Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

Misaada ya wazungu huwa ni ya kupumbaza hawasemi kujenga vyuo vya ufundi au scheme za umwagiliaji au maabara za kisasa wanataka watudumadhe kwenye nadharia tu.
 
tusipokuwa makini tutakuwa tunajenga vyumba vya madarasa, barabara, mahospitali nk mpaka mwisho wa dunia.
 
Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 (Bilioni 70) kutoka kwa Barick Gold Mine kwa ajili ya ujenzi madarasa nchi nzima hasa kwa ajili ya Wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 watakaoanza masomo katika muhula ujao wa masomo

Rais Samia ameeleza kuwa kwa sasa wanafunzi watakaomaliza masomo mwezi Juni ni 72000 lakini wale wanaotarajiwa kuanza kidato cha 5 wakiwa ni zaidi ya 192000 hivyo kuwa na ongezeko la wanafunzi zaidi ya 120000

Rais Samia amewaomba watanzania wengine kuunga mkono jitihada za serikali huku akisisitiza kuwa kwa sasa suala la madarasa watakayosoma watoto wa Kitanzania wa kidato cha 5 kwa muhula ujao wa masomo ndilo suala linalomnyima usingizi kwa sasa.

Katika mchango walioutoa Barick utawasilishwa kwa awamu tatu tofauti wakianza na kutoa Dola Milioni 10.
Ni makampuni ya madini hayahaya yaliwatajirisha mabilionea mawakili wa CHADEMA na IMMMA, wakiachiana Urais TLS. Wanawatukana mchana, ikifika usiku wanapeleka invoice za taxplanning, wanalipwa vinono kumbe zimetoka makinikia yetu waliyokuwa wanakwiba. Mara kaja Rais mzalendo green hadi mdomoni. Hajamaliza wiki 2 shujaa kakamata malori na malori ya makanikia bandarini. Wakamchukia kina tundulissu, wa TLS, fatmakarume, pamoja na Activists hawampendi Magu hadi leo kaburini.
 
Mwambie hakuna kitu kama hicho na hasitafute huruma kwa watanzania anaowanyonya kila siku kupitia viongozi waka hasa M.Rameck Ester big stars, Anakosaje hela ya kujenga madarasa wakati anapata hela ya kununua gori moja 5mln?

Akikujibu, mijadala ianzie hapo.
Kuropoka ni rahisi sana,bwana wenu Mwendazake aliwahi kujenga hata darasa? Au kununua dawati?

Mwisho darasa Moja ni mil.20-25 Sasa sijui mil.5 Yako ndio inaweza kamilisha hata choo?

Punguza upumbavu kabla ya ku comment.
 
tusipokuwa makini tutakuwa tunajenga vyumba vya madarasa, barabara, mahospitali nk mpaka mwisho wa dunia.
Hayo mahitaji Huwa hayaishi ni kama kula ila Samia anajaribu kuondoa gap kubwa lililopo walau Kwa robo 3
 
Sio mchango. Ni pesa yetu kupitia kampuni yetu ya twiga. Hayo ni moja ya matunda ya Magufuli na Kabudi. Ila hawatasema.
Fala wewe hiyo ni donation has nothing to do with Twiga company ya Barrick na Serikali
 
Vipi makusanyo ya trillion 2 na yenyewe ni sababu ya JPM? Au ndio mnaforce Kila sehemu atajwe JPM mridhike.

Mnachekesha
Wanalazimisha mtu wao aendelee kubaki kwenye chati 😁😁😁 ,haifiki 2025 tutakuwa tumemsahau kabisa maana Kasi ya mama sio ya Nchi hii.
 
Nani katoa hela Barrick au Twiga ndio implication zilipo.

Barrick hawezi kutoa hiyo hela kama charity Tanzania, ikakubalika ku claim huko kwao. Na awawezi kutoa kiasi hiko kwenye reserve zao bila ya kibali cha shareholders so ukipekuwa report yao huo mpango ungeukuta.

So, commonsense ni commitment kutoka Twiga (Barrick kama main shareholder), ana maamuzi ya kiwango cha donations wanazoweza toa.

Sasa mziki unakuja how those funds are treated in the accounting, given the business performance. Ndipo hapo watu wanaweza tengeneza losses na tax rebate.

Halafu which is better kwako kama biashara uondoe $30 million 100% as an expense kupitia qualified donations. Au kwenye hiyo $30 million ulipie corporate tax 35% ubaki na 65% ($19.5m). It’s a no brainer decision utataka $30m uipate yote 100% kama kuna uwezekano huo.

Losses hazitokani na sababu ulizotaja hapo ni nyingi; ila sasa kwenye tax rebate ukiongeza na charitable donations; mjomba watu wanaweza wasilipe kodi kwa miaka mingi sana, especially if they opt to partly claim hizo loses ili kufidia charitable donation kwanza.

Kuhusu Internal trading kuna rules of engagement in taxation Barrick Canada and Barrick Australia don’t play by the same accounting under IFRS rules.

Transfer pricing is only valid on business registered in the same countries kuna rules zake kwenye consolidation on what to include for both parties. Busara ni kubaki kwenye charitable donations za Tanzania sio kuingiza mambo ambayo hayapo kwenye hoja husika.
Unajua mauzo ya dhahabu mwaka uliopita wewe au unaropoka tuu?

Hiyo ni donation tuu ya Barrick ,Twiga hana maamuzi yoyote huko ana share ndogo sana.
 
Misaada ya wazungu huwa ni ya kupumbaza hawasemi kujenga vyuo vya ufundi au scheme za umwagiliaji au maabara za kisasa wanataka watudumadhe kwenye nadharia tu.
Hapo hawajasema? Samia hasubirii Misaada kujenga hayo uliyosema anajenga mwenyewe..


Vyuo Vikuu Kila Mkoa.

Veta Kila Wilaya na baadhi yake ni hizi hapa 👇
uvccm_tz_1677608834697380.jpg
uvccm_tz_1677608834697786.jpg
uvccm_tz_1677608834697146.jpg
 
Mwambie hakuna kitu kama hicho na hasitafute huruma kwa watanzania anaowanyonya kila siku kupitia viongozi waka hasa M.Rameck Ester big stars, Anakosaje hela ya kujenga madarasa wakati anapata hela ya kununua gori moja 5mln?

Akikujibu, mijadala ianzie hapo.
Hebu waambie ukweli hawa watu aisee!
 
Serikali ingeacha nunua LC300 lazima wangejenga madarasa maana kwa sasa kuna upungufu wa madarasa zaidi ya 20000

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Failure wakati yeye ndo alimweka hapo alipo?
Samia amekuwa kwenye siasa kabla ya Mwendazake usijitoe ufahanu..

Samia kawekwa na Mungu,nyie mlisema Chaguo la Mwendazake ni Rais wa Zanzibar Mwinyi na sio Samia.
 
Samia amekuwa kwenye siasa kabla ya Mwendazake usijitoe ufahanu..

Samia kawekwa na Mungu,nyie mlisema Chaguo la Mwendazake ni Rais wa Zanzibar Mwinyi na sio Samia.
Nambie lini uliwai piga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Makamu wa raisi?.(Yaani Huyu mama ni yule rafiki unayemwamini alafu anakugeuka)
 
Back
Top Bottom