Rais Samia Suluhu amepokea hundi ya Dola Milioni 30 kutoka kwa Barick Gold Mine

Vipi Mwanyika alipewa ubunge na JPM ilihali tuliaminishwa ndio alituletea hasara ya trillion 300 plus!!
 
Changa la macho hakuna hela hapo.

Usanii mtupu.
 
kwa hiyo ndani ya miezi hii michache shule zitakamilika na walimu wataajiriwa.kwa sasa hata hizi shule zilizopo madawati hayatoshi watoto wanagombania sehemu za kukaa,walimu hawatoshi halafu tunawaza kujenga madarasa ambayo bado hayatasaidia chochote badala ya kuimarisha miundo mbinu iliyopo.aliyetuloga sijui yuko wapi.
 
Inawezekana kupokea hela bila kuita wakuu wa mihimili, majeshi na mawaziri ikulu, na wazungu wa kupendezesha picha mbele ya kamera live za TV zote nchini na mitandao ya kijamii ya Ikulu?
 
mama yetu atatufikisha pazuri vijana tupige kazi.... huyu ndiyo kiongozi mwenye upeo na maono ndani ya miaka miwili tuu kafunika maraisi watatu bado wawili awe kinara wao
 
Sio mchango. Ni pesa yetu kupitia kampuni yetu ya twiga. Hayo ni moja ya matunda ya Magufuli na Kabudi. Ila hawatasema.
Zile noa zetu ziliishia wapi? Huu ni mchango/msaada barric wametoa sio Kodi Wala sio gawio ni mchango wao baada ya kulipa Kodi pamoja na mrahaba
 
Hatafuti huruma yako wewe Bali anatekeleza majukumu yake kama raise hutaki hamia Burundi
 
Hivi mbona hamna jema ninyi watu? Hakuna kazi ngumu kama kuongoza watu ndio maana hata waisrael jangwani walimkwaza Musa mpaka akamkosea MUNGU
 
Hatafuti huruma yako wewe Bali anatekeleza majukumu yake kama raise hutaki hamia Burundi
kwa hiyo hii nchi mshajibinafsisha mapunga tu,burundi hatuendi na upinde wenu wa mvua tutaupasua na huyo mwanaharakati wenu na mama tutamkosoa tu.
 
Wasi sahau kutekeleza yale makubalino na selikali ya kujenga refinary,kujenga barabara kutoka kaķola had kahama,na kulipa zile bilion 700.
 
Ni Barick Gold Mine wametoa fedha au ni Twiga ?
 
Ikifika 2030 watanzania mtatambua Samia uwezo wake wa kuiongoza nchi unafanana na Ally Hassan Mwinyi
 
Umeongea point kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…