Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Binadamu hakuna siku na haitatokea siku ataridhika,na siyo siku nyingi watu wale wale iwe amma kwa id tofauti na walizozoeleka nazo au hizi hizi wanazozitumia watarudi hapa kusema huyu mama bora Magufuli.

Nachojua mimi wote ni wanasiasa so sitegemei kuona makubwa kwa hawa watu so called viongozi.
 
Na yule Dotto James kamuacha pale hazina?
 
Wana simba mbona mnaumia sana uteuzi huu wa fei Toto shida nn kama najua mwakan singida united inarud ligi kuu
 
Kama unaitambua ilani ni ya CCM hapo ni vema.
Lakini wewe ndo ulianza kuni quote pale nilipowauliza"wa team fulani,mpoo?"
Ukanambia mimi niachane na uteam wakati mimi sina team,nilichofanya ni kuwauliza kama bado wapo au washavunja team zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…