cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mbona hamna shida hata ingekuwa wewe usingewaweka watu wako unaowaaminiAmesha anza kuweka familia yake.. dunia haiishiwi vituko.View attachment 1739567
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hamna shida hata ingekuwa wewe usingewaweka watu wako unaowaaminiAmesha anza kuweka familia yake.. dunia haiishiwi vituko.View attachment 1739567
Huyu laana ya kuchakachua matokeo 2015 itaendelea kumtafuna,na hata ubunge safari hii ndiyo mwisho.Uyu ni waziri wa tweeter.
Mwigulu ubaya wake nini juu ya hii wizara au ni chuki tu kwa sababu alichana siku moja bajeti kivuli ya kambi rasmi ya upinzani Bungeni baada ya kuiona ina upungufuNingetafuta CEO wa taasisi ya fedha inayofanya vizuri nimpe!
Kule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Yuko vizuri Sana,ila aache propaganda na kujitoa ufahamu saa nyingine kwa kweliNi kweli Mwigulu si mbaya kihivyo, aache uongo na propaganda afanye kazi.
Huyo ni sisterdooAcha zaru braza yote maisha.
Wamempa ubunge asife njaaa.. huku kitaa tuna paweza makomandoo tu
Huu sasa uchokozi🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩makamba vipi timu Twitter
Kwani unamjua huyo mwigulu?Aisee hapa naona mama kama kateleza Mwigulu wizara ya Fedha? mbona simuamini!
Hiyo ni bonge la demotionZingekuwa kweli asingepewa ubunge. uwe na akili
Hiyo wizara ni ngumu sana asipoitendea haki na kuendeleza blah blah zake za kupika data, Akitumia usomi wake vizuri tunaoamini anao ataweza, asipoweza hatochukua round hapo. SioChadema wanasema Mwiguli ndo mtuhumiwa wa kwanza kwenye shambulizi la Lisu.
Lisu ataumia sana kuona Mwigulu anazidi kupaa.
Yaah nadhani akiwa room peke yake atakuwa anatoa povu!....mambo ya nje alifaa nyakati za mtawala wa jazba asiekuwa na kitu now watu wanataka Diplomasia sio povuKule mambo ya Nje Kabudi alikupenda sana
Huyu ni mtaalamu wa kupiga nyungu mbobevu sanaAmerudi kwenye kazi yake ya useremala pale kisarawe
limevunjwa wapi? hivi akili huwa mnaweka wapi?
kasema anafanya mabadiliko baada ya kumtoa mpango....
katiba ulivyoandikiwa na TLS na CDM ulidanganywa...kale malimau
Hao waliapa kwa rais kama taasisi na sio mtu, ebo!!!
Balozi wa nini mkuu?? Sio ameteuliwa kua mbunge nadhani ni zile nafasi 10 alizonazo mh. SSH kama raisi.Angalau kaambulia ubunge na anabaki kuwa Balozi. Hivi vyeo ni dhamana!
Hii kitu sijui kama aliitarajia
Huyo ni mtu wa mkwereNaona jamaa yetu Hussein katanga kaingia ikulu
Wote wenye makando kando alipaswa kuwaweka pembeni mkuu.Sasa mkuu we ulitaka amuweke nani??
Ukute hata yeye alikuwa anatamani awatose, lakini ndio hivyo wana nguvu.
Siasa ina nguvu sana.