Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesha anza kuweka familia yake.. dunia haiishiwi vituko.View attachment 1739567
Labda anaandaliwa post nyingineBashiru kateuliwa kuwa mbunge.
kwenye hili mama atakuja kujutia maamuzi yake watu wa TISS wampe vetting ya mwigulu aone kuwa ni msaka urais na hafai ile wizarakwahiyo Mwigulu Nchemba ana taaluma ya fedha au uchumi, au hiyo wizara nyeti ataiendeshaje?
Majibu yako hayana busara na huyo unayemtaja anasubiri zamu ya kusema ndioooo ukumbini.sawa mke mdogo wa bashiru ally, tumekusikia.
Nikweli sina uwezo huo.wewe endelea kupiga domo hapa jfHuna uwezo hata kula na Mwenyekiti wa Shina tuu hapo Mtaani kwako!
uo ndio ukweli au nasema uongo ndugu zanguuuuuMajibu yako hayana busara na huyo unayemtaja anasubiri zamu ya kusema ndioooo ukumbini.
Kweli dunia ni mviringo.uo ndio ukweli au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Hivi huyu naye anastahili marupurupu ya KMK mstaafu? Au sheria za kazi zinasema hapa? Alikuwa hata hajamaliza miezi ya probation!
Mama naye kumbe mtoto wa mjini. Huo ushungi usitudanganye. Safi sana [emoji122][emoji122][emoji122]Zege halilali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi kabisa mama samia misemo inaburudisha
Bashiru-mbunge wa kuteuliwa tusubiri katibu mkuu mpya yule balozi mbunge mpya na Bashiru anaenda benchi bungeniofisi ya Jafo
Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu
Ummy mwalimu-tamisemi
Wizara ya fedha -mwigulu nchemba
Sheria- kabudi paramagamba
Mambo ya nje- balozi mulamula
michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo
Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi
Bashiru-mbunge wa kuteuliwa
Zingine zimebaki kama zilivyo.
Wapambane na hali zaoWatakuwa Wana mkumbuka mwendazake Sana aisee,
Nasikia wachaga ni wezi,Jamani mama tuwekee hata mchaga mmoja hapo wizara ya fedha
We unapiga Domo lisilo hata na Faida kijana wa Anti-LissuNikweli sina uwezo huo.wewe endelea kupiga domo hapa jf
[emoji16][emoji16][emoji16]Sasa hivi ana uo ubaloz......yaan wakisimama na Babu tale Ni sawasawa!!!
Kuna siku zitamdondoka ofisini hapo ndiyo itakuwa mshike mshike.Bashiru alicheza na sahihi ya mwendazake huyu
Mwigulu ndumba bado inafanya kazi
Anapenda sana makundi, hajuhi kusimama yeye kama yeye, hajawahi kukua anaamini nyota ya baba yake ndani ya ccm itaendelea kumbeba!Makamba jr mbona anapigwa spana kote kote? meko na ssh wote wanampa za chembe,inaonekana Jr anaogopwa sana kuwapiku nafasi yao ya urais.