Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

SAMIA ana kazi sana,kwanza wapiga kura wengi ni wanawakewa ambapo hawapendi kuongozwa na Mwanamke mwenzao-Wanaume vilevile hawapendi kabisa ukijumuisha na Uzanzibar wake labda aibe tu kura lakini free and fair hawezi kutoboa hata robo.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Una tumia ugoro au bange?
Nikununulie ipi?
 
SAMIA ana kazi sana,kwanza wapiga kura wengi ni wanawakewa ambapo hawapendi kuongozwa na Mwanamke mwenzao-Wanaume vilevile hawapendi kabisa ukijumuisha na Uzanzibar wake labda aibe tu kura lakini free and fair hawezi kutoboa hata robo.
Tuendako kura za wizi hazitamsadia mtu, Cha msingi ni kushinda KWa haki ,kitu ambacho sioni akichomoka, lakin pia CCM simuoni wa kuwekwa pale akachomoka, hasa walio hapo juu, badala anza Lea watu ambao wanaweza mbele leta ushindani wapo kusifia,
Wana watu wazuri hawataki kuwabland wanawasukumia kwenye nafasi za ukuu wa Mkoa, tengeneza watu , mbele tunataka siasa zenye mvuto tz,
 
Una tumia ugoro au bange?
Nikununulie ipi?
Situmii chochote Kati ya hivyo, Bali natumia Uhuru wangu kueleza ukweli toka huku tuishiko watanzania wengi ambako kwa Sasa huwaambii habari za upinzani wakakusikiliza achilia mbali kukuelewa, wananchi wanamuunga mkono mh Rais mama Samia suluhu Hassani kwa kiwango kilichomaliza kabisa kusikika na kujadiliwa kwa habari za upinzani
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Mtoa post nampa pole mzee wako kwa kuzaa ng’ombe kama wewe
 
Tuendako kura za wizi hazitamsadia mtu, Cha msingi ni kushinda KWa haki ,kitu ambacho sioni akichomoka, lakin pia CCM simuoni wa kuwekwa pale akachomoka, hasa walio hapo juu, badala anza Lea watu ambao wanaweza mbele leta ushindani wapo kusifia,
Wana watu wazuri hawataki kuwabland wanawasukumia kwenye nafasi za ukuu wa Mkoa, tengeneza watu , mbele tunataka siasa zenye mvuto tz,
Kwa taarifa tu ningependaa kukwambia kuwa mh mama Samia suluhu Hassani hata asipopigaa kampenii atashinda kwa kishindo, labda hapo ulipo embu niambie Ni mpinzani yupi mwenye hata muelekeo wa kuweza kumtikisa mh Rais katika uchaguzi,

Ni Sera zipi na ajenda zipi ambazo mama Samia hajatekeleza au kuzigusa ambazo huyo mpinzani anaweza kuzitumia kuwashawishi mamilioni ya watanzania tunaomuunga mkono mh Rais, kiufupi kwa Sasa hakuna wa kumtikisa mh Rais wetu maana kagusa kila kitu na kutekeleza Mambo mengi Sana yaliyokuwa kilio Cha watanzania
 
SAMIA ana kazi sana,kwanza wapiga kura wengi ni wanawakewa ambapo hawapendi kuongozwa na Mwanamke mwenzao-Wanaume vilevile hawapendi kabisa ukijumuisha na Uzanzibar wake labda aibe tu kura lakini free and fair hawezi kutoboa hata robo.
Acha uongo ndugu yangu, kwa Sasa wanawake ndio wapo mstari wa mbele kumuunga mkono mh Rais wetu, maana wanajivunia utendaji kazi wa mh Rais kwa kusema kuwa Mh Rais amewaheshimisha wanawake, wanasema kuwa kwa Sasa mwanamke atapewa uongozi wa ngazi yoyote bila kubaguliwa maana mh mama Samia ameshaonesha kwa vitendo uwezo wa kiuongozi

Wanaume ndio kabisaaa tunaomuunga mkono mh Rais maana ameliletea heshima Taifa letu kwa namna anavyo ongoza, Nchi kwa Sasa imetulia, inaamani, Ina furaha, Ina mshikamano na upendo, Ni Taifa moja kwa Sasa, mama yetu mh Samia amekuwa kiongozi wa mfano barani Afrika na wakupigiwa mfano,
 
Mtoa post nampa pole mzee wako kwa kuzaa ng’ombe kama wewe
Japo umeshindwa kueleza unatofautiana nami wapi na wapi unapoona kuwa upinzani una Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania walio na upendo na mh Rais kuwaamini na kuishia kunitukana, bado Mimi nitakuheshimu utu wako, Sina desturi ya kumtukana mtu hata Kama ninatofautiana Naye

