Rais Samia Suluhu ana emotional intelligence, utulivu wa hali ya juu

Rais Samia Suluhu ana emotional intelligence, utulivu wa hali ya juu

RAIS SAMIA SULUHU ANA EMOTIONAL INTELLIGENCE, UTULIVU WA HALI YA JUU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Unajua hivi vyeo bhana ukileta mchezo unaweza kujikuta unafanya mambo ambayo hata wewe ukija kutulia unajishangaa. Vyeo vinaleta Kiburi, Jeuri na majivuno. mamlaka na utajiri bhana haviwafai Watu wenye zero emotional intelligence.

Hana Wenge, Hana pupa wala kupaparika. Hana kihedemswede kurukaruka kama mcheza Rede.

Mwanzoni alipochukua madaraka kidogo wenge lilitaka kumvaa, oooh! Mimi mwanamke, ooh! Blah blah! Sisi Watibeli tukasema enhee! Kuna haribika hapa.
Lakini baadaye kidogo akatuliza wenge.
Nafikiri ulikuwa ugeni wa nafasi aliyopewa.

Oooh! Huyo ni mwanamke, Mwanamke hawezi kuongoza bhana!
Mara ohooo! Huyo sijui mzanzibara anaongozaje watanganyika. Mara oooh! Huyu Mama sijui mumetolea wapi, Kwanza anarimotiwa na rimoti Ipo msoga.
Oooh! Huyo Mama yenu anaikabidhi nchi Kwa wajomba zake sijui Ndugu gani Huko arabuni.
Hapajatulia, oooh! Sijawahi kuona Mama dikteta, huyu ndiye atakuwa amevunja rekodi ya Ulimwengu kuwa Mwanamke wa Kwanza kuwa Dikteta.

Maneno hayo na mengine mengi Mno, mengine kuyasema inaweza kuwa ni aibu, lakini Rais Samia bado anautulivu.

Huwezi kuwa na utulivu ukiwa katika mashinikizo ya aina hiyo kama hauna emotional intelligence. Huwezi!

Tena Kwa nafasi kubwa aliyonayo, ukizingati ni Muafrika kama Sisi na wote tunajua jinsi Sisi waafrika tunavyo-act endapo Watu hasa tunaowamudu wakileta kile tutakachoona ni kushushiwa heshima.
Mbali na Uafrika lakini pia ni Mwanamke, ambayo ni Sifa ya dunia nzima kuwa Wanawake wapo very emotional, na wengi wao ni zero emotional intelligence. Lakini Kwa Samia hiyo iko tofauti.

Tumeona viongozi kadhaa waliopita wakitekenywa kidogo jinsi watakavyo react. Tumeona na kama wewe hukuona basi ni wewe. Lakini hata Huko makazini au majumbani tunajua pale kiongozi anapotekenywa kidogo jinsi atakavyo reacts bila kujali sheria zipo au hazipo.

Ni nadra Sana ukute kiongozi mwenye Utulivu, Hekima na busara katika kuyaendea mambo. Ni ngumu kiongozi hasa Kwa level ya Rais kuchokolewa alafu asitumie mamlaka yake bila kujali ni Kwa Njia halali au haramu.

Sisi Watibeli hatusifii Watu ili tupate sijui vyeo au tutambulike au sijui viongozi watuone wamaana. Hiyo kwetu haipo hivyo Kwa sababu Sisi wenyewe tumezaliwa tunavyeo, tunatambulika na kujitambua. Hatuhitaji sijui favour ya Rais au kiongozi kumpongeza au kumkosoa.

Ndio maana pamoja na kumsifia na kumpongeza Rais Samia Kwa utulivu aliuonyesha lakini bado haifichuli ukweli kuhusu mapungufu ambayo anaweza kuwa nayo.
Kuhusu mkataba WA Bandari ni ufanyiwe marekebisho Kwa manufaa ya Nchi.

Kama Rais Samia angekuwa hana emotional intelligence ingekuwa kivumbi na jasho huko kwenye majukwaa.
Angekuwa kila Siku anapambana kujibu makombora anayotumiwa, kisha naye Atume vijembe. Viongozi wa hivyo tumewaona.
Lakini ninyi semeni, yeye atasikia kama mnasema kweli au laa hiyo haina maana yoyote kwake.

Kuhusu wale wakushtakiwa sijui Kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Hilo Kwa Sisi Watibeli tunaita Wenge au kupaparika. Huko ni kukosa utulivu.

Kiongozi lazima awe na;

1. Akili
Upeo mkubwa wa kupambanua, kuchambua, kutatua changamoto za Watu wake. Maoni.

2. Uwezo wa kudhibiti hisia zake.
Kiongozi hatakiwi kuongozwa na mihemko kama mtoto anayebalehe.
Sikiliza, tulia, tafakari, chukua hatua kama kuna haja.

3. Mtu mwenye uwezo na sio mtu anayejitutumua kuonyesha anauwezo.
Hili ni tatizo Kwa jamii zetu za Afrika.
Yaani Watu uwezo Hawana lakini wanavyojitutumua sasa. Ndio maana dhulma na kutotendeka Kwa Haki kunatawala.

