Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

kigogo ameongea baada ya rais kumsimamisha kazi tu ndio akatweet. tumieni akili zenu wakati mwingine sio kila kitu uambiwe na watu au kigogo
Nani anatumia tumbo na akili kufikiri?
 
Kwani Kigogo alisemaje?. Siku akikamatwa sijui itakuwaje.
 
Aliyekwiba bandarini ni mshkaji wake meko na ndiye alikuwa anauza michongo ya TRA kwa meko. Yani ni miongoni mwa waliokuwa wakipiga simu kwa meko muda wowote.

Sasa kiko wapi
 
kigogo ameongea baada ya rais kumsimamisha kazi tu ndio akatweet. tumieni akili zenu wakati mwingine sio kila kitu uambiwe na watu au kigogo
Tweet ya Kigogo iko tangu jana jioni. Sema wewe umeiona leo.
 
Hakuwa mzalendo bali alikuwa mwizi kama wezi wengine tu
 
Well said kiongozi!!
 
Huyo ni kati ya inner core wa JPM! Ama kweli kila zama na kitabu chake
Kweli tangu mita mafuta alitakiwa atumbuliwe, waziri mkuu ameenda mara kadhaa bila mafanikio,mfumo ulikuwa unamlinda
 
Mshaanza...
 
Kigogo anajua mambo mangapi? Si amekuwa mtabiri tangu enzi za chuma JPM? Hivyo ni visingizio tu.

Tumia akili zako ulizobakiza Mkuu,ukiona mambo ndani ya familia yako yanajulikana tambua yupo mmoja wenu kwenye familia yako anauza info,akigogo sio mtabiri Kigogo ni mtu yupo humo ndani anatoa hotuba za watu kabla yao.
 
Asee nawaonea huruma sana hawa watu wa magu... sahivi hawana mtetezi yaani ni kama vile watoto yatima
 
Raisi aliepita c alikua anafuatilia sana jamani na wezi walibanwa mno?? sasa huu ubadhirifu mkubwa umetoka wapi tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulifatilia hotuba ya Magufuli wakati anazindua bunge la2020? Kama ukufatilia nenda YouTube usikilize maneno yake, Tanzania ilipokuwa imefikia usiliweza kumaliza ubadhirifu kwa miaka mutano, hata hivyo Magufuli alijitaidi sana pamoja na makelele yote mliokuwa mkipiga.
 
Mwendazake kawaachia msala!!
Noma SANA.
Mfugale towers, kuita hata Dr Omar Ali Juma tower walishindwa.

Everyday is Saturday............................... 😎
Eti Mara ooh, hili siyo Tena daraja la tazara ni daraja la Mfugale,

Mara ooh hili siyo ubungo flyover ni daraja la juu kijazi, ushamba ushamba tuh,

What's so special about Mfugale to us,zile ni pesa zetu walipa kodi,yarudishwe majina yake ya awali.
 
Mungu mbariki KIGOGO 2014.
Huyu ni hatari kwa usalama wa nchi, haiwezekani habari confidential ya nchi mtu wa pembeni anaipata within seconds, sio jambo la kufurahia japo najua wabongo kwa ujumla wetu tunapenda ubuyu. Binafsi sipendi, Rais anaandika kinote then within seconds kigogo ameipublish huko twitani, sio sawa hata kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…