Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Rais Samia Suluhu alitaka Bunge kujadili Bajeti badala ya kumfananisha yeye na Hayati Magufuli

Anajirudi[emoji23][emoji23][emoji23].....mambo mengine bila technique kwisha
ila kiukweli kuna watu dunia hii mna NONGWA, WIVU, HILA, FITNA (WAGOMBANISHI), MAJUNGU, UHASAMA, CHUKI, HUSDA, SHAKA (KUJISHUKU), na pengina udini na ukabila KUPITA MAELEZO!!!

Kwahiyo mlitaka mama akujibuni nyie humu?!!! bila shaka alikuwa anasubiri chombo muhimu (chenye impact ya haraka kwake) kama bunge aone km nao wapo kama jf au la baada ya kuona nao wanakuwa members fulani wa jf ndipo alipoona ngoja aweke sawa jambo kabla hajachelewa.

ACHENI MAMBO YENU HAYA.
 
Mitandaoni ndo mambo yanaanzia huko kwani mtanzania akiwa na simu ,bando na account FB au Twitter anajifanya ni mchambuzi wa kisiasa na kiuchumi.
Mama kazungumzia mijadala ya wabunge wanayoifanya wakiwa bungeni hivi sasa. Wafanye yaliyowapeleke bungeni,waachane na kucheza ngoma za mitandaoni.
 
CCM tangu lini inategemea kura za wapiga kura? CCM inacheza na tume ya uchaguzi.
Muda unavyokwenda CCM itawalazimu kutegemea kura kwani dalili zipo wazi

1 Hakuna mtu ambae ni King pin kwa sasa alikuwa ni JPM na Mkapa ambao walikuwa na nguvu za kuogopeka leo Pole pole na Bashiru hana uwezo wa kumtisha mtu

2 Kama unaona Vyombo vya dola vinaanza kujipambanua dhidi ya ushawishi wa CCM na watu wanaotoka CCM leo hakuna mwana CCM ambae anaweza kumwambia chochote CDF au IGP alikuwa ni Mkapa na JPM tu

3 Serikali iliyopo sasa yani Mama anaonekana matumizi ya nguvu yatakuwa hakuna na bila matumizi ya nguvu CCM ni nyanya tu

Vipo viashiria ving ila muda ni mwalimu mzuri tuendelee kula mtori nyama zipo chini
 
Japo mama Kuna kipindi alikuwa kama anataka kuyumba naona wamemshika sikio kuwa hawezi kujitenga na JPM hata siku moja watu wanaona na kura za kanda ya ziwa zinaitajika sana mwaka 2025
Mkuu umetafsiri kulingana na kile unachokifurahia.Kiuhalisia sio unachomanisha wewe.
 
Nilileta uzi nikiwataka wabunge kujadili mambo ya msingi, MODS wakatembea nao juu kwa juu. Sasa hii imekaaje? Nidai fidia au mnasemaje wadau?
 
Hahahaaa.

Samia kanena. Kichwa cha mada ni nukuu toka mdomoni mwake.

“Mnalinganisha Magufuli na Samia. Hawa watu ni kitu hiki, kimoja”

Haya sasa. Now what..?

Dakika ya 1:25 - 1:145.



Actions speak louder than words:

Kweli mama na JPM ni mtu mmoja ndiyo maana watu kama kina bashiri wanapumulia mashine.

Mama kaza hapo hapo kina bashiri watakuwa wanaleta mrejesho mdogo mdogo.

Wewe na mwendazake ni mtu yule yule.
 
Ila alianza kama kulalamika,kuwa amekuwa Rais bila kupigiwa kura.... Mzee wa kuwashwa washwa sijui hali yake huko aliko. Tumwona mzee ruksa akimtembelea mama; team Msoga hatujaona
 
Mama keshasema acheni kudengemka yaani msikate viuno huko bungeni jadilini hoja zenye mashiko kwa taifa.
Na kuna wabunge wa darasa la saba ndio wanaongoza kwa kukata viuno badala ya hoja ndani ya bunge.
Kibajaji nadhani umesikia acha kukata mauno jadili hoja za maana juu ya jimbo lako sio unakata viuno bila sababu yoyote wabunge acheni kudengemka
 
HAKUNA KITU KILINISIKITISHA KAMA KUONA NAMNA VILE VYOMBO VYA JIKONI VILIVYOPASUKA WAKATI MELI YA TITANIC INAZAMA
 
Back
Top Bottom