Tunaweza tukabishana bila kutukanana Wala kuumizana, Nimekusamehe na nitaendelea kukusamehe hata unitukane vipi bado sitakutukana Wala kutumia lugha ya maudhi au ukakasi kwako, Mimi Namheshimu kila mtu maana wewe ni wathamani Sana mbele za Mwenyezi Mungu, Kama unanitukana endelea Ila Mimi nitabaki kukuombea ili mungu akusamehe na kukujalia moyo wa upendo hekima busara na uvumilivu
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Wavuvi nimwiba ambaounaonekana hauna madhara haswa ziwa Tanganyika sekta nyingi alizoharibu mtangulizi wake amezijali lakini wavuvi katupuuza sasa ngoja tuone mungu atupe uzima tu
 
Ni ngumu mno tena ni vigumu sana kama ilivyoandikwa kwenye Biblia kuwa ni ngumu ngamia kupita tundu la sindano. Sababu ni kujiweka karibu na timu ya waliofeli awamu ya 4, na kibaya sana tena sana kujiweka mbali na awamu ya 5 na kibaya zaidi ni kuwa yeye hakuwa kwenye ile listi ya waliotakiwa kuja kuwa marais wa Tanzania. Asipochanga karata mapema basi inawezekana hata 2025 asifike maana hao wa awamu ya 4 wanamhujumu kila kona! Huku Mwigulu anaharibu uchumi, kule Makamba anahakikisha bei za nishati zinapanda ili kufanya maisha yawe magumu wananchi wamchukie. Yaani ni kama Kenya tu ya Uhuru na Ruto.
Nape nae kaongeza bei ya vifurushi ili mradi tu watu wasitumie mitandao.

Ila haya mambo haya.

Naamini Samia anapaswa kufanya reforms nyingi sana kama anataka aungwe mkono na watu wa kada ya chini.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.

Magufuli na miundombinu yake yote aliiba kura sembuse huyu ambaye Bei ya mafuta ni shilingi 3500 Lita moja.
 
Situmii chochote Kati ya hivyo, Bali natumia Uhuru wangu kueleza ukweli toka huku tuishiko watanzania wengi ambako kwa Sasa huwaambii habari za upinzani wakakusikiliza achilia mbali kukuelewa, wananchi wanamuunga mkono mh Rais mama Samia suluhu Hassani kwa kiwango kilichomaliza kabisa kusikika na kujadiliwa kwa habari za upinzani

Acha uongo, Seema unatafuta teuzi. Acha kuongea kwa maslahi yako. Jana Kuna mtanzania kanueurika kujiua morogoro kiss ugumu wa Maisha halafu wewe unaleta stori za uchaguzi 2025. Mama yako bila kuiba hata shinda hata Kama atagombea pekee yake.
 
Kwa taarifa tu ningependaa kukwambia kuwa mh mama Samia suluhu Hassani hata asipopigaa kampenii atashinda kwa kishindo, labda hapo ulipo embu niambie Ni mpinzani yupi mwenye hata muelekeo wa kuweza kumtikisa mh Rais katika uchaguzi,

Ni Sera zipi na ajenda zipi ambazo mama Samia hajatekeleza au kuzigusa ambazo huyo mpinzani anaweza kuzitumia kuwashawishi mamilioni ya watanzania tunaomuunga mkono mh Rais, kiufupi kwa Sasa hakuna wa kumtikisa mh Rais wetu maana kagusa kila kitu na kutekeleza Mambo mengi Sana yaliyokuwa kilio Cha watanzania

2020 mlisema hivi hivi mwisho wa siku mkaishia kuiba kura. CCM inamiliki bunge, halmashauri zote na urais. Fanyeni kazi mpunguze ugumu wa maisha. Acheni kujikomba mpate teuzi acha kabisa.
 
Naomba Tumwamini mama yetu mh mama Samia suluhu Hassani, kazi anayoifanya kuijenga nchi hii Ni kubwa Sana inayohitaji watanzania Tumuunge mkono na kumwombea kila wakati ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda wakati wote,

Anajitahidi kujenga uchumi utakao mgusa kila mtu, uchumi ambao hautamwacha mtu nyuma, uchumi utakao mnufaisha kila mtu, uchumi utakao toa nuru kwa kila mtanzania, utakao toa matumaini kwa kila mtu afanyaye kazi na kutumia fursa zilizopo hapa nchini

Ndio maana unaona mh Rais akitoa Hadi Ruzuku inapobidi ili kumsaidia mtanzania kuyamudu maisha, Nawaombeni watanzania wenzangu Tumuunge mkono Rais wetu, Tusichoke kumuombea, na tumshauri tunapoona panafaa maana mama Ni msikivu sanaa

Uchumi gani anao Jenga?. Unajenga uchumi kwa tozo za kila kwa mwanchi?. Rais unashindwa kushughulikia Bei ya mafuta nchini kwako unaanza kulinganisha na nchi zingine.
 
