Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Means what,kigogo aongezewe muda wa utawala huko Twitter na akikataa,Alazimishwe??
 
Mkurugenzi wa shirika la ndege inabidi aseme lile gawio walilitoa wapi?
Kwani kulikuwa na gawio? Ule ulikuwa usanii wa Meko tu, ili kuaminisha watu kuwa shirika la ndege lilikuwa linapata faida.
Kuna watu walisema ATCL inafanya hasara. Meko akatengeneza huo usanii ili kuwazodoa waliokuwa wanasema ATCL inapata hasara.
 
JPM hakuwa mzalendo alipandikiza watu wake kwenye sekta nyeti tusingeweza kujua uozo kama huu
Ngoja tuone kazi ya mama tusikosee kila jambo, kila mmoja ana mazuri yake ba mapungufu yake, huwezi kuwa [emoji817] mkamilifu
 
KUNA KUKAA NA KUJADILI na kuna kukaa na kuambiwa cha kufanya
 
Kuna watu hapa Tanzania wamesimamishwa kazi au kuvuliwa madaraka na kuambiwa wasubiri kupangiwa kazi nyengine kwa miaka mingi sasa na bado wanakula mishahara yao bila kufanya kazi yeyote ile serikalini. Zanzibar tunao wengi mno.
 
Makontena yaliruhusiwa kwa mbinde Sana Tena unaambiwa mama alienda mpaka ikulu kuonana na mzee mzee akagoma
Kwa hiyo wewe unafurahia watu wasiolipa kodi? Si yalitakiwa kulipiwa kodi au kodi inalipwa kwa watu maalumu tuu.
DG kasimamishwa sababu ya ubadhirifu uliotokea huko,maana wengi walisimamishwa ilibaki yeye tuu.Ndio Raisi kasema nae asimame kupisha uchunguzi kama hana hatia atarudi.
 
Al asaad wa watu aliposimamia ukweli
Walimtenga na kuona anaharibu nchi
It's just a matter of time everything will be revealed
 
ATCL Faida imeleta faidaaaaaaaaa,wanyonge pigeni makofi tafadhaaaaaaali.

 
KUNA KUKAA NA KUJADILI na kuna kukaa na kuambiwa cha kufanya

Kwa hiyo Unavyoelewa wewe waziri mkuu alikurupuka kwenda kutoa maagizo bandari?
Halafu kingine unacholazimisha ni kwamba Samia alikua anasubiri kifo ndio huyo mtu atumbuliw?
Rudi kwenye attach,ents nilizokuwekea walau uelewe serikali ni taasisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…