Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao


Ni kweli kabisa kwamba kwa sasa kwenye nchi yetu hamna mpinzani anayeonekana kuwa na mvuto wa Urais, ila mnamdanganya sana Rais.

Fanyeni utafiti kwa kuuliza watu wa hali ya chini ambao ndio wapiga kura wengi,mtagundua kitu.
Watu wa Chini wa wapi Mzee? Kwani sie wa humu tuko juu?

Hujaona mikutano ya Rais maeneo aliyoenda? Usihangaike Sana na watu wa Mijini ambao huwa hawaelewi wanataka nini..

Just imagine huduma kama hizi,robo 3 ziko Vijijini na huko wanaofaidi ni wanavijiji na wamama ambao ndio wapiga kura haswaaa👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-203211.png
    Screenshot_20220816-203211.png
    87.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220815-163443.png
    Screenshot_20220815-163443.png
    93.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220814-111008.png
    Screenshot_20220814-111008.png
    180 KB · Views: 5
K

Kazi ipi Anafanya?
Zitaje nje ya kuomba mikopo ya kujenga madarasa na vyoo?
Naona umekata tamaa 😜😜😜😜

Nakuonyesha baadhi tuu..

maji,afya,Ruzuku,barabara Vijijini na Umeme ni yameshawamaliza Chadomo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220816-203211.png
    Screenshot_20220816-203211.png
    87.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220815-163443.png
    Screenshot_20220815-163443.png
    93.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220814-111008.png
    Screenshot_20220814-111008.png
    180 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220813-183141.png
    Screenshot_20220813-183141.png
    139.3 KB · Views: 4
Watu wa Chini wa wapi Mzee? Kwani sie wa humu tuko juu?

Hujaona mikutano ya Rais maeneo aliyoenda? Usihangaike Sana na watu wa Mijini ambao huwa hawaelewi wanataka nini..

Just imagine huduma kama hizi,robo 3 ziko Vijijini na huko wanaofaidi ni wanavijiji na wamama ambao ndio wapiga kura haswaaa👇

Mimi nasema mkafanye utafiti muone wapiga kura wanamzungumziaje, wewe unaniletea vipicha vya propaganda.
Mimi nampenda huyo Mama ila siwezi kumdanganya, uungwaji mkono wake ni mdogo sana tena hasa kwa Wanawake.
Ni vile tu sasa hivi hatuna upinzani.
 
Mimi nasema mkafanye utafiti muone wapiga kura wanamzungumziaje, wewe unaniletea vipicha vya propaganda.

Mimi nampenda huyo Mama ila siwezi kumdanganya, uungwaji mkono wake ni mdogo sana tena hasa kwa Wanawake.
Ni vile tu sasa hivi hatuna upinzani.
Na mimi nimekujibu kwamba,ulitegemea wapiga kura wa mjini imekukata Hata hivyo hata mjini sio wote wanashabikia upinzani sana sana wa mjini wanasema hatutaoiga kura maana tunajua Rais lazima apite huyu huyu 😬😬.

Kijijini huko kura zote ni za Rais Samia.Mwishi Nimekwambia huoni mikutano ya Rais akiwa ziarani?

Humu jf hamna wapiga kura ila kuna wapiga Domo..

Uliwahi ona wapi Mtanzania umpe Ruzuku ya Mbolea harafu asikupigie kura? Wapi uliona?
 
Kama mtoa mada hajatokea Mars au Jupiter, au mahala popote nje ya hii Dunia , Basi atakua mnafiki wa kiwango Cha standard gauge.

Kitaani ,wanawake wengi wanamanunguniko na makasiriko , Kila uchwao Khali ya chumi zawatu inazidi kua mbaya.

Ile pesa alioahidi kua itazunguka na kukaa mifukoni mwa watu Sasa imezidi kutoeka.

Michango mashuleni nayo nimwiba mwingine.
Walio pewa dhamana Huku chini wameshindwa kumsaidia nao wanaungana na wananchi kulalamika.

Kagera kapigania kahawa vanilla imekosa soko wakati tunaambiwa soko la "Dunia "(sijui likowapi) Bei kg1 ni kati 600000 Tsh na 1000000 Tsh

Mahindi yamezidi kupanda Bei walitegemea Serikali itende jambo,Cha ajabu wanaona kimya.

Magara ya NFRA ,yanavyo zidi kusafishwa Hasira zinazidi kuwajaa , eti kwa sababu hakuna mavuno yakutosha kureplace.

Wanaenda mbali zaidi nakudai, ninafuu mara [emoji817] ingekua imenunua Serikali ya Kule yanako kwenda kiriko kununuliwa na WA fanyabiashara.
 
Mh mama Samia suluhu Hassani 2025 usidanganyike kuchukua fomu utaaibika.
CCM viongozi wanakundanganya , CCM wanachama wanakusema vibaya mno.
Sabuni ya Kufulia nguo kipande ni Tsh 1,200 /=
Kwa vile naye ni mswahili anajaza maneno matamu kuwa anapendwa huku watu wanasombwa kwenye malori kwenye mikutano yake
 
Lazima ashinde

Tz hakunaga uchaguz kwanza

Ova
 
Kama mtoa mada hajatokea Mars au Jupiter, au mahala popote nje ya hii Dunia , Basi atakua mnafiki wa kiwango Cha standard gauge.