Mh mama Samia suluhu Hassani ndio Rais na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama wa nchi yetu, tuna Imani na mh Rais, na hata vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina Imani na Rais wetu Ndio maana vinaendelea kuhakikisha nchi yetu inakuwa salama muda wote, ili kutoa nafas kwa mh Rais kuijenga nchi na kuwaletea maendeleo wananchi bila shida

Ni lini Tanzania haijawa salama?. Acheni longolongo shughulikeni mfumuko wa Bei. Kwa Sasa hata kujenga ni kazi maana vifaa vimepanda Bei Sana. Tuache sifa za kijinga tuje na master plan ya kupunguza mfumuko wa Bei kwa bidhaa muhimu na ujenzi wa makazi na sio ujinga huu wa kusifia ujenzi wa barabara kama hisani wakati mwananchi ndio anaye changia kupitia tozo na Kodi.
 
Ndugu zangu wahenga walishasema "nyota njema huonekana asubuhi", kwa kazi nzuri na ya kutukuka anayoifanya Mh. Rais katika kuijenga Tanzania mpya, ni dhahiri uchaguzi ujao utakuwa mwepesi Sana kwake kuweza kupita. Kwa Sasa hakuna mpinzani yeyote mwenye mwelekeo wala nguvu ya kuweza kuja kumtikisa Mh. Rais uchaguzi ujao.

Hii inatokana na ukweli kwamba upinzani ulikuwa unategemea makosa ya serikali ili upate ajenda na kujijenga, lakini Mama Samia Suluhu Hassani, punde tu baada ya kuapishwa ni Kama alikuwa analijua hilo. Kwa sasa ndani ya mwaka mmoja na miez kadhaa ameziba mianya yote na kuunyima upinzani ajenda na sera kwa serikali yake, kwa hiyo sasa hivi wapinzani wanashindwa wawaeleze nini wananchi, maana kila kitu kimeguswa na kufanyiwa kazi na Mh. Rais.

Ndio maana unaona wapinzani wengi sana wanamuunga mkono Mh. Rais kwa kazi kubwa anazofanya katika kuijenga nchi yetu. Hakika siasa ni sayansi na mama ameumaliza upinzani kisayansi kwa kufanya kazi wanayohitaji wananchi. Maana wananchi walichokuwa wanahitaji ni mtumishi wao, na kwa sasa Mama Samia Suluhu Hassani amepatikana, hivyo hawana muda tena na habari za vurugu, maandamano, makelele wala matusi kwa serikali.

Mama anaupiga mwingi, ni Mama hadi 2030 hapo ndiyo tutaanza mazungumzo baada ya kufika kituo hicho. Kikubwa ni maombi yetu kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na kumpigania Mh. Rais wetu, ampatie na kumjalia uzima na afya njema.
Yah right. Provided that atafanya kama alivyofanya Mwendazake kwa msaada wa Mahera na team yake .....!!
 
Ndio zitakavyo patikana maana kazi yake kubwa Ndio itakayo fanya watanzania kwa umoja wetu kwenda kumpigia kura kwa wingi, kwa sababu bado tunamhitaji mh mama Samia suluhu Hassani aendelee kututumikia sisi watanzania

Tumeridhishwa na utendaji kazi wake wa kutukuka, Ni mama Hadi 2030 ndio tutaanza kuulizana tufanye Nini

Mama angekuwa na hekima 2025 angekaa pembeni na sio kugombea atapata shida Sana. Upinzani ni wannchi sio Mbowe au Lissu. Umesahau 2020 pamoja na kuzuia upinzani usifanye siasa kwa miaka mitano lakini uchaguzi ulipofika wakazima mtandao wa internet kwa hofu na kuiba kura kiulaini. Fikiria wale walijitahidi lakini mwishowe wakaiba sembuse huyu aliyezidiwa hata na mafuta.

Na huyu akijidanganya aibe atapata kadhia kubwa Sana.
 
Huko uliko Hakuna shule zilizojengwa na kuboreshwa? Huko uliko Hakuna zahanati na vituo vya Afya vinavyojengwa? Huko uliko Hakuna miradi inayogharamiwq na serikali ya mh Rais wetu? Huko uliko hamlimi? Kama mnalima hujasikia Ruzuku inayotolew kwenye mbolea Kias Cha billioni Mia moja hamsini itakayo saidia kushuka kwa mbolea Hadi elfu 79 kutoka huko kwa laki na 30 Hadi laki na 40

Au haupo Tanzania au unachuki zako tu au unataka uunganishiwe bomba la maziwa na asali Hadi hapo pako ndio utakuwa kazi inayofanywa na serikali hii

Kwani Tanzania tumepata Uhuru Jana?. Unaongea as if serikali zingine hazikufanya hayo na bado zilipata shida kwenye uchaguzi Hadi kuiba.

Mama aombe sana wafuasi wa Magufuli na wafuasi wa chadema wasiungane la sivyo atapata tabu Sana.
 
Back
Top Bottom