t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Bandari hapatakuja kutulia kwa sababu watu wanatoa maagizo badala ya mikakati.Ripoti ya CAG 2020/2021 iliyo tolewa leo mbele ya Mhe. Rais imebainisha kuwa na ubadhirifu wa kutisha mpaka kulazimika kumsimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Bandari.
Bandari kuna mdudu gani hapo asiye kufa!?!
Takukuru na vyombo vingine pamoja na FIU wanao wajibu wa kusafisha ubadhirifu huu unao jitokeza hapo bandarini, inaonekena kila mfanyakazi hapo Bandari ni Mpigaji.
Utawala wa tano ulijikita sana kwenye maagizo na tumbuatumbua bila kuweka mikakati ya kumaliza tatizo , hii ilisababisha kila wakiondoka sehemu , matatizo yanarudi pale pale