Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

RaisSamia Suluhu hana mpinzani 2025
 
Mh mama Samia suluhu Hassani 2025 usidanganyike kuchukua fomu utaaibika.

CCM viongozi wanakundanganya , CCM wanachama wanakusema vibaya mno.

Sabuni ya Kufulia nguo kipande ni Tsh 1,200 /=
Rais Samia Suluhu hana mpinzani 2025 we ndo unajidanganya wananchi tunamkubali kinyama
 
Aliyeweza utekekezaji na mara nyingine papo hapo ni JPM Hawa wengine wanaendelea na upigaji tu!
Swala maji limekuwa kero kubwa ya Taifa na haitekelezwi
 
Kwa Takwimu hizi hapa unategemea atashindana na nani akamshinda?

Someni wenyewe,hi ni afya tuu bado maji,kilimo,barabara,elimu, biashara nk nk[emoji116]
Nini ya asilimia 5 wakati wengine wako asilimia 80. Hivyo vituo vya afya unavyoongelea hata maji hakuna! Kitanda ya kubebea mgonjwa hakuna. Dawa ndio janga kubwa. Hata umeme hakuna!
Wahufumu Wana majibu Hovyo.
 
Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vitatoa jibu.
Hii tabia ya kujikomba kwa Viongozi ilichukiwa sana na Baba wa Taifa. Naona Rais SSH anaipenda sana. Nilimsikia alivyojibu wakati wa mahojiano na BBC!
Oh, tunamshukuru sana Samia kwa kutupatia fedha za kujenga Zahanati, wakati pesa hizo tumetoa sisi wenyewe kwenye Tozo, tena sambamba na Kodi nyingine lukuki.
CCM wanajua kuwa hawatakiwi. Ndiyo sababu Katiba Mpya haitakuja wala Tume Huru ya Uchaguzi.
We are in bondage!
 
Wala hujakosea! Kama hakuna marekebisho ya Katiba na Tume ya Uchaguzi atazoa zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…