4. Uwezo wa kuwaunganisha Watu.
Unajua kabisa Watu unaowaongoza ni Wengi. Na kila mtu anaupeo na Akili zake. Sasa kutofautiana mawazo ndio unakasirika kama jinga Fulani hivi. Unakasirika nini kama wewe ni Kiongozi Bora kweli. Kiongozi lazima utambue kuwa Watu wanatofautiana na kila mmoja katika tofauti hizo anapaswa kuheshimiwa.
Kuna Watu wapole na wapo wakali, kuna Watu wenye kisirani na watu Watulivu. Kuna wenye Akili na wajinga. Mitazamo ya mafanikio inatofautiana.
Watu hao hawawezi kulingana. Na hata unavyodili nao lazima udili nao Kwa Akili.

Kila mmoja umtumie katika nafasi sahihi. Hata wajinga wanaumuhimu wao katika Dunia. Nafasi zao zipo na zikitumiwa vizuri ni faida Kwa nchi.

Kujua Watu na kujijua mwenye ndio tafsiri ya Hekima na busara Kwa sababu utajua nini chakufanya Kwa usahihi katika Wakati sahihi.

Jambo moja ambalo litanitia mashaka na ninalihofia ni pale Rais Samia ambaye ni Mwanamke awe na utulivu na emotional intelligence ambayo itawashinda viongozi wajao ambao tutakuwa wanaume.

Wanaume kwetu Hii ni challenge. Tumezoea kuona Wanawake ni Watu wa kukurupuka, kufanya vitu Kwa hasira na mihemko lakini Kwa Samia imekuwa tofauti.

Kikawaida ukiona nguvu kubwa inatumika ujue Akili ni ndogo. Na ukiona mtu anaendeshwa na mihemko ujue muda huo Akili haipo. Na ukiona mtu haendeshwi na mihemko ujue Akili yake inafanya kazi vizuri.
Ndio kuna ule msemo usema, usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha(mihemko). Hiyo ndio maana ya uongozi Kwa namna nyingine.

Hongera Rais Samia, lakini bado hoja ya mkataba WA Bandari uitilie maanani. Penye marekebisho Parekebishwe.

Ni Yule Mtibeli. Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Anakaa kimya mno. Mpaka minyukano ya kidini imeanza.
 
RAIS SAMIA SULUHU ANA EMOTIONAL INTELLIGENCE, UTULIVU WA HALI YA JUU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Unajua hivi vyeo bhana ukileta mchezo unaweza kujikuta unafanya mambo ambayo hata wewe ukija kutulia unajishangaa. Vyeo vinaleta Kiburi, Jeuri na majivuno. mamlaka na utajiri bhana haviwafai Watu wenye zero emotional intelligence.

Hana Wenge, Hana pupa wala kupaparika. Hana kihedemswede kurukaruka kama mcheza Rede.

Mwanzoni alipochukua madaraka kidogo wenge lilitaka kumvaa, oooh! Mimi mwanamke, ooh! Blah blah! Sisi Watibeli tukasema enhee! Kuna haribika hapa.
Lakini baadaye kidogo akatuliza wenge.
Nafikiri ulikuwa ugeni wa nafasi aliyopewa.

Oooh! Huyo ni mwanamke, Mwanamke hawezi kuongoza bhana!
Mara ohooo! Huyo sijui mzanzibara anaongozaje watanganyika. Mara oooh! Huyu Mama sijui mumetolea wapi, Kwanza anarimotiwa na rimoti Ipo msoga.
Oooh! Huyo Mama yenu anaikabidhi nchi Kwa wajomba zake sijui Ndugu gani Huko arabuni.
Hapajatulia, oooh! Sijawahi kuona Mama dikteta, huyu ndiye atakuwa amevunja rekodi ya Ulimwengu kuwa Mwanamke wa Kwanza kuwa Dikteta.

Maneno hayo na mengine mengi Mno, mengine kuyasema inaweza kuwa ni aibu, lakini Rais Samia bado anautulivu.

Huwezi kuwa na utulivu ukiwa katika mashinikizo ya aina hiyo kama hauna emotional intelligence. Huwezi!

Tena Kwa nafasi kubwa aliyonayo, ukizingati ni Muafrika kama Sisi na wote tunajua jinsi Sisi waafrika tunavyo-act endapo Watu hasa tunaowamudu wakileta kile tutakachoona ni kushushiwa heshima.
Mbali na Uafrika lakini pia ni Mwanamke, ambayo ni Sifa ya dunia nzima kuwa Wanawake wapo very emotional, na wengi wao ni zero emotional intelligence. Lakini Kwa Samia hiyo iko tofauti.

Tumeona viongozi kadhaa waliopita wakitekenywa kidogo jinsi watakavyo react. Tumeona na kama wewe hukuona basi ni wewe. Lakini hata Huko makazini au majumbani tunajua pale kiongozi anapotekenywa kidogo jinsi atakavyo reacts bila kujali sheria zipo au hazipo.

Ni nadra Sana ukute kiongozi mwenye Utulivu, Hekima na busara katika kuyaendea mambo. Ni ngumu kiongozi hasa Kwa level ya Rais kuchokolewa alafu asitumie mamlaka yake bila kujali ni Kwa Njia halali au haramu.

Sisi Watibeli hatusifii Watu ili tupate sijui vyeo au tutambulike au sijui viongozi watuone wamaana. Hiyo kwetu haipo hivyo Kwa sababu Sisi wenyewe tumezaliwa tunavyeo, tunatambulika na kujitambua. Hatuhitaji sijui favour ya Rais au kiongozi kumpongeza au kumkosoa.

Ndio maana pamoja na kumsifia na kumpongeza Rais Samia Kwa utulivu aliuonyesha lakini bado haifichuli ukweli kuhusu mapungufu ambayo anaweza kuwa nayo.
Kuhusu mkataba WA Bandari ni ufanyiwe marekebisho Kwa manufaa ya Nchi.

Kama Rais Samia angekuwa hana emotional intelligence ingekuwa kivumbi na jasho huko kwenye majukwaa.
Angekuwa kila Siku anapambana kujibu makombora anayotumiwa, kisha naye Atume vijembe. Viongozi wa hivyo tumewaona.
Lakini ninyi semeni, yeye atasikia kama mnasema kweli au laa hiyo haina maana yoyote kwake.

Kuhusu wale wakushtakiwa sijui Kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Hilo Kwa Sisi Watibeli tunaita Wenge au kupaparika. Huko ni kukosa utulivu.

Kiongozi lazima awe na;

1. Akili
Upeo mkubwa wa kupambanua, kuchambua, kutatua changamoto za Watu wake. Maoni.

2. Uwezo wa kudhibiti hisia zake.
Kiongozi hatakiwi kuongozwa na mihemko kama mtoto anayebalehe.
Sikiliza, tulia, tafakari, chukua hatua kama kuna haja.

3. Mtu mwenye uwezo na sio mtu anayejitutumua kuonyesha anauwezo.
Hili ni tatizo Kwa jamii zetu za Afrika.
Yaani Watu uwezo Hawana lakini wanavyojitutumua sasa. Ndio maana dhulma na kutotendeka Kwa Haki kunatawala.

4. Uwezo wa kuwaunganisha Watu.
Unajua kabisa Watu unaowaongoza ni Wengi. Na kila mtu anaupeo na Akili zake. Sasa kutofautiana mawazo ndio unakasirika kama jinga Fulani hivi. Unakasirika nini kama wewe ni Kiongozi Bora kweli. Kiongozi lazima utambue kuwa Watu wanatofautiana na kila mmoja katika tofauti hizo anapaswa kuheshimiwa.
Kuna Watu wapole na wapo wakali, kuna Watu wenye kisirani na watu Watulivu. Kuna wenye Akili na wajinga. Mitazamo ya mafanikio inatofautiana.
Watu hao hawawezi kulingana. Na hata unavyodili nao lazima udili nao Kwa Akili.

Kila mmoja umtumie katika nafasi sahihi. Hata wajinga wanaumuhimu wao katika Dunia. Nafasi zao zipo na zikitumiwa vizuri ni faida Kwa nchi.

Kujua Watu na kujijua mwenye ndio tafsiri ya Hekima na busara Kwa sababu utajua nini chakufanya Kwa usahihi katika Wakati sahihi.

Jambo moja ambalo litanitia mashaka na ninalihofia ni pale Rais Samia ambaye ni Mwanamke awe na utulivu na emotional intelligence ambayo itawashinda viongozi wajao ambao tutakuwa wanaume.

Wanaume kwetu Hii ni challenge. Tumezoea kuona Wanawake ni Watu wa kukurupuka, kufanya vitu Kwa hasira na mihemko lakini Kwa Samia imekuwa tofauti.

Kikawaida ukiona nguvu kubwa inatumika ujue Akili ni ndogo. Na ukiona mtu anaendeshwa na mihemko ujue muda huo Akili haipo. Na ukiona mtu haendeshwi na mihemko ujue Akili yake inafanya kazi vizuri.
Ndio kuna ule msemo usema, usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha(mihemko). Hiyo ndio maana ya uongozi Kwa namna nyingine.

Hongera Rais Samia, lakini bado hoja ya mkataba WA Bandari uitilie maanani. Penye marekebisho Parekebishwe.

Ni Yule Mtibeli. Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
''Mataikuni wa fasihi'' kama wewe wanapatikana Tanzania tu. Tuna hasara kubwa!
 
Wacha nikuambie kitu kuwa huo sio utulivu bali kiburi kwa anao waongoza kiongozi wa umma kwa nafasi yake huwezi kuwa kimya katika ajenda kubwa ya kitaifa bila kuijibia kwa maelezo ya kutosha na ya kueleweka kwa watu wote unao ongoza.

Taifa hili lingekuwa linatumia parliamentary democracy mpaka sasa maza angekuwa amekwisha wajibishwa na bunge haraka sana.

Hii presidential system ndio inampa kiburi ambacho wewe unaiita utulivu kwa sababu nafasi yake ipo safe katika kuwajibishwa ni ngumu sana hilo kutokea.

Maza hana utulivu bali ana kiburi kwa anao waongoza ila hana kiburi kwa walio mpa hayo madaraka( ukiielewa hii sentensi ya mwisho utakuwa umekua kimwili na kiakili usipo ielewa wewe bado dogo)
Ubongo wako umetafsiri kiburi ni vyema pia.
 