Kitaani ,wanawake wengi wanamanunguniko na makasiriko , Kila uchwao Khali ya chumi zawatu inazidi kua mbaya.

Ile pesa alioahidi kua itazunguka na kukaa mifukoni mwa watu Sasa imezidi kutoeka.

Michango mashuleni nayo nimwiba mwingine.
Walio pewa dhamana Huku chini wameshindwa kumsaidia nao wanaungana na wananchi kulalamika.

Kagera kapigania kahawa vanilla imekosa soko wakati tunaambiwa soko la "Dunia "(sijui likowapi) Bei kg1 ni kati 600000 Tsh na 1000000 Tsh

Mahindi yamezidi kupanda Bei walitegemea Serikali itende jambo,Cha ajabu wanaona kimya.

Magara ya NFRA ,yanavyo zidi kusafishwa Hasira zinazidi kuwajaa , eti kwa sababu hakuna mavuno yakutosha kureplace.

Wanaenda mbali zaidi nakudai, ninafuu mara [emoji817] ingekua imenunua Serikali ya Kule yanako kwenda kiriko kununuliwa na WA fanyabiashara.
Kila kitu kimepaa balaa
 
Ndugu zangu wahenga walishasema Nyota njema huonekana asubuhi, kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya mh Rais katika kuijenga Tanzania mpya, Ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita.

Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo Wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa mh Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa Ni Kama alikuwa analijuwa Hilo.

Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na Sera kwa serikali yake, kwa hiyo saiz wapinzani wanashindwa wawaeleze Nini wananchi maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na mh Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi Sana wanamuunga mkono mh Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu.

Hakika siasa Ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi, maana wananchi walichokuwa wanahitaji Ni mtumishi wao na kwa Sasa mama Samia suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana habari tena na habari za vurugu Wala maandamano Wala makelele Wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, Ni mama Hadi 2030 Ndio tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho.

Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania mh Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na Afya njema.
Labda Zanzibar unafikiri Watanganyika wataendelea kudanganyika??
 
Mimi nasema mkafanye utafiti muone wapiga kura wanamzungumziaje, wewe unaniletea vipicha vya propaganda.
Mimi nampenda huyo Mama ila siwezi kumdanganya, uungwaji mkono wake ni mdogo sana tena hasa kwa Wanawake.
Ni vile tu sasa hivi hatuna upinzani.
Huo utafiti ungeasaidia Nyie Chadomo kushida uchaguzi..

Kama huamini unataka utafiti utaupata vizuri 2025.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Umesema kweli tupu.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Mheshimiwa Pascal Mayalla sasa ndio uamini niliposema kuwa Jamiiforum imevamiwa na watu waj.... ambao wanadhani JF ni kusanyiko la waj.... kwamba unaweza kuwaletea chochote nao wakapokea na kumeza kama kawaida.
Hii taarifa (maana sio hoja) hata angepelekewa Shaka Hamduni katibu mwenezi ataikataa moyoni kuwa ni propaganda za kitoto zisizo na kiwango kabisa.
Kuna kauli ipo pale Upendo Media kwenye tamasha lao la juzi imenitafakarisha sana, "WAZAMANI SIO WA SASA" tafakari
 
Ukweli ndio huo Wala hutaonekana Ni mjinga popote pale kwa Sasa ukisikika unamuunga mkono mh Rais, maana watanzania wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu unaogusa maisha ya kila mmoja wetu, niambie Ni wapi unapohisi mh Rais anafanya kazi kwa manufaa yake mwenyewe
Umesema kweli tupu.
 
Hapana ndugu yangu, Naomba uelewe kuwa siyo tume inayokupigia kura, Bali wananchi ndio wanaokupigia kura, utapigiwa kura endapo una Sera na ajenda zinazo gusa maisha ya watu,

Kwa Sasa wapinzani na upinzani umepokwa hoja zote kwa mh Rais kufanyia kazi Kero mbalimbali zinazokuwa zinawatesa wananchi, watu wanaona juhudi za mh Rais katika kuboresha maisha yao, watu wanaona Rais anavyokosa hata muda wa kupumzika ili watanzania wapate maji Safi na salama, Elimu Bora, umeme wa uhakika na Bei nafuu, huduma za Afya zilizo Bora

Sasa utawaambia Nini watanzania juu ya mama Samia wakakuelewa kwa Sasa, utaanzaje kuwakusanya watanzania wamzomee Rais wao ambao kwao Ni mkombozi katika maisha yao

Watanzania wanaona namna mh Rais alivyo msikivu, Namna alivyo na Roho ya huruma Jambo linalomnyima usingizi akiona Kuna watu wanahitaji maji au kituo Cha Afya eneo fulani, Ndio maana unaona anavyopambana kuhakikisha kila Senti inayopatikana inakwenda kupunguza kero kwa wananchi
Ni kweli tupu,usemayo.
 
Hakuna wa kushindana na mh Rais Samia suluhu Hassani kwa Sasa, kaudhoofisha Upinzani kwa kuchapa kazi bila kupumzika, kwa Sasa uungwaji mkono wa watanzania kwa mh Rais wetu Ni mkubwa Sanaa
Ni kweli tupu.Wananchi tuko na Rais wetu,tunamuunga mkono.
 
Back
Top Bottom