Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Sina yakuandika mengi ila kwakweli si kwakumpa miskafu ya bendera machenchi yetu dahhhh...

Naona mchana hakuna maana kulipo pambazuka tulifurahi mara ghafla kiza usiku umeingia....

Haya Mama kila la heri kama ni maamuzi yako mwenyewe🚶🚶🚶🚶
Mbona hata mpoki, joti, mchizi Mox na Irene Uwoya wakipewa iyo wizara hata urais mambo yataenda tu. Mbona Hayati aliweza urais?
 
Wizara ya afya iliihitaji sana mabadiliko awekwe mtu ambaye angalau anaamini juu ya sayansi ila ndio hivyo tena.
Kwahiyo unataka kusema huyu Dr.gwajima sio mtu sahihi kwahyo secta aliyo somea na kihudumu muda mrefu
 
Jamaa ni mjanja sana yaani na sasa ndiyo wakati wake maana kabakia yeye ambaye bado ni active kuliko mzee wetu wa kuuliza jina la mwanawe

Mkwere nae kisha choka hana nguvu tena sasa anajaribu kumuongezea mwanae ili akiondoka amuache mahala pazuri kisiasa!!!
 
Angekuwa meko angeteua wakatoliki wote, sasa kibao kimegeuka mfyuuuuu zenunu mikatoliki na misukuma
Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.



Rais Samia Suluhu akitangaza Baraza la Mawaziri amesema...

''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa, zege halilali''

Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.

MAJINA YA MAWAZIRI WANAOUNDA BARAZA LA MAWAZIRI

Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI

Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais

Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji

Dkt. Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango

Profesa Palamagamba Kabudi - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria

Balozi Liberata Mulamula - Waziri wa Mambo ya Nje

Prof Kitila Mkumbo - Waziri wa Viwanda na Biashara
 
CCM watu wa ajabu sana , huwa hamjifunzi kwa makosa mliofanya huko nyuma , Mwizi Mwigulu Nchemba awe waziri wa fedha serious ?
 
Afadhali Bashiru kaondolewa ukatibu kiongozi. Asije akatuletea siasa zake hapa.
umbeya.jpg
 
Na yule Dotto James kamuacha pale hazina?

Kuna uchunguzi unaoendelea kati ya BOT na Hazina na yeye ndio yuko katikati ya huo uchunguzi hivyo asingeweza ondolewa, hata hivyo nadhani it is a question of time before hao makatibu wakuu nao wakabadilishwa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom