Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

N

Ndio maana wapinzani wameamua yaishee tu maana wameona kwa Kasi hii ya mama hawawezi ambulia kitu, Ndio maana unaona hata akina mh Mbowe wanamuunga mkono mh Rais katika kuijenga Tanzania chini ya mh Rais wetu
Asante kwa kutufahamisha.
 
WANYAKYUSA wameacha Makanisa wameingia siasa
Mrudi kwenu Zambia
 
Huo utafiti ungeasaidia Nyie Chadomo kushida uchaguzi..

Kama huamini unataka utafiti utaupata vizuri 2025.
Kwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.
Maafisa ugani wamepewa vitendea kazi ,je vinatumika kwa manufaa ya wanchi wa chini?

Zahanati ,Vituo vya afia ,Hospital zimejengwa sawa ,je zinatoa huduma kama ilivyo kusudiwa? Wataalam wapo?
Wana moyo wa kujituma? Dawa zinapatikana?

Kumbuka Rais Samia , sio kwamba, hafanyo kazi .Cha gamoto inayo mkabili ni uwazi uliopo ,ambao mtangulizi wake akifanikiwa kuuvidha.

Sasa basi , wasaidizi wake watoke waje na ubunifu wakutatua kero zinazo mgusa mwananchi wa chini kabisa.

Wakishindwa Hilo natabili wataturudisha Kule kwenye kufungia magazeti, kufungia radio station ,kukamata watumiaji wa social media, kuteka nakutesa wa kosoaji wa serikali.
 
Shule ya Sekondari ivwanga, kisimani,
Kwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.
Maafisa ugani wamepewa vitendea kazi ,je vinatumika kwa manufaa ya wanchi wa chini?

Zahanati ,Vituo vya afia ,Hospital zimejengwa sawa ,je zinatoa huduma kama ilivyo kusudiwa? Wataalam wapo?
Wana moyo wa kujituma? Dawa zinapatikana?

Kumbuka Rais Samia , sio kwamba, hafanyo kazi .Cha gamoto inayo mkabili ni uwazi uliopo ,ambao mtangulizi wake akifanikiwa kuuvidha.

Sasa basi , wasaidizi wake watoke waje na ubunifu wakutatua kero zinazo mgusa mwananchi wa chini kabisa.

Wakishindwa Hilo natabili wataturudisha Kule kwenye kufungia magazeti, kufungia radio station ,kukamata watumiaji wa social media, kuteka nakutesa wa kosoaji wa serikali.
Yote hayo ndio mama yetu mh Rais anaendelea kuyatimiza zahanati na vituo vya Afya vinajengwa na wahudumu wanapelekwa, ndio maana unaona akitoa ajira, shule zinajengwa na walimu pia wanaajiriwa Kama ilivyofanyika majuzi hapo, maji Safi na salama pia yanapelekwa kwa wananchi

Changamoto ndogo ndogo zinaendelea kutatuliwa na kumalizwa hatua kwa hatua
 
Huo utafiti ungeasaidia Nyie Chadomo kushida uchaguzi..

Kama huamini unataka utafiti utaupata vizuri 2025.
Mkuu,nimeacha kujadili na wewe baada ya kufahamu kwamba uwezo wako ni mdogo sana kuweza kujadili mambo na mimi.

Sasa sijajua ni kwanini bado unaendelea kunijibu, au pengine ni kwakuwa sikukuweka wazi ila sasa umejua.
 
Mheshimiwa Pascal Mayalla sasa ndio uamini niliposema kuwa Jamiiforum imevamiwa na watu waj.... ambao wanadhani JF ni kusanyiko la waj.... kwamba unaweza kuwaletea chochote nao wakapokea na kumeza kama kawaida.
Hii taarifa (maana sio hoja) hata angepelekewa Shaka Hamduni katibu mwenezi ataikataa moyoni kuwa ni propaganda za kitoto zisizo na kiwango kabisa.
Kuna kauli ipo pale Upendo Media kwenye tamasha lao la juzi imenitafakarisha sana, "WAZAMANI SIO WA SASA" tafakari
Mkuu Chakaza , kwenye siasa hili ni jambo la kawaida sana kwa watu kufanya kitu kinachoitwa election projection, hii hata mimi nilimfanyia JPM, ile ile November 2015, niliuliza Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
P
 
Mkuu,nimeacha kujadili na wewe baada ya kufahamu kwamba uwezo wako ni mdogo sana kuweza kujadili mambo na mimi.

Sasa sijajua ni kwanini bado unaendelea kunijibu, au pengine ni kwakuwa sikukuweka wazi ila sasa umejua.
Uwezo gani ulionao wewe taahira..

Kama una uwezo si uwasidie Chadomo kushida uchaguzi?

Vinginevyo huo uwezo wako ni WA kutoa kimba kubwa tuu chooni.
 
Kwenye hili acheni ushabiki, kwasababu mda Bado upo sahihisheni makosa.
Maafisa ugani wamepewa vitendea kazi ,je vinatumika kwa manufaa ya wanchi wa chini?

Zahanati ,Vituo vya afia ,Hospital zimejengwa sawa ,je zinatoa huduma kama ilivyo kusudiwa? Wataalam wapo?
Wana moyo wa kujituma? Dawa zinapatikana?

Kumbuka Rais Samia , sio kwamba, hafanyo kazi .Cha gamoto inayo mkabili ni uwazi uliopo ,ambao mtangulizi wake akifanikiwa kuuvidha.

Sasa basi , wasaidizi wake watoke waje na ubunifu wakutatua kero zinazo mgusa mwananchi wa chini kabisa.

Wakishindwa Hilo natabili wataturudisha Kule kwenye kufungia magazeti, kufungia radio station ,kukamata watumiaji wa social media, kuteka nakutesa wa kosoaji wa serikali.
Subiria 2025 porojo za nini?
 
Uwezo gani ulionao wewe taahira..

Kama una uwezo si uwasidie Chadomo kushida uchaguzi?

Vinginevyo huo uwezo wako ni WA kutoa kimba kubwa tuu chooni.
Binafsi nimeshamalizana na wewe mkuu, sijajua nimeumiza hisia zako kwa kiwango gani ila ni vizuri nimekwambia ukweli ili ukajisomee na ujifunze kujenga hoja kabla ya kuja JF kujadili na watu ili usiishie kurusha matusi kwa kukosa hoja.

Nafurahi kwa kuwa umeonyesha kuumizwa sana, hii itakusaidia kujifunza.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njefikiria o raisi kama unavyo fikiria kwani sisi wavuvi tuliodhulumiwa hatuoni licha yamali zetu kaendelea kuzishikilia hatakama anajuwa hatukuwa namakosa yoyote
 
Mimi nasema mkafanye utafiti muone wapiga kura wanamzungumziaje, wewe unaniletea vipicha vya propaganda.
Mimi nampenda huyo Mama ila siwezi kumdanganya, uungwaji mkono wake ni mdogo sana tena hasa kwa Wanawake.
Ni vile tu sasa hivi hatuna upinzani.
Uungwaji mkono kwa mh Rais Ni mkubwa Sanaa, kwa Sasa huwaelezi kitu watanzania, hii ndio sababu ya wapinzani kupoteana maana walikuwa wanategemea mianya iliyokuwa inaachwa ndio nao wakawa wanapata upenyo wa kuisulubu serikali, lakini kwa Sasa mama ameziba mianya yote kwa kufanya kazi zinazo gusa maisha ya watu

Kwa Sasa hata upinzani na wapinzani wachachee waliobakia nao wanamuunga mkono mh Rais kwa matendo na kauli za kuijenga nchi yetu
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Eti kura zote? Ndoto za alnacha!
 
Back
Top Bottom