Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Binadamu hakuna siku na haitatokea siku ataridhika,na siyo siku nyingi watu wale wale iwe amma kwa id tofauti na walizozoeleka nazo au hizi hizi wanazozitumia watarudi hapa kusema huyu mama bora Magufuli.

Nachojua mimi wote ni wanasiasa so sitegemei kuona makubwa kwa hawa watu so called viongozi.
 
Na yule Dotto James kamuacha pale hazina?
Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...

Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....

Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
 
Wana simba mbona mnaumia sana uteuzi huu wa fei Toto shida nn kama najua mwakan singida united inarud ligi kuu
 
Haya ni mawazo ya u-team ni ya wale wa ushindani wa makundi makundi. Huko mm sipo boss.

Kilichopo ni kwamba sasa ilani ya chama inaongozwa na binadamu tofauti na aliyekuwepo ghafla na binadamu hatufanani kiutendaji japo ilani ni ile ile ila mtindo hautakuwa sawa.
Kama unaitambua ilani ni ya CCM hapo ni vema.
Lakini wewe ndo ulianza kuni quote pale nilipowauliza"wa team fulani,mpoo?"
Ukanambia mimi niachane na uteam wakati mimi sina team,nilichofanya ni kuwauliza kama bado wapo au washavunja team zao?
 
Back
Top Bottom