tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Moto ni uleule[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mie sijamjibu hapo nimeona ni dogo fulani wa sekondari ananipotezea muda...Wewe kweli ni mshamba,unafikiri lipoti hii imeandaliwa siku hizi mbili baada ya kufa Magufuri?
Ripoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.
Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!
Takukuru na vyombo vingine pamoja na FIU wanao wajibu wa kusafisha ubadhirifu huu unao jitokeza hapo bandarini, inaonekena kila mfanyakazi hapo Bandari ni Mpigaji.
Si unajua kwa mujibu wa sheria, Rais akipokea ripoti anatakiwa kuiwasilisha bungeni ndani ya siku 7? Sasa ndani ya hizo siku 7 Magu angezitumia kunyofoa zile ambazo asingependa zisomwe!!Ingekua enzi za Mtetezi wa wanyonge hivi CAG angemtaja kweli huyu rafiki kipenzi wa mkulu?
Atastaafishwa huyo kwa maslahi ya umma. Au vinginevyo atapelekwa Utumishi na hatopokea tena mshahara wa DG na badala yake atapewa mshahara wake wa kabla ya kuwa DG. Serikali imejilinda kwenye hilo eneo usifikiri hawajui.Big up ya nini hapa? Kumsimamisha mtu kazi ilhali anaendelea kupokea mshahara wake kamili si jambo la kupongezwa, ni hasara kwa serikali inamlipa mtu bila kufanya kazi yeyote ile na hata hatujui ni kwa muda gani. Ningelimpa big up kama angelimsimamisha bila malipo au kumuachisha kazi moja kwa moja.
Turkey Petroleum Agency! Hutaki unaacha.TPA kirefu chake ni nini?
Danganya toto tu hizo, alitumbua then? Tumia hizo fikra zako unazoziona ni ndefu kufikiri. Kila siku ilikuwa ni tumbua tumbua tu, kwa kiongozi mwenye dira ilipaswa akae na ajitafakari anakosea wapi ili arekebishe maana wateule wake walikuwa reflection yake.
Aah waapi. Ripoti ni ya CAG tena wa awamu iliyopita mstaafu anatoka wapi?
Wanasema eti ni "UNTOUCHABLE"Hivi mtu imethibitika kaiba tena baada ya uchunguzi wa muda... Adhabu ni kusimamishwa kazi au kiwekwa ndani?
Hizi Bil 3.6 serikali inarecover vp na mwizi yuko hapo, je kisimamishwa kazi inatosha?
Hajui hata mfumo wake binafsi sembuse wa serikali🙄🙄🙄Mfumo gani mama katengeneza?
Hujui ulisemalo. Pole mkuukigogo ameongea baada ya rais kumsimamisha kazi tu ndio akatweet. tumieni akili zenu wakati mwingine sio kila kitu uambiwe na watu au kigogo
Atanyimwa usajili.Hii ni fursa. Mtu afungue gazeti aliite Kigogo nadhani litauza sana.
Hayati na Dotto James walikua ni vibaka hatari plus mauaji wamefanya sanaNi kweli,
Maana kwa miaka yote 10 ya JK. zilipigwa 784 Bilioni lakini kulikuwa na makashfa kama yote (epa, mELEMETA, escrow ETC) ambayo ukiyajumlisha ndo yanafikisha kiasi hicho ... Kwa JPM, hakukua na kashfa yoyote, lakini 1.5T hazikujulikana zilikoenda tena kwa mwaka mmoja tu...
YAANI MIAKA KUMI, PIGO LAKE NI NUSU YA PIGO LA MWAKA MMOJA... SIYO MCHEZO
Usipofanya mambo yako kama wewe ni muajiriwa wa bandarini basi sahahu kutoboa...hii ndio kauli mbiu sasa ni ukiwa bandarini kila mtu anatafuta chake...Ripoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.
Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!
Takukuru na vyombo vingine pamoja na FIU wanao wajibu wa kusafisha ubadhirifu huu unao jitokeza hapo bandarini, inaonekena kila mfanyakazi hapo Bandari ni Mpigaji.
Subir utaelewa tu muda si mrefu
Huyu kigogoUkiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
Huyu kigogo asipodhibitiwa haraka ni hatari Sana, naona jamii inaziamini taarifa zake kwa kasi kuliko serikali, kibaya zaidi anazitoa kabla ya mamlaka husika, polisi wametangaza donge nono kwa atakayempata, changamkieni fursa huenda ukaibuka millionaireUkiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
Kwanza ni hujuma na kukosa uzoefu wa kuendesha shirika na hili ni tatizo la kitaifa, kwamba hatuna maofisa watendaji wenye uzoefu.Unamzungumziaje hasara za ATCL kwa miaka mitano
[emoji870]tena wako hosp wengi wamepoteza mimba zao kwa mshtukoShemela, Naomba niitie akina mitano tena kene uzi huu... Tafadhari shemu wangu
Hidaya yupo hosp leo anadrip ya 14 kapoteza ujauzito wake,pia uhakika wa maisha hana tenaMkuu ngoja YEHODAYA aje akujibu...
Mafisi