RAIS SAMIA SULUHU ANA EMOTIONAL INTELLIGENCE, UTULIVU WA HALI YA JUU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Unajua hivi vyeo bhana ukileta mchezo unaweza kujikuta unafanya mambo ambayo hata wewe ukija kutulia unajishangaa. Vyeo vinaleta Kiburi, Jeuri na majivuno. mamlaka na utajiri bhana haviwafai Watu wenye zero emotional intelligence.

Hana Wenge, Hana pupa wala kupaparika. Hana kihedemswede kurukaruka kama mcheza Rede.

Mwanzoni alipochukua madaraka kidogo wenge lilitaka kumvaa, oooh! Mimi mwanamke, ooh! Blah blah! Sisi Watibeli tukasema enhee! Kuna haribika hapa.
Lakini baadaye kidogo akatuliza wenge.
Nafikiri ulikuwa ugeni wa nafasi aliyopewa.

Oooh! Huyo ni mwanamke, Mwanamke hawezi kuongoza bhana!
Mara ohooo! Huyo sijui mzanzibara anaongozaje watanganyika. Mara oooh! Huyu Mama sijui mumetolea wapi, Kwanza anarimotiwa na rimoti Ipo msoga.
Oooh! Huyo Mama yenu anaikabidhi nchi Kwa wajomba zake sijui Ndugu gani Huko arabuni.
Hapajatulia, oooh! Sijawahi kuona Mama dikteta, huyu ndiye atakuwa amevunja rekodi ya Ulimwengu kuwa Mwanamke wa Kwanza kuwa Dikteta.

Maneno hayo na mengine mengi Mno, mengine kuyasema inaweza kuwa ni aibu, lakini Rais Samia bado anautulivu.

Huwezi kuwa na utulivu ukiwa katika mashinikizo ya aina hiyo kama hauna emotional intelligence. Huwezi!

Tena Kwa nafasi kubwa aliyonayo, ukizingati ni Muafrika kama Sisi na wote tunajua jinsi Sisi waafrika tunavyo-act endapo Watu hasa tunaowamudu wakileta kile tutakachoona ni kushushiwa heshima.
Mbali na Uafrika lakini pia ni Mwanamke, ambayo ni Sifa ya dunia nzima kuwa Wanawake wapo very emotional, na wengi wao ni zero emotional intelligence. Lakini Kwa Samia hiyo iko tofauti.

Tumeona viongozi kadhaa waliopita wakitekenywa kidogo jinsi watakavyo react. Tumeona na kama wewe hukuona basi ni wewe. Lakini hata Huko makazini au majumbani tunajua pale kiongozi anapotekenywa kidogo jinsi atakavyo reacts bila kujali sheria zipo au hazipo.

Ni nadra Sana ukute kiongozi mwenye Utulivu, Hekima na busara katika kuyaendea mambo. Ni ngumu kiongozi hasa Kwa level ya Rais kuchokolewa alafu asitumie mamlaka yake bila kujali ni Kwa Njia halali au haramu.

Sisi Watibeli hatusifii Watu ili tupate sijui vyeo au tutambulike au sijui viongozi watuone wamaana. Hiyo kwetu haipo hivyo Kwa sababu Sisi wenyewe tumezaliwa tunavyeo, tunatambulika na kujitambua. Hatuhitaji sijui favour ya Rais au kiongozi kumpongeza au kumkosoa.

Ndio maana pamoja na kumsifia na kumpongeza Rais Samia Kwa utulivu aliuonyesha lakini bado haifichuli ukweli kuhusu mapungufu ambayo anaweza kuwa nayo.
Kuhusu mkataba WA Bandari ni ufanyiwe marekebisho Kwa manufaa ya Nchi.

Kama Rais Samia angekuwa hana emotional intelligence ingekuwa kivumbi na jasho huko kwenye majukwaa.
Angekuwa kila Siku anapambana kujibu makombora anayotumiwa, kisha naye Atume vijembe. Viongozi wa hivyo tumewaona.
Lakini ninyi semeni, yeye atasikia kama mnasema kweli au laa hiyo haina maana yoyote kwake.

Kuhusu wale wakushtakiwa sijui Kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Hilo Kwa Sisi Watibeli tunaita Wenge au kupaparika. Huko ni kukosa utulivu.

Kiongozi lazima awe na;

1. Akili
Upeo mkubwa wa kupambanua, kuchambua, kutatua changamoto za Watu wake. Maoni.

2. Uwezo wa kudhibiti hisia zake.
Kiongozi hatakiwi kuongozwa na mihemko kama mtoto anayebalehe.
Sikiliza, tulia, tafakari, chukua hatua kama kuna haja.

3. Mtu mwenye uwezo na sio mtu anayejitutumua kuonyesha anauwezo.
Hili ni tatizo Kwa jamii zetu za Afrika.
Yaani Watu uwezo Hawana lakini wanavyojitutumua sasa. Ndio maana dhulma na kutotendeka Kwa Haki kunatawala.

