Rais Samia Suluhu ana emotional intelligence, utulivu wa hali ya juu

Oooh!!
So kumbe tumtenge na urais wake? Tumuongelee yeye ksma yete?
Binafsi nje ya Uongozi simfahamu kwakweli, Hapo sitakua na cha kuchangia.
Maana akina Magu na JK nje ya urais/uongozi kuna mahala tulikua tukikutana, lakini mama hapana, sijawahi kumuona wala kukutana naye bila ya kofia na Joho la uongozi
 
Huyu jamaa anachanganya kiburi na utulivu ajenda za taifa haziihitaji viburi vya viongozi vinavyoitwa utulivu
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu Una hasira Sana.
Ni hasira na viongozi wajinga na wapuuzi wasio kuwa na akili wala kujua chochote wanapewa madaraka makubwa ya kuongoza taifa letu masikini hawa watu hawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko uchina tuna viongozi useless sana.
 
Ni hasira na viongozi wajinga na wapuuzi wasio kuwa na akili wala kujua chochote wanapewa madaraka makubwa ya kuongoza taifa letu masikini hawa watu hawezi kuwa hata wenyeviti wa mitaa huko uchina tuna viongozi useless sana.

Hoja ni kuwa marekebisho yafanyike.
Hoja za msingi zisikilizwe. Hasa hoja za wenye Akili. Kwa sababu jamii yetu Watu wengi bado wapo Gizani.
Na wengine wanaunga mkono hoja kishabiki
 
Sasa si mmeshaambiwa maoni yamechukuliwa na yanafanyiwa kazi ?au mnataka wana JF wote tupelekwe Dubai au Dar tukaangalie marekebisho yanavofanyika?

Wanazungumzia marekebisho ya vifungu.
Serikali haijakubali wala kukiri kuwa inaenda kufanyia marekebisho hivyo vifungu. Badala yake inavitetea, hapo ndipo utata ulipo
 
Umeandika maneno meengi na nnadhan hii nukuu inakufaa!
"It does not require many words to speak the truth."
Chief Joseph.
 
Ni mtulivu au ameweka pamba masikioni?
 
Kibongo bongo ukiwa na emotional intelligence unaonekana boya.

Ila kusolve vitu kwako itakua rahisi sana maana hulimbikizi makitu kichwani na huna visasi.
 
Sasa si mmeshaambiwa maoni yamechukuliwa na yanafanyiwa kazi ?au mnataka wana JF wote tupelekwe Dubai au Dar tukaangalie marekebisho yanavofanyika?
Jana kasema yeye Samia ataendelea kukaa KIMYA nina imani wewe ni mtu mzima nadhani umeelewa ana maanisha case closed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…