Pale kwenye kibubu Prof. Mkenda tu ;huyo mwingine hafai alikwisha haribu sana CRDB!!!kwekweli hata Dr kimei hajamuona ?? Au ukanda ule bado unapewa adhabu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kwenye kibubu Prof. Mkenda tu ;huyo mwingine hafai alikwisha haribu sana CRDB!!!kwekweli hata Dr kimei hajamuona ?? Au ukanda ule bado unapewa adhabu??
Mbona hata mpoki, joti, mchizi Mox na Irene Uwoya wakipewa iyo wizara hata urais mambo yataenda tu. Mbona Hayati aliweza urais?Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...
Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....
Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
Kwahiyo unataka kusema huyu Dr.gwajima sio mtu sahihi kwahyo secta aliyo somea na kihudumu muda mrefuWizara ya afya iliihitaji sana mabadiliko awekwe mtu ambaye angalau anaamini juu ya sayansi ila ndio hivyo tena.
F*#*ck UWe unapiga Domo lisilo hata na Faida kijana wa Anti-Lissu
HakikaKwenye Fedha na Afya naona Mama bado ameyumba.
Hii ni bangi ya Malawi kabisaBhange mbaya sana.
Ulicho andika kwenye kichwa cha habari tofauti na ulicho kiandika chini.
Naona umepiga ya koromitje
Amefeli na siyo kuyumba toka kwa MipangoKwenye Fedha na Afya naona Mama bado ameyumba.
Jamaa ni mjanja sana yaani na sasa ndiyo wakati wake maana kabakia yeye ambaye bado ni active kuliko mzee wetu wa kuuliza jina la mwanawe
Hahahaa Dooooh yale yale ya MEKO kuwapa ulaji WAPWAA.Bado anakula sahani moja na mama. Mama kishateua Mkwewe kumpa ulaji.
Vipi mkuu tulikwambia hii ndio ccm, unaona sasa tunavyowachezea segere?Chama kubwa gani wakati mbeba maono wao waliyemuandaa kabigwa za chembe, apumzike na viti maalum pending special audit
Sasa kama ni Fundi Wa kupika data ili awafurahishe wakubwa huoni kama atamfurahisha sana mama!? Hatadumu vipi sasa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui Mkuu nieleweshe.Unajua maana ya kuvunja Baraza.?
Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.
Rais Samia Suluhu akitangaza Baraza la Mawaziri amesema...
''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa, zege halilali''
Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.
MAJINA YA MAWAZIRI WANAOUNDA BARAZA LA MAWAZIRI
Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI
Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji
Dkt. Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango
Profesa Palamagamba Kabudi - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria
Balozi Liberata Mulamula - Waziri wa Mambo ya Nje
Prof Kitila Mkumbo - Waziri wa Viwanda na Biashara
Itakuwa kabakia nafasi yake ile ile.Jenista Mhagama kapelekwa wapi ?
Nakumbuka pamoja na yule wa NBC anakuwa PS ,Mkeka wa MKM umechanika ngoja tusubiri mkeka wa PS.Umesahau alisema pia Mchechu ndiye anakuwa KMK??
Wee naweBaraza jipya ,Sukuma gang wanaendelea kupeta kwa sababu ndiyo wenye akili zaidi.
Afadhali Bashiru kaondolewa ukatibu kiongozi. Asije akatuletea siasa zake hapa.
Na yule Dotto James kamuacha pale hazina?