SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ndiyo maana Mungu aliingilia kati kuliponya Taifa letuTimu magufuli bwana wajinga sana mmechotwa kisaikolojiaa na mmechoteka.
Kibaya alicho fanya ambacho hadi sasa kunaliangamiza taifa ni kuwaaminisha wafuasi wake kuwa hakuna rais mwingine apaswaye kuabudiwa isipo kuwa MAGUFULI, hii ni legacy mbaya sana kwa taifa na ndiyo inayo litesa taifa kwa sasa kwani watu waliwekeza kwa mtu na sio taifa.
AmewekaKavideo tafadhari
Maana nyie huwa hamuaminiki kivileeee
Hawa unaowataja ndio walizungumza la maana tofauti na kundi la Spika Ndugai na wengine....Yaani Spika Ndugai anatamka bungeni kuwa eti JPM alishauriwa vibaya kuhusu bandari ya Bagamoyo...hata arobaini haijafika Spika anasema hivyo? Kwa hiyo Musukuma, kibajaj na Jah people kauli yao ni ya Watanzania wengi...Kibajaji, Jah people na Msukuma waipate hii
Yeah,maana angeweza kulikemea harakaNa Ndugai ndio kinara wao.
Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja, itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo. Nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa Samia amejua kuwa wahuni wa mitandaoni watampoteza na si wapiga kura , wapinga kura wametulia wana mzoom tu.
Unapompa Kibajaji dakika 15 za kuongea unategemea nini?!Yeah,maana angeweza kulikemea haraka
Haya ndo matatizo ya mimba changa. Uzi unasema vingine nawe unakurupuka huko na kichefuchefu chako, Mara Mbowe, Mara Lissu, Mara ...aaaagghhhhh!!! -matapishi hayo tena.Mbowe ,Lisu ,Nape chali tena
Na anajua pia kwamba wanamtandao wanaongoza bunge! Hakuna cha budget kule, wanachungulia madini tu humu, wanaenda kubishana huko!Huu ndio ukweli JPM legacy yake haiwezi kutolewa na mtu au kundi la watu hata siku moja, itachukua muda sana kufanya hvyo Samia mwenyewe anajua hilo. Nashangaa machawa na viherehere kuanza kuleta mgongano ambao hauna afya kwa Taifa Samia amejua kuwa wahuni wa mitandaoni watampoteza na si wapiga kura , wapinga kura wametulia wana mzoom tu.
Machadema yanajibebisha kwa mama sijui kwa faida gani?"Yeye na Magufuli ni kitu kimoja"
Hii kauli ni ya kufungia mjadala Ila ukweli halisi anao yeye Mama.
Unapompa Kibajaji dakika 15 za kuongea unategemea nini?!
Kwani kusema hivyo ni kosa au kuna kanuni inayo taka mhalifu asisemwe kabla ya arobaini?Hawa unaowataja ndio walizungumza la maana tofauti na kundi la Spika Ndugai na wengine....Yaani Spika Ndugai anatamka bungeni kuwa eti JPM alishauriwa vibaya kuhusu bandari ya Bagamoyo...hata arobaini haijafika Spika anasema hivyo? Kwa hiyo Musukuma, kibajaj na Jah people kauli yao ni ya Watanzania wengi...
Zama za kusifu na kuabudu zimekwisha... Wale jamaa wa kijani bado hawaamini kuwa zama zimebadilika.
Uvumilivu umemshinda...Raisi kukemea wabunge wa chama chake inafikirisha.
CCM tangu lini inategemea kura za wapiga kura? CCM inacheza na tume ya uchaguzi.Japo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025