Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Chadema wanasema Mwiguli ndo mtuhumiwa wa kwanza kwenye shambulizi la Lisu.
Lisu ataumia sana kuona Mwigulu anazidi kupaa.
Hiyo wizara ni ngumu sana asipoitendea haki na kuendeleza blah blah zake za kupika data, Akitumia usomi wake vizuri tunaoamini anao ataweza, asipoweza hatochukua round hapo. Sio
muda wote wakuwaza kuwakomoa CDM. CDM hawana nchi na wana mbunge mmoja tu kwa mujibu wa uchaguzi wa 2020.
 
limevunjwa wapi? hivi akili huwa mnaweka wapi?

kasema anafanya mabadiliko baada ya kumtoa mpango....

katiba ulivyoandikiwa na TLS na CDM ulidanganywa...kale malimau

Hao waliapa kwa rais kama taasisi na sio mtu, ebo!!!

Kitendo cha kusema hayo maana yake kwasasa baraza halipo tena kwa JPM lipo kwake.....kuteua watu wapya maana yake analipanga upya,utapangaje upya bila kutoa hap weka hapa ndio kulivunja hilo.
 
Angalau kaambulia ubunge na anabaki kuwa Balozi. Hivi vyeo ni dhamana!

Hii kitu sijui kama aliitarajia
Balozi wa nini mkuu?? Sio ameteuliwa kua mbunge nadhani ni zile nafasi 10 alizonazo mh. SSH kama raisi.
Daah ila kutoka katibu kiongozi mpaka ubunge cheo sawa na babu tale 😂😂😂
tena mbunge asie na jimbo upo upo tu ...
 
Back
Top Bottom