data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Manaake alikuwa anakula na Mkulu wake sio!??Kakoko alikuwa fisadi ambae ni UNTOUCHABLE.
Tunashukuru Mama kwa kulitumbua hilo jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manaake alikuwa anakula na Mkulu wake sio!??Kakoko alikuwa fisadi ambae ni UNTOUCHABLE.
Tunashukuru Mama kwa kulitumbua hilo jamaa.
Kwani alisemaje KigogoShikamoo Kigogo
Hapo ni hatariRipoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.
Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!
Kigogo ni Mnikulu 🤣🤣🤣Kigogo yupo Ikulu.
Tunasumbuana tu.
Tanzania port AuthorityTPA kirefu chake ni nini?
Tamisemi nako kumeozaaaaa, walizoea kujipendekeza kwa meko wakajipendekeze na kwa huyu sasaKampiga mkwara na Jaffo kule TAMISEMI! Safi mama tuko nyuma yako!
Ni hatari na nusu yaani!!Kama alisema hivyo basi jamaa n hatari
Why was he untouchable? Was he eating with giants?Kakoko alikuwa fisadi ambae ni UNTOUCHABLE.
Tunashukuru Mama kwa kulitumbua hilo jamaa.
Arudishe fao la kujitoa watu wachukue chao.Nenda nssf mama, fukuza wote hadi mameja wake wote
Mahesabu ni jioni.Wateule wa JPM hao sasa iweje wafikie hatua ya kuwa wezi? Hapa ndio napata picha JPM hakuwa mzalendo
Shujaa wa wapi?Kwa sifa anazopewa shujaa wetu wa Africa ninashangaa kwanini hakuona huo uozo mapema!!
Huyo ni kati ya inner core wa JPM! Ama kweli kila zama na kitabu chake
kasema ivoo...kwani alisemaje Kigogo
Afrika!Shujaa wa wapi?