Pagoda Hunter
Senior Member
- Apr 15, 2020
- 140
- 176
Barua ya kumsimamisha kazi iko wapi? Hili ni changa la macho.Rais Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Ripoti ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, ametoa agizo la kusimamishwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari(TPA) kutokana ubadhirifu mkubwa unaoikumba mamlaka hiyo.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema haya
“Ripoti nimeona, nimeipitia na nimebaini ubadhirifu mkubwa uliofanywa pale bandari, hili suala mnatakiwa kushirikiana, nakuomba Takukuru jishughulishe pale, alipita Waziri Mkuu alilishughulikia.
“Waziri Mkuu aliunda kamati na wakafanya uchunguzi kidogo ambao yaliyotoka, hatua chache zilichukuliwa lakini imani yangu ni kwamba kama kuna ubadhirifu pale waliosimamishwa ni hawa wa chini huku, ninaomba mara moja nitoe agizo la kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu wa Bandari halafu hatua zaidi ziendelee,”
AiseeeeeeehhhhhKuna watu hapa Tanzania wamesimamishwa kazi au kuvuliwa madaraka na kuambiwa wasubiri kupangiwa kazi nyengine kwa miaka mingi sasa na bado wanakula mishahara yao bila kufanya kazi yeyote ile serikalini. Zanzibar tunao wengi mno.
Kazi yake kukimbiakimbia tuu, hivi mlishamuona alipokuwa kwenye msafara wa JpmJaffo alichokuwa anajua ni kujipendekeza kwa jiwe tu! Ila hata jiwe wakati anatangaza baraza la mawaziri alionesha kutoridhishwa sana na TAMISEMI ya Jaffo
Magufuli hakujua haya??Mambo yameanza kwa kasi, Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source: TBC!
sanamu lipi Sasa wakati hajulikaniNashauri Kigogo ajengewe sanamu
Taratibu za kisheria zinataka hivyo, mpaka hapo lzma tumpongeze mama kwa kuliona hiloKwa nini tunaonyesha kila dalili ya kufurahia jambo bila hata kuchukua muda kutafakari?
Amesimamishwa kazi na hajafukuzwa kazi.
Uchunguzi wa kina ufanyike!!
Kipi cha ku celebrate hapo?
Maskini watanzania!!
Alimvimbia hadi Majaliwa huyuHuyo ni kati ya inner core wa JPM! Ama kweli kila zama na kitabu chake
Mambo yameanza kwa kasi, Rais Samia amsimamisha kazi DG wa Bandari bwana Kakoko
Source: TBC!
Aliuona ila ndio mambo ya kesi ya nyani unampelekea ngedere... PM aliwawajibisha walio kwenye mamlaka yake ilibaki kwa meko kumaliza kwa kakoko... Ila anamtumbuaje kakoko wakati ni mtu wakeKwa sifa anazopewa shujaa wetu wa Afrika ninashangaa kwanini hakuona huo uozo mapema!!
Mijamaa imefurahi sasa labda inapenda mtu wao mwingine akae tena!!system reboot mission accomplished
Toa Pumba ApaTPA kirefu chake ni nini?
Kakoko, Mfugale walikuwa TANROAD wakati JPM akiwa waziri wa hiyo wizara ya barabara unganisha mwenyewe yaliyobakiWhy was he untouchable? Was he eating with giants?
yupi huyo mtoto wa dada?Kuna mtu tunahitaji kumfundisha adabu kabla ya April 26...ujinga aliofanya tar 13 usiku kuamkia 14 hauvumiliki..
HAKIKA KIONGOZI
We mama una kichaa.