King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
kwanini yupo deep hivi?
Hatari aisee ,mimi anachonishangaza ni kwamba muda wote yupo hewani na hapumziki,yaani hata ukiamka saa tisa usiku utakuta dakika mbili kapost kitu, ukiamka saa 10 yumo,saa 11 yumo na mwndo huo huo 24/7,kama hana spana basi anashabikia mpira tu na ni mwendo huo huo tangia mwezi wa nane mwaka jana baada ya mapumziko ya miezi miwili (June-August).