peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kazi ipi Anafanya?Hao wanachama ulikaa nao lini na katika kikao kipi wewe, Ni mama Hadi 2030, kazi anayoifanya lazima aendelee nayo Ili kuijenga Tanzania iliyo Bora zaidi
2020 mlisema hivyohivyo kwa JIWE TAKATIFU...mwsho wa Siku mkaishia kuiba kura kwa kiwango Cha kimataifa na Cha kipuuzi...Ndugu zangu wahenga walishasema Nyota njema huonekana asubuhi, kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya mh Rais katika kuijenga Tanzania mpya, Ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita.
Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo Wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa mh Rais uchaguzi ujao.
Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa Ni Kama alikuwa analijuwa Hilo.
Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na Sera kwa serikali yake, kwa hiyo saiz wapinzani wanashindwa wawaeleze Nini wananchi maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na mh Rais.
Ndio maana unaona wapinzani wengi Sana wanamuunga mkono mh Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu.
Hakika siasa Ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi, maana wananchi walichokuwa wanahitaji Ni mtumishi wao na kwa Sasa mama Samia suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana habari tena na habari za vurugu Wala maandamano Wala makelele Wala matusi kwa serikali.
Mama anaupiga mwingi, Ni mama Hadi 2030 Ndio tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho.
Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania mh Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na Afya njema.
Ndio maana wapinzani wameamua yaishee tu maana wameona kwa Kasi hii ya mama hawawezi ambulia kitu, Ndio maana unaona hata akina mh Mbowe wanamuunga mkono mh Rais katika kuijenga Tanzania chini ya mh Rais wetuHata wale haters saizi wanayetemeka..
Mbarawa alisema mwezi wa Tisa magari yataanza kupita Wami itakuwa hivyo ujenzi uko hatua za mwisho 👇
Acha TU MKUU,vitu vimepanda Bei HATARI Sana...Mh mama Samia suluhu Hassani 2025 usidanganyike kuchukua fomu utaaibika.
CCM viongozi wanakundanganya , CCM wanachama wanakusema vibaya mno.
Sabuni ya Kufulia nguo kipande ni Tsh 1,200 /=
Bajeti ya 2022/2023 fedha hakuna hadi mwezi August kwenye mifumo kulia watu, kisingizio migumo mibovu.Kwa Takwimu hizi hapa unategemea atashindana na nani akamshinda?
Someni wenyewe,hi ni afya tuu bado maji,kilimo,barabara,elimu, biashara nk nk👇
Chungwa moja 300/=Acha TU MKUU,vitu vimepanda Bei HATARI Sana...
Hawa chawa wa LUMUMBA hawawezi lijua Hilo...WANAWAZA MATUMBO YAO TUTanzania ukiwa rais hutegemei kura kukaa madarakani, madaraka yako yanatosha kukupa urais. Tena unatangazwa urais kwa idadi ya kura unazotaka.
Hadi changudoa wamepanda bei ukiuliza sababu unajibiwa ni vita ya Russia.Hawa chawa wa LUMUMBA hawawezi lijua Hilo...WANAWAZA MATUMBO YAO TU
Swala Hilo Ni la Dunia yote japo sisi huku yumepata bahati ya mama kupambana nalo hatua kwa hatua kwa kutenga fedha kwa ajili ya kutoa Kama Ruzuku ili kumpunguzia mzigo mwananchi, mh Rais amefanya hivyo katika mafuta kwa kutoa billion Mia moja kila mwezi, pia katika kilimo ametoa billioni Mia moja hamsini Kama Ruzuku ili Bei ya mbolea ipungueAcha TU MKUU,vitu vimepanda Bei HATARI Sana...
Bila kusahau anateua mpaka idadi ya magoli atakayokufungaEti "atapata kura zote", kauli za namna hii hutolewa na watu wenye low IQ, walamba miguu, was wasubiri teuzi
Tuna safari ndefu kama tunataka tufike nchi tenye demokrasia walau kama hapo Kenya tu.
Wapi uliona mchezaji anateua refa, kamisaa, uwanja wa kuchezea, mpira halafu anapambanishwa na mwenzake, only in tz..nchi ya hovyo hii.
Asiwasikilize hao wenye kuimba mapambio !! Kazi nzito inatakiwa kufanywa kabla ya 2025 !!Mh mama Samia suluhu Hassani 2025 usidanganyike kuchukua fomu utaaibika.
CCM viongozi wanakundanganya , CCM wanachama wanakusema vibaya mno.
Sabuni ya Kufulia nguo kipande ni Tsh 1,200 /=
Mahindi ndio Nini?Hapo Kenya unapopasifia kwani hujasikia Raila Odinga anailalamikia Tume au hujasikia akijitangaza kuwa Ni mahindi hata kabla ya matokeo, Sasa unataka kusema Nini tuelewe vizuri
Wewe wapiga kura hizo za kuzoa, ulikutana nao wapi? Uchawa ukizidi unakuwa mpumbavu,Hao wanachama ulikaa nao lini na katika kikao kipi wewe, Ni mama Hadi 2030, kazi anayoifanya lazima aendelee nayo Ili kuijenga Tanzania iliyo Bora zaidi
Hadi changudoa wamepanda bei ukiuliza sababu unajibiwa ni vita ya Russia.
Kazi nzito na ya kutukuka mh Rais anaendelea kuifanya siku Hadi siku, Ndio maana muda wote unamuona mh Rais akiwa kazini kushughulikia kero mbalimbaliAsiwasikilize hao wenye kuimba mapambio !! Kazi nzito inatakiwa kufanywa kabla ya 2025 !!
Samahani nilimàanisha mshindiMahindi ndio Nini?
Naomba mkuu nikuulize swali,na majibu ukae nayo siyahitaji...jijibu TU moyon mwako...JE UNA FAMILIA?JE WANAJUA HII AIBU UNAYOIPATA HUKU?JE WANAJUA UNALIPWA BUKU SABA,KUTETEA UONGO?MUNGU AKUBARIKI MKUU...Swala Hilo Ni la Dunia yote japo sisi huku yumepata bahati ya mama kupambana nalo hatua kwa hatua kwa kutenga fedha kwa ajili ya kutoa Kama Ruzuku ili kumpunguzia mzigo mwananchi, mh Rais amefanya hivyo katika mafuta kwa kutoa billion Mia moja kila mwezi, pia katika kilimo ametoa billioni Mia moja hamsini Kama Ruzuku ili Bei ya mbolea ipungue
Tuna Imani na mh Rais kuwa atatuvusha salama hata hapa na ndio maana unaona akipata uungwaji mkono kila mahali,
Wapiga kura huku mtaani wanasubiri tu uchaguzi ili wamlipe mama kwa kumpigia kura kutokanaa na kazi kubwa aliyoifanya na anayoendelea nayo, wanasema watahamasishana kwenda kumpigia kura kwa wingi ili kumpa faraja na kumtia moyo kuwa aendelee kuwatumikia watanzaniaWewe wapiga kura hizo za kuzoa, ulikutana nao wapi? Uchawa ukizidi unakuwa mpumbavu,