4. Uwezo wa kuwaunganisha Watu.
Unajua kabisa Watu unaowaongoza ni Wengi. Na kila mtu anaupeo na Akili zake. Sasa kutofautiana mawazo ndio unakasirika kama jinga Fulani hivi. Unakasirika nini kama wewe ni Kiongozi Bora kweli. Kiongozi lazima utambue kuwa Watu wanatofautiana na kila mmoja katika tofauti hizo anapaswa kuheshimiwa.
Kuna Watu wapole na wapo wakali, kuna Watu wenye kisirani na watu Watulivu. Kuna wenye Akili na wajinga. Mitazamo ya mafanikio inatofautiana.
Watu hao hawawezi kulingana. Na hata unavyodili nao lazima udili nao Kwa Akili.

Kila mmoja umtumie katika nafasi sahihi. Hata wajinga wanaumuhimu wao katika Dunia. Nafasi zao zipo na zikitumiwa vizuri ni faida Kwa nchi.

Kujua Watu na kujijua mwenye ndio tafsiri ya Hekima na busara Kwa sababu utajua nini chakufanya Kwa usahihi katika Wakati sahihi.

Jambo moja ambalo litanitia mashaka na ninalihofia ni pale Rais Samia ambaye ni Mwanamke awe na utulivu na emotional intelligence ambayo itawashinda viongozi wajao ambao tutakuwa wanaume.

Wanaume kwetu Hii ni challenge. Tumezoea kuona Wanawake ni Watu wa kukurupuka, kufanya vitu Kwa hasira na mihemko lakini Kwa Samia imekuwa tofauti.

Kikawaida ukiona nguvu kubwa inatumika ujue Akili ni ndogo. Na ukiona mtu anaendeshwa na mihemko ujue muda huo Akili haipo. Na ukiona mtu haendeshwi na mihemko ujue Akili yake inafanya kazi vizuri.
Ndio kuna ule msemo usema, usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha(mihemko). Hiyo ndio maana ya uongozi Kwa namna nyingine.

Hongera Rais Samia, lakini bado hoja ya mkataba WA Bandari uitilie maanani. Penye marekebisho Parekebishwe.

Ni Yule Mtibeli. Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hapana, sifa hiyo Hana kabisa. Kama tumekosa watu wa kusifia hivyo basi tuache tu. Si lazima kumsifia kwasababu ni kiongozi. Narudia sifa hiyo Hana kabisa.
 
RAIS SAMIA SULUHU ANA EMOTIONAL INTELLIGENCE, UTULIVU WA HALI YA JUU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Unajua hivi vyeo bhana ukileta mchezo unaweza kujikuta unafanya mambo ambayo hata wewe ukija kutulia unajishangaa. Vyeo vinaleta Kiburi, Jeuri na majivuno. mamlaka na utajiri bhana haviwafai Watu wenye zero emotional intelligence.

Hana Wenge, Hana pupa wala kupaparika. Hana kihedemswede kurukaruka kama mcheza Rede.

Mwanzoni alipochukua madaraka kidogo wenge lilitaka kumvaa, oooh! Mimi mwanamke, ooh! Blah blah! Sisi Watibeli tukasema enhee! Kuna haribika hapa.
Lakini baadaye kidogo akatuliza wenge.
Nafikiri ulikuwa ugeni wa nafasi aliyopewa.

Oooh! Huyo ni mwanamke, Mwanamke hawezi kuongoza bhana!
Mara ohooo! Huyo sijui mzanzibara anaongozaje watanganyika. Mara oooh! Huyu Mama sijui mumetolea wapi, Kwanza anarimotiwa na rimoti Ipo msoga.
Oooh! Huyo Mama yenu anaikabidhi nchi Kwa wajomba zake sijui Ndugu gani Huko arabuni.
Hapajatulia, oooh! Sijawahi kuona Mama dikteta, huyu ndiye atakuwa amevunja rekodi ya Ulimwengu kuwa Mwanamke wa Kwanza kuwa Dikteta.

Maneno hayo na mengine mengi Mno, mengine kuyasema inaweza kuwa ni aibu, lakini Rais Samia bado anautulivu.

Huwezi kuwa na utulivu ukiwa katika mashinikizo ya aina hiyo kama hauna emotional intelligence. Huwezi!

Tena Kwa nafasi kubwa aliyonayo, ukizingati ni Muafrika kama Sisi na wote tunajua jinsi Sisi waafrika tunavyo-act endapo Watu hasa tunaowamudu wakileta kile tutakachoona ni kushushiwa heshima.
Mbali na Uafrika lakini pia ni Mwanamke, ambayo ni Sifa ya dunia nzima kuwa Wanawake wapo very emotional, na wengi wao ni zero emotional intelligence. Lakini Kwa Samia hiyo iko tofauti.

Tumeona viongozi kadhaa waliopita wakitekenywa kidogo jinsi watakavyo react. Tumeona na kama wewe hukuona basi ni wewe. Lakini hata Huko makazini au majumbani tunajua pale kiongozi anapotekenywa kidogo jinsi atakavyo reacts bila kujali sheria zipo au hazipo.

Ni nadra Sana ukute kiongozi mwenye Utulivu, Hekima na busara katika kuyaendea mambo. Ni ngumu kiongozi hasa Kwa level ya Rais kuchokolewa alafu asitumie mamlaka yake bila kujali ni Kwa Njia halali au haramu.

