Lost opportunity hajawahi kuwa nahekima. hapa samia amepotea.Nakupongeza Dr, L. M. Mchemba kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha.
Naamini elimu na weledi wako sasa utaulekeza katika fani ulio bobea.
Mungu akujalìe hekima na uadilifu wa maamuzi yako katika nafasi hiyo.
Pamoja sanaUpo sawa
Hahahaha!!! aisee nimecheka Sana hii comment yako...Yule ana tabia ya kumfurahisha boss. Boss akiwa mkali anakuwa mkali mpaka anaonekana katili n.k
Ni mtu wa kucheza na beat.
Atumie nafasi kujisafisha au kujishushaHuyo kalengeshwa tu akijichanganya tu kafutika kwenye uwanja wa siasa
Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
Walitegemea kumtumia bashiru kucontral mamaSasa hivi mitandaoni wanatukana matusi tu
Subiri ushuhudie mwenyewe tu.Hahahaha!!! aisee nimecheka Sana hii comment yako...
Ila jamaa Kwenye kucheza na beat sidhani Kama IPO ambayo hawezi kucheza
Hapo atakuwa amechagua njia yenye matumainiAtumie nafasi kujisafisha au kujishusha
anajichubuaMbona hamumpendi? Ana shida gani?
Ukiwa mle chamani hata uwezo wa kujiuliza unapoteaLkn hizo salamu alizipata na kama ni muungwana lazima ajiulize kitu gani kinamfanya achukiwe na watanzania
Atamtoaje wakati ana msala?Na yule Dotto James kamuacha pale hazina?
Atarudi KM CCMHuyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anajichubua
😂😂😂😂Kapokea mshahara mwezi mmoja tu wakati alishafanya shopping ya kufa mtu akijiandaa kwa maisha ya ikulu
Mama mjanja sana nafikiri hata yule mzee wa msoga atakuwa anampatia baadhi ya materialWalitegemea kumtumia bashiru kucontral mama
Kama unaitambua ilani ni ya CCM hapo ni vema.Haya ni mawazo ya u-team ni ya wale wa ushindani wa makundi makundi. Huko mm sipo boss.
Kilichopo ni kwamba sasa ilani ya chama inaongozwa na binadamu tofauti na aliyekuwepo ghafla na binadamu hatufanani kiutendaji japo ilani ni ile ile ila mtindo hautakuwa sawa.