Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

2019-2020 wewe, mbona kama unakimbizwa
Ripoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.

Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!

Takukuru na vyombo vingine pamoja na FIU wanao wajibu wa kusafisha ubadhirifu huu unao jitokeza hapo bandarini, inaonekena kila mfanyakazi hapo Bandari ni Mpigaji.
 
Big up ya nini hapa? Kumsimamisha mtu kazi ilhali anaendelea kupokea mshahara wake kamili si jambo la kupongezwa, ni hasara kwa serikali inamlipa mtu bila kufanya kazi yeyote ile na hata hatujui ni kwa muda gani. Ningelimpa big up kama angelimsimamisha bila malipo au kumuachisha kazi moja kwa moja.
Atastaafishwa huyo kwa maslahi ya umma. Au vinginevyo atapelekwa Utumishi na hatopokea tena mshahara wa DG na badala yake atapewa mshahara wake wa kabla ya kuwa DG. Serikali imejilinda kwenye hilo eneo usifikiri hawajui.
 
Danganya toto tu hizo, alitumbua then? Tumia hizo fikra zako unazoziona ni ndefu kufikiri. Kila siku ilikuwa ni tumbua tumbua tu, kwa kiongozi mwenye dira ilipaswa akae na ajitafakari anakosea wapi ili arekebishe maana wateule wake walikuwa reflection yake.

Kwa nchi hii hata ufanye reflection ya miaka, ngumu kuongoza. Approach yake ilikuwa na mapungufu mengi, Ila hii ya kusubiri michakato ndio mbaya zaidi. Wabongo ni watu hatari sana, kuongoza watu waliojawa unafiki lazima uangukie pua tu.
 
Aah waapi. Ripoti ni ya CAG tena wa awamu iliyopita mstaafu anatoka wapi?
Screenshot_20210328-123528.png


Yaaani nahisi kuna ripoti mbili hii iliyosomwa na ambayo angesomewa marehemu hahahaaa

Hii nchi watu wanapenda kupambana miguu sana kudadeq😂😂😂😂
 
Hivi mtu imethibitika kaiba tena baada ya uchunguzi wa muda... Adhabu ni kusimamishwa kazi au kiwekwa ndani?
Hizi Bil 3.6 serikali inarecover vp na mwizi yuko hapo, je kisimamishwa kazi inatosha?
Wanasema eti ni "UNTOUCHABLE"
 
Ni kweli,
Maana kwa miaka yote 10 ya JK. zilipigwa 784 Bilioni lakini kulikuwa na makashfa kama yote (epa, mELEMETA, escrow ETC) ambayo ukiyajumlisha ndo yanafikisha kiasi hicho ... Kwa JPM, hakukua na kashfa yoyote, lakini 1.5T hazikujulikana zilikoenda tena kwa mwaka mmoja tu...
YAANI MIAKA KUMI, PIGO LAKE NI NUSU YA PIGO LA MWAKA MMOJA... SIYO MCHEZO
Hayati na Dotto James walikua ni vibaka hatari plus mauaji wamefanya sana
 
Ripoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.

Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!

Takukuru na vyombo vingine pamoja na FIU wanao wajibu wa kusafisha ubadhirifu huu unao jitokeza hapo bandarini, inaonekena kila mfanyakazi hapo Bandari ni Mpigaji.
Usipofanya mambo yako kama wewe ni muajiriwa wa bandarini basi sahahu kutoboa...hii ndio kauli mbiu sasa ni ukiwa bandarini kila mtu anatafuta chake...
 
Ukiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
Huyu kigogo
Ukiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
Huyu kigogo asipodhibitiwa haraka ni hatari Sana, naona jamii inaziamini taarifa zake kwa kasi kuliko serikali, kibaya zaidi anazitoa kabla ya mamlaka husika, polisi wametangaza donge nono kwa atakayempata, changamkieni fursa huenda ukaibuka millionaire
 
Unamzungumziaje hasara za ATCL kwa miaka mitano
Kwanza ni hujuma na kukosa uzoefu wa kuendesha shirika na hili ni tatizo la kitaifa, kwamba hatuna maofisa watendaji wenye uzoefu.

Pili, ATCL pia ilikuwa ni lazima kama shirika hilo limeshindwa kusafirisha ndege zake katika njia za kimataifa kutokana na suala la COVID -19.

Hapa hatuwezi kumlaumu mtu mmoja bali ni kujitathmini kama watanzania kwamba tunalinda na kuenzi mali na rasilimali za serikali.

Lakini hilo haliondoi dhamira ya serikali kuwa na shirika la ndege ambalo lajiendesha lenyewe kwa faida, na kukosa usimamizi haimaanishi kuwa serikali isinunue ndege, maana kuna siku ndege hizo zitaenda London, au New York na kwingine.

Watanzania tumekosa dhamira ya kweli ya kujikomboa kiuchumi na pia tumekosa uzalendo katika kulinda rasilimali zetu.

Mwisho, watanzania tumekosa nidhamu ya tulicho nacho, twataka mafanikio na maisha bora kwa njia rahisirahisi bila kujihangaisha akili zetu.

Mfano ni hao mabosi wa TPA na ATCL wamekosa akili za kuendesha mashirika hayo makubwa ambayo ni nembo ya taifa na njia kuu za mapato ya fedha za kigeni na za ndani.

Tumewakosa wazee kama marehemu kama Aarod Nsekela NBC , Gibson Mwaikambo NIC , Mosha wa Tanesco na yule marehemu mzee wa ilokuwa posta na simu na Kaduma wa ATC ambayo ilikwua yaenda London.

Hawa walikuwa na vichwa vya kubuni na kuendesha mashirika haya na tuliona jinsi yalivyokuwa yameshamiri Tanzania nzima.

Walipotangulia mbele ya haki walobakia nyuma wakaanza zogo na ubadhilifu na kisha kuja kuyavuruga mashirika hayo.

Twapaswa kuanza upya kuandaa maofisa watendaji hodari ambao wataendesha taasisi na mashirika makubwa kama haya ambayo ni vyanzo vikuu vya mapato.
 
Back
Top Bottom