Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Wewe kweli ni mshamba,unafikiri lipoti hii imeandaliwa siku hizi mbili baada ya kufa Magufuri?
Issue sio ripoti imeandaliwa lini bali kilichoandaliwa kusomwa bungeni bila filtering! Kaa ukifahamu Rais ana mamlaka ya kukaa na ripoti up to 7 days kabla haijapeleka bungeni! So, the question is: hizo siku 7 mtu hawezi kuamuru kufanyika kwa amendment ya baadhi ya mambo?
 
Kunakuwa na summary ambayo inaelezea mambo muhimu anapewa. Yale ma-book yote ni mengi kwa rais kusoma mwenyewe. Anakuwa na wasaidizi wengi ambao ndiyo wataipitia kwa undani.
Ni sawa, ila hasa alijuaje kwamba Mkurugenzi ataondolewa au usiku huo waliazimia hatua za kuchukua?
 
Mama D, ulitaka Rais Samia asemeje akiwa pembeni ya jeneza la marehemu?
Wamevumilia mengi hujui tu. Hata wewe ukifa nikipata nafasi ya kutoa salamu zangu za rambirambi nitakusifu kinafiki, kwamba ulikuwa mwalimu mzuri sana huku JF, yaani tutakumiss sana na mengine mengi ambayo utakuwa hata uyasikii yakisemwa leo, lakini yatasemwa pembeni ya jeneza lako.
 
Mimi mwenyewe mmoja nataka kuwa millions
 
Ukiangalia ziara ya Tanga, Kakonko hakuwa na adabu, aliulizwa jambo akajibu subiri ndio maelezo haya naendelea kukupa, binafsi sikufurahishwa, sasa ukichanganya na ofisi yake kupora 3.6b lazima akae pembeni!
 
Mkuu Richard, systems zipo za kurahisisha yote hayo. Ni za kununua tu. Tatizo ni hilo unalolisema, uongozi wa mamlaka haitaki kuzinunua kwa kuwa "paperwork" inalipa. Mfano mdogo ni zile flow meter za mafuta. Zinatumika leo kesho zinafungwa. Hakuna haja ya mwanajeshi. Ni kuilazimisha TPA iondokane kabisa ya "paperwork ".
 
Mie naamini Mwl Nyerere alikuwa zaidi yake
Nadhani ningeiweka kitaalam sana. Huwa sipendi kuongelea wakati wa Nyerere ilikua nyakati tofauti sana, uzalendo wa Nyerere una namna yake manaake alilelewa na wakoloni, kakulia kasomeshwa na akapambana kwa namba yake na pia nchi ndio ilikua inazaliwa. Akaisuka na kuunda taasisi. Fore fathers sio wa kuwaweka kundi moja na hawa ambao wamekuja nchi inajitambua kabisa.

Ndo maana JKN huwa sipendi kumuongelea na Rais yoyote yule. Yule yuko kwenye league of his own. Yule alinganishwe na kina Kwame, Kaunda na kina George Washington
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…