THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Usisubiri mtu afe, mwambie akiwa hai na urudie kama atakua ameondoka kabla yako kama alivyofanya Samia Suluhu Hassan
Rais mama SAMIA amtumbua mkurugenzi wa Bandari achunguzwe haraka.... Mbona hakuna barua kutoka kurugenzi ya mawasiliano ikulu? Kama ilivyokuwa ukifanyika kipindi cha Magufuli?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Injinia Deusdedit Kakoko kupisha uchunguzi "Kuna ubadhirifu mkubwa Bandarini naomba TAKUKURU ikafanye kazi, nimeletewa ripoti ya ubadhirifu wa Bilioni 3.6.
View attachment 1736617
Imani yangu ni kwamba ndani ya Shirika la Bandari kuna ubadhirifu kama wa Tsh. Bilioni 3.6 lakini Waziri Mkuu amefanya ukaguzi na waliosimamishwa ni wa chini, nimeomba mara moja nitoe agizo la kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu wa Bandari halafu uchunguzi uendelee" --- Rais Samia Suluhu.
Kama vile Mfungale alikuwa ana jenga madaraja BureHizo mambo za sukima gang,sijui konde gang zifutiliwe mbali na zisiwepo kabisa kabisa.,siyo kwa rais huyu tuh,hata yeyote ajae,huu ushamba ushamba usijirudie Tena,lazima tujifunze kuuepuka ubaguz kwenye nchi yetu
Hatukatai kuwaenz waasisi wa nchi kama nyerere,karume hata wastaafu ma marehem Kama mkapa,na kadhalika,unatoa majina Kama kumbu kumbu kwa vizaz vijavyo kuwa huyu alikuwa RAIS wa jamhuri aliyafanya haya na haya,sasa unatuwekea mtu Kama Mfugale kuliua jina la tazara flyover kwa mantiki gan?Kama siyo ushamba
Yaani ukimchukia mtu kila kitu unamsingiziaWatu wana mihemko sana yani!
Inamaana huwafahamu wenye tabia ya uongo?View attachment 1736543
Mnatuchanganya sasa Faida bil 28 halafu hasara billion 60 mwaka 2019/2020
Huyu mtu apewe heshima yake ,japo wezi hawampendi kama niniShikamoo Kigogo
Watu wa namna hiyo sijui tuwaweke kundi gani. Mihemko ya kishambaAkikujibu ni tag hahahaha hawa si ndio walikuwa wanamlaumu Magufuli kwa kutumbua watu? Hahahaha hakiki nchi hii ina vituko!
Pengine ana karibia kupata ugonjwa wa pressure na kisukariWhere is Doto Jemusi
Anasema kuwa wapiga dili walikuwa na kinyongo na DG. Sasa wamemtumia mama kulipa kisasi.Mleta uzi hebu kunywa maji glass mbili kisha lala chali kwa dakika 15 halafu uje ufafanue vizuri uzi wako
Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Mungu ana mipango yake pengine mkoa mpya wa chato ange pendekeza uitwe jina la Babu yake!Eti Mara ooh, hili siyo Tena daraja la tazara ni daraja la Mfugale,
Mara ooh hili siyo ubungo flyover ni daraja la juu kijazi, ushamba ushamba tuh,
What's so special about Mfugale to us,zile ni pesa zetu walipa kodi,yarudishwe majina yake ya awali.
Bado huu ni mwanzo tu. Utawaona wanafiki wa Lumumba mpaka utashangaa.Hata wewe?
Wa nneKijamaa kumbe kina wake wengi?
Maskini mwenyewe!Kwa nini tunaonyesha kila dalili ya kufurahia jambo bila hata kuchukua muda kutafakari?
Amesimamishwa kazi na hajafukuzwa kazi.
Uchunguzi wa kina ufanyike!!
Kipi cha ku celebrate hapo?
Maskini watanzania!!
Umeeleza jambo la maana sana, kwa watakaokuelewa. Matundu ya kuvujisha habari huko serikalini yasipozibwa ni hatari kwa taifa.There's a sense in what you've written, I can't argue with you on that. But saying I'm under denial soon after the demise of our beloved is overstatement. He just died for goodness sake!
Bado nasimamia pale pale, huwezi kuruhusu info so confidential kutoka mamlaka zivuje kizembe namna hii, hili hatari hata kwa maadui wa nchi wakitaka kutuumiza wanamhonga huyo informer wenu then paaap we're all under threat. Think mkuu!
Kawaulize kwanza kwa nini wanapendaga kusema CCM INA WENYEWE?Huko ccm Kwan Kuna pande ngapi ?
Jiwe walimuingia kwa kujipendekeza na kumpa kila aina ya sifaTamisemi nako kumeozaaaaa, walizoea kujipendekeza kwa meko wakajipendekeze na kwa huyu sasa
Eti Mara ooh, hili siyo Tena daraja la tazara ni daraja la Mfugale,
Mara ooh hili siyo ubungo flyover ni daraja la juu kijazi, ushamba ushamba tuh,
What's so special about Mfugale to us,zile ni pesa zetu walipa kodi,yarudishwe majina yake ya awali.
Daah [emoji116]Hujiuliz why Dg katumbuliwa baada ya Rais kusomewa Ripot na kutambua kua Dg hafai Kuna madudu Wakat before kigogo amesha jua inamaana kigogo alijua before kua fulan analiwa kichwa on time