Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Usisubiri mtu afe, mwambie akiwa hai na urudie kama atakua ameondoka kabla yako kama alivyofanya Samia Suluhu Hassan

Sawa,ila inategemea na mtu mwenyewe,

Hayati alikuwa yeye ndo yeye,he knows it all,ukimwambia ukweli ugomvi wake unakuwa ni wa mayai viza akibadilisha masalo,that's why watu walipiga kimya and praying mungu ampende zaid,and guess what mungu kapokea maombi,they are not celebrating his death,but instead they are celebrating may be the destiny will be prosperous
 
Bravo Mama yetu mpenzi. Yani hatuna mashaka na wewe kabisa katika utendaji na busara zako. Mungu amejua kutuona Watanzania.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Injinia Deusdedit Kakoko kupisha uchunguzi "Kuna ubadhirifu mkubwa Bandarini naomba TAKUKURU ikafanye kazi, nimeletewa ripoti ya ubadhirifu wa Bilioni 3.6.

View attachment 1736617

Imani yangu ni kwamba ndani ya Shirika la Bandari kuna ubadhirifu kama wa Tsh. Bilioni 3.6 lakini Waziri Mkuu amefanya ukaguzi na waliosimamishwa ni wa chini, nimeomba mara moja nitoe agizo la kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu wa Bandari halafu uchunguzi uendelee" --- Rais Samia Suluhu.
Rais mama SAMIA amtumbua mkurugenzi wa Bandari achunguzwe haraka.... Mbona hakuna barua kutoka kurugenzi ya mawasiliano ikulu? Kama ilivyokuwa ukifanyika kipindi cha Magufuli?
 
Hizo mambo za sukima gang,sijui konde gang zifutiliwe mbali na zisiwepo kabisa kabisa.,siyo kwa rais huyu tuh,hata yeyote ajae,huu ushamba ushamba usijirudie Tena,lazima tujifunze kuuepuka ubaguz kwenye nchi yetu


Hatukatai kuwaenz waasisi wa nchi kama nyerere,karume hata wastaafu ma marehem Kama mkapa,na kadhalika,unatoa majina Kama kumbu kumbu kwa vizaz vijavyo kuwa huyu alikuwa RAIS wa jamhuri aliyafanya haya na haya,sasa unatuwekea mtu Kama Mfugale kuliua jina la tazara flyover kwa mantiki gan?Kama siyo ushamba
Kama vile Mfungale alikuwa ana jenga madaraja Bure
 
Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo

Mzalendo wa wapi? Usanii tu. Na leo hii report isingepewa uwazi hivi maana ni aibu kwake. Bado angeendelea kusema tumeibiwa sana, tumechezewa sana, tena kwa ukali -huku kidevu juu?? Kama vile hizi hela zimepotea wakati wa awamu za nyuma, wakati hapa inaongelewa wakati wake! Kila siku yeye alikuwa analaumu wenzie tu wa awamu zilizopita.
 
Eti Mara ooh, hili siyo Tena daraja la tazara ni daraja la Mfugale,

Mara ooh hili siyo ubungo flyover ni daraja la juu kijazi, ushamba ushamba tuh,

What's so special about Mfugale to us,zile ni pesa zetu walipa kodi,yarudishwe majina yake ya awali.
Mungu ana mipango yake pengine mkoa mpya wa chato ange pendekeza uitwe jina la Babu yake!
 
Kwa nini tunaonyesha kila dalili ya kufurahia jambo bila hata kuchukua muda kutafakari?
Amesimamishwa kazi na hajafukuzwa kazi.
Uchunguzi wa kina ufanyike!!
Kipi cha ku celebrate hapo?
Maskini watanzania!!
Maskini mwenyewe!
 
There's a sense in what you've written, I can't argue with you on that. But saying I'm under denial soon after the demise of our beloved is overstatement. He just died for goodness sake!

Bado nasimamia pale pale, huwezi kuruhusu info so confidential kutoka mamlaka zivuje kizembe namna hii, hili hatari hata kwa maadui wa nchi wakitaka kutuumiza wanamhonga huyo informer wenu then paaap we're all under threat. Think mkuu!
Umeeleza jambo la maana sana, kwa watakaokuelewa. Matundu ya kuvujisha habari huko serikalini yasipozibwa ni hatari kwa taifa.
 
Eti Mara ooh, hili siyo Tena daraja la tazara ni daraja la Mfugale,

Mara ooh hili siyo ubungo flyover ni daraja la juu kijazi, ushamba ushamba tuh,

What's so special about Mfugale to us,zile ni pesa zetu walipa kodi,yarudishwe majina yake ya awali.

Yani Magu bwana. Alijua kutuburuza aisee. Mambo ya hovyo hovyo tu.
 
Hujiuliz why Dg katumbuliwa baada ya Rais kusomewa Ripot na kutambua kua Dg hafai Kuna madudu Wakat before kigogo amesha jua inamaana kigogo alijua before kua fulan analiwa kichwa on time
Daah [emoji116]
FB_IMG_1616925949412.jpg
 
Back
Top Bottom