Sisi Watibeli hatusifii Watu ili tupate sijui vyeo au tutambulike au sijui viongozi watuone wamaana. Hiyo kwetu haipo hivyo Kwa sababu Sisi wenyewe tumezaliwa tunavyeo, tunatambulika na kujitambua. Hatuhitaji sijui favour ya Rais au kiongozi kumpongeza au kumkosoa.

Ndio maana pamoja na kumsifia na kumpongeza Rais Samia Kwa utulivu aliuonyesha lakini bado haifichuli ukweli kuhusu mapungufu ambayo anaweza kuwa nayo.
Kuhusu mkataba WA Bandari ni ufanyiwe marekebisho Kwa manufaa ya Nchi.

Kama Rais Samia angekuwa hana emotional intelligence ingekuwa kivumbi na jasho huko kwenye majukwaa.
Angekuwa kila Siku anapambana kujibu makombora anayotumiwa, kisha naye Atume vijembe. Viongozi wa hivyo tumewaona.
Lakini ninyi semeni, yeye atasikia kama mnasema kweli au laa hiyo haina maana yoyote kwake.

Kuhusu wale wakushtakiwa sijui Kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Hilo Kwa Sisi Watibeli tunaita Wenge au kupaparika. Huko ni kukosa utulivu.

Kiongozi lazima awe na;

1. Akili
Upeo mkubwa wa kupambanua, kuchambua, kutatua changamoto za Watu wake. Maoni.

2. Uwezo wa kudhibiti hisia zake.
Kiongozi hatakiwi kuongozwa na mihemko kama mtoto anayebalehe.
Sikiliza, tulia, tafakari, chukua hatua kama kuna haja.

3. Mtu mwenye uwezo na sio mtu anayejitutumua kuonyesha anauwezo.
Hili ni tatizo Kwa jamii zetu za Afrika.
Yaani Watu uwezo Hawana lakini wanavyojitutumua sasa. Ndio maana dhulma na kutotendeka Kwa Haki kunatawala.

4. Uwezo wa kuwaunganisha Watu.
Unajua kabisa Watu unaowaongoza ni Wengi. Na kila mtu anaupeo na Akili zake. Sasa kutofautiana mawazo ndio unakasirika kama jinga Fulani hivi. Unakasirika nini kama wewe ni Kiongozi Bora kweli. Kiongozi lazima utambue kuwa Watu wanatofautiana na kila mmoja katika tofauti hizo anapaswa kuheshimiwa.
Kuna Watu wapole na wapo wakali, kuna Watu wenye kisirani na watu Watulivu. Kuna wenye Akili na wajinga. Mitazamo ya mafanikio inatofautiana.
Watu hao hawawezi kulingana. Na hata unavyodili nao lazima udili nao Kwa Akili.

Kila mmoja umtumie katika nafasi sahihi. Hata wajinga wanaumuhimu wao katika Dunia. Nafasi zao zipo na zikitumiwa vizuri ni faida Kwa nchi.

Kujua Watu na kujijua mwenye ndio tafsiri ya Hekima na busara Kwa sababu utajua nini chakufanya Kwa usahihi katika Wakati sahihi.

Jambo moja ambalo litanitia mashaka na ninalihofia ni pale Rais Samia ambaye ni Mwanamke awe na utulivu na emotional intelligence ambayo itawashinda viongozi wajao ambao tutakuwa wanaume.

Wanaume kwetu Hii ni challenge. Tumezoea kuona Wanawake ni Watu wa kukurupuka, kufanya vitu Kwa hasira na mihemko lakini Kwa Samia imekuwa tofauti.

Kikawaida ukiona nguvu kubwa inatumika ujue Akili ni ndogo. Na ukiona mtu anaendeshwa na mihemko ujue muda huo Akili haipo. Na ukiona mtu haendeshwi na mihemko ujue Akili yake inafanya kazi vizuri.K
Ndio kuna ule msemo usema, usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha(mihemko). Hiyo ndio maana ya uongozi Kwa namna nyingine.

Hongera Rais Samia, lakini bado hoja ya mkataba WA Bandari uitilie maanani. Penye marekebisho Parekebishwe.

Ni Yule Mtibeli. Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
What is emotional intelligence or EQ? Emotional intelligence (otherwise known as emotional quotient or EQ) is the ability to understand, use, and manage your own emotions in positive ways to relieve stress, communicate effectively, empathize with others, overcome challenges and defuse conflict.

\huwezi kusema ana emotional intelligence huku akituma chawa wake kufungulia kesi za ugaidi na uhaini wapinzani wake. Huo ni uchawi/undumilakuwili
 
Wacha nikuambie kitu kuwa huo sio utulivu bali kiburi kwa anao waongoza kiongozi wa umma kwa nafasi yake huwezi kuwa kimya katika ajenda kubwa ya kitaifa bila kuijibia kwa maelezo ya kutosha na ya kueleweka kwa watu wote unao ongoza.

Taifa hili lingekuwa linatumia parliamentary democracy mpaka sasa maza angekuwa amekwisha wajibishwa na bunge haraka sana.

Hii presidential system ndio inampa kiburi ambacho wewe unaiita utulivu kwa sababu nafasi yake ipo safe katika kuwajibishwa ni ngumu sana hilo kutokea.

