Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Matunda ya kazi nzuri ya JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Mwanyika alipewa ubunge na JPM ilihali tuliaminishwa ndio alituletea hasara ya trillion 300 plus!!Ni makampuni ya madini hayahaya yaliwatajirisha mabilionea mawakili wa CHADEMA na IMMMA, wakiachiana Urais TLS. Wanawatukana mchana, ikifika usiku wanapeleka invoice za taxplanning, wanalipwa vinono kumbe zimetoka makinikia yetu waliyokuwa wanakwiba. Mara kaja Rais mzalendo green hadi mdomoni. Hajamaliza wiki 2 shujaa kakamata malori na malori ya makanikia bandarini. Wakamchukia kina tundulissu, wa TLS, fatmakarume, pamoja na Activists hawampendi Magu hadi leo kaburini.
kwa hiyo ndani ya miezi hii michache shule zitakamilika na walimu wataajiriwa.kwa sasa hata hizi shule zilizopo madawati hayatoshi watoto wanagombania sehemu za kukaa,walimu hawatoshi halafu tunawaza kujenga madarasa ambayo bado hayatasaidia chochote badala ya kuimarisha miundo mbinu iliyopo.aliyetuloga sijui yuko wapi.Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 (Bilioni 70) kutoka kwa Barick Gold Mine kwa ajili ya ujenzi madarasa nchi nzima hasa kwa ajili ya Wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 watakaoanza masomo katika muhula ujao wa masomo
Rais Samia ameeleza kuwa kwa sasa wanafunzi watakaomaliza masomo mwezi Juni ni 72000 lakini wale wanaotarajiwa kuanza kidato cha 5 wakiwa ni zaidi ya 192000 hivyo kuwa na ongezeko la wanafunzi zaidi ya 120000
Rais Samia amewaomba watanzania wengine kuunga mkono jitihada za serikali huku akisisitiza kuwa kwa sasa suala la madarasa watakayosoma watoto wa Kitanzania wa kidato cha 5 kwa muhula ujao wa masomo ndilo suala linalomnyima usingizi kwa sasa.
Katika mchango walioutoa Barick utawasilishwa kwa awamu tatu tofauti wakianza na kutoa Dola Milioni 10.
Nothing, i like them both.Ambayo Rais Samia Suluhu Hassan anavuna hayo matunda na kuyagawanywa kwa wananchi, anything else?
Zile noa zetu ziliishia wapi? Huu ni mchango/msaada barric wametoa sio Kodi Wala sio gawio ni mchango wao baada ya kulipa Kodi pamoja na mrahabaSio mchango. Ni pesa yetu kupitia kampuni yetu ya twiga. Hayo ni moja ya matunda ya Magufuli na Kabudi. Ila hawatasema.
Hatafuti huruma yako wewe Bali anatekeleza majukumu yake kama raise hutaki hamia BurundiMwambie hakuna kitu kama hicho na hasitafute huruma kwa watanzania anaowanyonya kila siku kupitia viongozi waka hasa M.Rameck Ester big stars, Anakosaje hela ya kujenga madarasa wakati anapata hela ya kununua gori moja 5mln?
Akikujibu, mijadala ianzie hapo.
Hivi mbona hamna jema ninyi watu? Hakuna kazi ngumu kama kuongoza watu ndio maana hata waisrael jangwani walimkwaza Musa mpaka akamkosea MUNGUKwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa kuna 'upigaji'mwingi sana.
Nadhani wahusika wameshajua udhaifu wa serikali yao.
Ni afadhali kujenga viwanda hata kama wanafunzi wakisomea chini ya mti, wakimaliza wapate ajira.
Kila fedha kuelekezwa kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa kuna tatizo mahali
kwa hiyo hii nchi mshajibinafsisha mapunga tu,burundi hatuendi na upinde wenu wa mvua tutaupasua na huyo mwanaharakati wenu na mama tutamkosoa tu.Hatafuti huruma yako wewe Bali anatekeleza majukumu yake kama raise hutaki hamia Burundi
Ni Barick Gold Mine wametoa fedha au ni Twiga ?Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 (Bilioni 70) kutoka kwa Barick Gold Mine kwa ajili ya ujenzi madarasa nchi nzima hasa kwa ajili ya Wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 watakaoanza masomo katika muhula ujao wa masomo
Rais Samia ameeleza kuwa kwa sasa wanafunzi watakaomaliza masomo mwezi Juni ni 72000 lakini wale wanaotarajiwa kuanza kidato cha 5 wakiwa ni zaidi ya 192000 hivyo kuwa na ongezeko la wanafunzi zaidi ya 120000
Rais Samia amewaomba watanzania wengine kuunga mkono jitihada za serikali huku akisisitiza kuwa kwa sasa suala la madarasa watakayosoma watoto wa Kitanzania wa kidato cha 5 kwa muhula ujao wa masomo ndilo suala linalomnyima usingizi kwa sasa.
Katika mchango walioutoa Barick utawasilishwa kwa awamu tatu tofauti wakianza na kutoa Dola Milioni 10.
Umeongea point kubwa sana.Barrick Gold ni nani mpaka watoe hizo hela kwa ajili ya ujenzi wa madarasa! Kama ni mgao wa faida si inatolewa halafu serikali inaamua kiasi gani kitumike kwenye hili ama lile? Inakuwa kama vile tunapewa msaada na Barrick wakati ni gawio tena la kiwizi mkubwa. Dah!