, ile kanda muiache kama ilivyo ndio inaamua nchi iende kwa nani, mkae mtulie kabisa msiwaone wajinga.2025 ni patamu, wapinzani wakijipanfa vizuri watachukua nchi, endapo mama atatelekeza miradi ya JPM
Umeona sasa mkuu, wapumbavu sanaUnakuta watu wanajiongelesha na kujifanya wana maono sana wakati hawajui lolote kuhusu uongozi hata shuleni hawakuwahi kua viranja, halafu wanabetua mabega juu kumshauri rais eti atakwamishwa na waziri mkuu,
Pathetic.
Subiri basi huo muda badala ya kuwamsoma nyota za unajimuEndelea ila jua kuwa hilo kundi lenu linajulikana na muda ndiyo utaamua hatima yenu
Kumbe ni nini? Yeye ni mgombea binafsi au?Ilani ya chama siyo vision ya rais.
Rais hajawahi sema haifai, ninyi ndiyo mnatamani aseme hivyo...Kitakacho m judge kwa wananchi ni ilani aliyoinadi kwenye campaign ndiyo mkataba wa uchaguzi tulioufanya, na yeye alikuwa mgombea mwenza. Msimpotoshe Rais...Wanaomuwekea rais mazingira magumu ni CCM wenyewe wakiwemo wabunge wanaomlazimisha afuate ya marehemu hata kama yalikuwa hayafai.
Sisomi nyota manaa mnajulikana msijidanganye kuwa hamjulikani.Subiri basi huo muda badala ya kumsoma nyota za unajimu
Nikupe address yangu uje kunisalimia? Unafikiri mimi sijulikani? Najulikana na ni mtanzania wala si mkimbizi...Uje tupeane moja mbiliSisomi nyota manaa mnajulikana msijidanganye kuwa hamjulikani.
Muda utasema
sema walane vichwa maana nahisi wanajuana nawanalina timing au wakubaline wale wote ama tukose wote hizo siku zote ni game za kisiasa ila wanaoitwabwanyonge hula mabaki tu lakini mambo yakichacha wanyonge ndio hula maumivu yoteKuna sukuma gang ikiongozwa na PM inataka kumnyaua maza nini!!?
Ila hawa jamaa wapo chini chini lkn ni kama wana kanguvu flani hv aise sio wa kuwapuuza hata kidogo ni kuwala vichwa tuu
Yeye anaweza akawa CCM lakini asiwe na sifa za kupenda kusifiwa, asiwe na sifa za kucheza na jukwaa, asiwe na sifa za kumkomoa mtu, asiwe na sifa za roho mbaya nk
Inaomekana ulishiriki kujaribu kumuua mh LissuNikupe address yangu uje kunisalimia? Unafikiri mimi sijulikani? Najulikana na ni mtanzania wala si mkimbizi...Uje tupeane moja mbili
Kwahiyo unaogopa?Inaomekana ulishiriki kujaribu kumuua mh Lissu
Siwezi kuongea na climinalKwahiyo unaogopa?
We si ulitaka kunifahamu? Nakukaribisha unanisingizia maovu?
Nimekrahisishia badala ya kuwa mnajimu njoo tuongee!
Daah pole, sasa nikusaidiaje?
Basi tulia kisha kafanye homework yako maana naona naongea na mtoto wa shule ya secondary ambaye hata herufi za maneno hajazielewa vyemaSiwezi kuongea na climinal
Katulie wewe kkkbBasi tulia kisha kafanye homework yako maana naona naongea na mtoto wa shule ya secondary ambaye hata herufi za maneno hajazielewa vyema
Hujui maana ya vision sema uelezwe.Kumbe ni nini? Yeye ni mgombea binafsi au?
Vile 4,000 mlivyokuwa mnatangaza mmejenga sio viwanda?Eti " serikali ya Magufuli ilikua ya viwanda lakini ikafeli" mnadhani viwanda ni gari unanunua tu na kukamilisha usajili? Unapoongelea viwanda kuna factors nyingi wawekezaji wanaangalia kabla ya kujenga viwanda. Ya kwanza kabisa ni amani na utulivu wa nchi
2) nishati ya umeme wa uhakika na bei rahisi
3) miundombinu ya barabara,reli, ndege, bandari nk
4) malighafi (raw materials)
5) cheap and competent labours
6) tax system ya nchi
Nk
Magufuli alianza na miundombinu ya umeme, tunashukuru pia Kikwete aliwekeza kwenye miundombinu ya barabara. Nchi ya viwanda inaandaliwa si chini ya miaka 20, it's not an overnight process, mzee Magufuli alikua na maono, weka reli, weka mabwawa ya umeme, tanua bandari ya dsm, tanga na Mtwara nk bahati mbaya kaondoka bila miradi kukamilika
Sasa huyu anayekuja aamue kama ataendelea au ataacha, mwisho wa siku serikali ni ileile ya CCM. Lakini tumpe credit yule mzee.. alikua na jicho pana
Unaniuliza mimi?Vile 4,000 mlivyokuwa mnatangaza mmejenga sio viwanda?