Maza hana utulivu bali ana kiburi kwa anao waongoza ila hana kiburi kwa walio mpa hayo madaraka( ukiielewa hii sentensi ya mwisho utakuwa umekua kimwili na kiakili usipo ielewa wewe bado dogo)
Magufuli alisema siku ile ya kuweka jiwe la msingi la fly over ya Ubungo kwamba anachoamua anakifanya bila ya kusikiliza maneno mengi yaliyokuwa yakimwambia amfukuze kazi Paul Makonda, hakufanya kama walivyotarajia.

Samia kusema anakaa kimya tayari ni nongwa!, vipi kama angejibu hovyo kama siku ile alivyojibu hayati JPM pale Ubungo?.

Rais ni amiri jeshi mkuu wa nchi, anakula kiapo na anayo haki ya kuwahakikishia raia anaowaongoza juu ya uwepo wa amani kwenye maisha yao ya kila siku.
 
What is emotional intelligence or EQ? Emotional intelligence (otherwise known as emotional quotient or EQ) is the ability to understand, use, and manage your own emotions in positive ways to relieve stress, communicate effectively, empathize with others, overcome challenges and defuse conflict.

\huwezi kusema ana emotional intelligence huku akituma chawa wake kufungulia kesi za ugaidi na uhaini wapinzani wake. Huo ni uchawi/undumilakuwili

Hata kama Hana 100% lakini hakosi 60% hiyo inatosha Mkuu.
 
RAIS SAMIA SULUHU ANA EMOTIONAL INTELLIGENCE, UTULIVU WA HALI YA JUU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Unajua hivi vyeo bhana ukileta mchezo unaweza kujikuta unafanya mambo ambayo hata wewe ukija kutulia unajishangaa. Vyeo vinaleta Kiburi, Jeuri na majivuno. mamlaka na utajiri bhana haviwafai Watu wenye zero emotional intelligence.

Hana Wenge, Hana pupa wala kupaparika. Hana kihedemswede kurukaruka kama mcheza Rede.

Mwanzoni alipochukua madaraka kidogo wenge lilitaka kumvaa, oooh! Mimi mwanamke, ooh! Blah blah! Sisi Watibeli tukasema enhee! Kuna haribika hapa.
Lakini baadaye kidogo akatuliza wenge.
Nafikiri ulikuwa ugeni wa nafasi aliyopewa.

Oooh! Huyo ni mwanamke, Mwanamke hawezi kuongoza bhana!
Mara ohooo! Huyo sijui mzanzibara anaongozaje watanganyika. Mara oooh! Huyu Mama sijui mumetolea wapi, Kwanza anarimotiwa na rimoti Ipo msoga.
Oooh! Huyo Mama yenu anaikabidhi nchi Kwa wajomba zake sijui Ndugu gani Huko arabuni.
Hapajatulia, oooh! Sijawahi kuona Mama dikteta, huyu ndiye atakuwa amevunja rekodi ya Ulimwengu kuwa Mwanamke wa Kwanza kuwa Dikteta.

Maneno hayo na mengine mengi Mno, mengine kuyasema inaweza kuwa ni aibu, lakini Rais Samia bado anautulivu.

Huwezi kuwa na utulivu ukiwa katika mashinikizo ya aina hiyo kama hauna emotional intelligence. Huwezi!

Tena Kwa nafasi kubwa aliyonayo, ukizingati ni Muafrika kama Sisi na wote tunajua jinsi Sisi waafrika tunavyo-act endapo Watu hasa tunaowamudu wakileta kile tutakachoona ni kushushiwa heshima.
Mbali na Uafrika lakini pia ni Mwanamke, ambayo ni Sifa ya dunia nzima kuwa Wanawake wapo very emotional, na wengi wao ni zero emotional intelligence. Lakini Kwa Samia hiyo iko tofauti.

Tumeona viongozi kadhaa waliopita wakitekenywa kidogo jinsi watakavyo react. Tumeona na kama wewe hukuona basi ni wewe. Lakini hata Huko makazini au majumbani tunajua pale kiongozi anapotekenywa kidogo jinsi atakavyo reacts bila kujali sheria zipo au hazipo.

Ni nadra Sana ukute kiongozi mwenye Utulivu, Hekima na busara katika kuyaendea mambo. Ni ngumu kiongozi hasa Kwa level ya Rais kuchokolewa alafu asitumie mamlaka yake bila kujali ni Kwa Njia halali au haramu.

Sisi Watibeli hatusifii Watu ili tupate sijui vyeo au tutambulike au sijui viongozi watuone wamaana. Hiyo kwetu haipo hivyo Kwa sababu Sisi wenyewe tumezaliwa tunavyeo, tunatambulika na kujitambua. Hatuhitaji sijui favour ya Rais au kiongozi kumpongeza au kumkosoa.

Ndio maana pamoja na kumsifia na kumpongeza Rais Samia Kwa utulivu aliuonyesha lakini bado haifichuli ukweli kuhusu mapungufu ambayo anaweza kuwa nayo.
Kuhusu mkataba WA Bandari ni ufanyiwe marekebisho Kwa manufaa ya Nchi.

Kama Rais Samia angekuwa hana emotional intelligence ingekuwa kivumbi na jasho huko kwenye majukwaa.
Angekuwa kila Siku anapambana kujibu makombora anayotumiwa, kisha naye Atume vijembe. Viongozi wa hivyo tumewaona.
Lakini ninyi semeni, yeye atasikia kama mnasema kweli au laa hiyo haina maana yoyote kwake.

Kuhusu wale wakushtakiwa sijui Kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Hilo Kwa Sisi Watibeli tunaita Wenge au kupaparika. Huko ni kukosa utulivu.

Kiongozi lazima awe na;

1. Akili
Upeo mkubwa wa kupambanua, kuchambua, kutatua changamoto za Watu wake. Maoni.

2. Uwezo wa kudhibiti hisia zake.
Kiongozi hatakiwi kuongozwa na mihemko kama mtoto anayebalehe.
Sikiliza, tulia, tafakari, chukua hatua kama kuna haja.

3. Mtu mwenye uwezo na sio mtu anayejitutumua kuonyesha anauwezo.
Hili ni tatizo Kwa jamii zetu za Afrika.
Yaani Watu uwezo Hawana lakini wanavyojitutumua sasa. Ndio maana dhulma na kutotendeka Kwa Haki kunatawala.

4. Uwezo wa kuwaunganisha Watu.
Unajua kabisa Watu unaowaongoza ni Wengi. Na kila mtu anaupeo na Akili zake. Sasa kutofautiana mawazo ndio unakasirika kama jinga Fulani hivi. Unakasirika nini kama wewe ni Kiongozi Bora kweli. Kiongozi lazima utambue kuwa Watu wanatofautiana na kila mmoja katika tofauti hizo anapaswa kuheshimiwa.
Kuna Watu wapole na wapo wakali, kuna Watu wenye kisirani na watu Watulivu. Kuna wenye Akili na wajinga. Mitazamo ya mafanikio inatofautiana.
Watu hao hawawezi kulingana. Na hata unavyodili nao lazima udili nao Kwa Akili.

Kila mmoja umtumie katika nafasi sahihi. Hata wajinga wanaumuhimu wao katika Dunia. Nafasi zao zipo na zikitumiwa vizuri ni faida Kwa nchi.

Kujua Watu na kujijua mwenye ndio tafsiri ya Hekima na busara Kwa sababu utajua nini chakufanya Kwa usahihi katika Wakati sahihi.

Jambo moja ambalo litanitia mashaka na ninalihofia ni pale Rais Samia ambaye ni Mwanamke awe na utulivu na emotional intelligence ambayo itawashinda viongozi wajao ambao tutakuwa wanaume.

Wanaume kwetu Hii ni challenge. Tumezoea kuona Wanawake ni Watu wa kukurupuka, kufanya vitu Kwa hasira na mihemko lakini Kwa Samia imekuwa tofauti.

Kikawaida ukiona nguvu kubwa inatumika ujue Akili ni ndogo. Na ukiona mtu anaendeshwa na mihemko ujue muda huo Akili haipo. Na ukiona mtu haendeshwi na mihemko ujue Akili yake inafanya kazi vizuri.
Ndio kuna ule msemo usema, usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha(mihemko). Hiyo ndio maana ya uongozi Kwa namna nyingine.

Hongera Rais Samia, lakini bado hoja ya mkataba WA Bandari uitilie maanani. Penye marekebisho Parekebishwe.

Ni Yule Mtibeli. Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kukaa kimya wakati unatakiwa kuzungumza siyo hekima hata kidogo!! Kukaa kimya wakati ni wewe peke yako unayetakiwa kutoa suluhisho siyo hekima hata kidogo! Ni woga! ni kukwepa jukumu ambalo ni wewe peke yako unasubiriwa ulitoe!! Kukaa kimya wakati suluhisho la haraka linatakiwa ni kutokujiamini!! Tukubali kuusema ukweli hata kama tunataka nafasi za uteuzi!!! Mama tunampenda lakini hapa amefeli!! Ameamua kuyaacha mambo yaende hivyo hivyo liwalo na liwe!! Historia itamhukumu!!
 
Anakaa kimya kwa sababu hana jibu la yanayoulizwa. Hivi ulishaona mwizi anapokamatwa anakuwa na ya kusema? Anachofanya ni kuwasihi waarabu wabadili mkataba kimya kimya halafu baadae aje aseme ''walipiga kelele kuwa nchi imeuzwa, mbona haijauzwa''?
Waarabu wamemshika pabaya!! Hawana adabu wale!! Lazima watamwaibisha!!
 
mtu yeyote yule mwenye akili timamu lazima awe na emotional inteligence......mama samia huwezi kumlinganisha na baba jesca

..Ni kweli Mama'ake Abduli ni tofaute na Baba Jesca.

..lakini kutoku-act muda wote huu, na kupelekea kuwepo kwa mifarakano ktk jamii, kunaashiria kwamba huyu Mama hana uwezo wa kufanya maamuzi kunapotokea matatizo.

..kama sio hivyo basi atakuwa hajali kwa hayo yanayoendelea.

..kama tatizo limejitokeza halafu KIONGOZI hatoi ufafanuzi, na zaidi hachukui hatua kutatua tatizo, kwangu mimi hiyo sio emotional intelligence.
 
Back
Top Bottom