Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Hivi "air Tanzania ndio ndege ya Rais"
Hivi "air Tanzania ndio ndege ya Rais"
Duh...hiyo siyo ya Rais ni ya serikali kwa maana ATC ni shirika ambalo ni Mali ya serikali...halafu serikali ya TZ ndiyo ilinunua ndege hizo na kukabidhi wakala wa Ndege Tanzania which is a government department/agency...nayo ikaipa ATC kwa makubaliano maalum...
Kwa uelewa wangu Rais anapotumia Ndege hiyo serikali inailipa ATC kwa huduma hiyo...ni business ...ila ni heshima kubwa kwa Rais wetu kutumia ndege zetu..

Ndege ya Rais ilinunuliwa wakati wa Mkapa..ni gulf stream...ni kadogo...nakumbuka Mramba akiwa waziri enzi hizo alitamka kuwa tupo tayari Kula nyasi kununua ndege..an arrogant statement...hata wakati wa Nyerere na Mwinyi kulikuwa na ndege ya serikali..nakumbuka zilikuwa mbili...
 
Kweli binadamu ni kiumbe cha ajabu sana. Haeleweki, ni mzandiki!
Mh. Kikwete aliitwa mtembezi asiyetulia nyumbani
Mh. JPM asiye safiri nje ya nchi kwenda kuhemea
Mh. Samia ameanza kusafiri, naye mmeanza kumsema!
hao ni chadema tu yaani kila lifanywalo ccm ni baya ila wao hata mdude aliyekuwa anatukana matusi mkubwa wanaona hana kosa anaonewa hao ndiyo chadema bwana
 
Yes naona sasa hivi ndege yake ipo usawa wa Arusha ikelekea Nairobi. Hivi kwanini anatumia ndege za ATCL, ile aliyonunua Mramba ipo wapi?
Ile aliyonunua Mramba ni chombo cha masafa marefu, kinataka kuikata bahari kadhaa.
Ukisema aitumie ile ndege kwenda nayo Kenya ujue itapitiliza na kwenda kutoa Cairo huko Misri. Ile ndege Huwezi itumia kwa safari za East Africa
 
Wivu tu, Mwendazake alikuwa na Tatizo la Moyo sio kwamba alikuwa hapendi kusafiri.

Fikiria ule msafara wake wa magari zaidi mia moja na zote zina watu, zile gharama zake si ni zaidi ya ya Safari ya Ndege kwenda Kenya?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
South africa na Zimbabwe na Namibia alikwenda kwa basi,!kama alikuwa anaogopa kupanda ndege sababu ya moyo?
 
It's true,mwacheni mwendazake apumzike,na tumwombee apite purgatory kwa amani,maana hapo ndipo pagumu kweli kupita.
*hufanikiwi kupita hapa kwa maombi ya walio hai,hapo unapita kwa wema na uzuri ulioufanya duniani.
Mkuu hakuna cha Pagatory! Njia ni mbili 2,Uzimani au Upotevuni,(Mathayo7:13-14) na (Luka 16:19-22,22-25).Kama mtu hakutubu dhambi zake alipokuwa hai,moja kwa moja ni Upotevuni,(Waebrania9:27).
 
Naona sasa ni mwendo wa kupukuchulia angani rasilimali za nchi yetu; sasa zile harakati za kupishana angani zinanyemelea baada ya kuzinduliwa rasmi pale kwa M7. Bi Mkubwa hasomeki, kurasa za hotuba na ahadi zake tifutifu & futefute zimefutika.

#Mtanikumbuka kwa mema, na wala si kwa mabaya.
Subiri Nyalandu ateuliwe waziri, anga itakwenda mwendo wa fangfang! Wataanza kupishana kusafirisha maliasili zetu!
 
Kwanza bado najiuliza sababu ya kutumia dreamliner ya abilia 22, kwa safari ya 2hrs sijajua ni nini wakati tuna ile ndege ya rais nk...
Mkuu ile ndege ni yamasafa marefu, usihofu Siku Madame Rais akiwa na safari ya USA ataitumia
 
Nipo hapa naangalia KTN kwenye kipindi (LEO MASHINANI) naona wameweka Kipindi cha ZIARA YA RAIS SAMIA.
Wanamponda sana Mwendazake na kumsifia Mama Samia.
 
Naona leo hajabadili nguo.

Ama mda wa kubadili bado?
 
Wakati anakaribia kuingia kwenye ndege,akageuka,aka bend kidogo kama ishara ya unyenyekevu huku akiaga nikafikiria kiongozi MKUU kama yeye ni sawa kufanya hivyo kwa "surbodinate" wake? wenye kujua mambo ya protocol mtujuze.
 
Naona sasa ni mwendo wa kupukuchulia angani rasilimali za nchi yetu; sasa zile harakati za kupishana angani zinanyemelea baada ya kuzinduliwa rasmi pale kwa M7. Bi Mkubwa hasomeki, kurasa za hotuba na ahadi zake tifutifu & futefute zimefutika.

#Mtanikumbuka kwa mema, na wala si kwa mabaya.
[emoji23][emoji23][emoji23] kila rais ana style yake ya utawala.
utawala wa JPM sio blue print ya utawala wa tz.
kisa ni rais asisafiri?

mbona viongozi kibao chini ya rais wanasafir tena kwa vibali vya serikal almost every month?
 
Sogea Chato ukapalilie kaburi, acha kulialia.. Rais lazima azunguke kulitafutia taifa maendeleo.. sio kujifungia ndani kishamba na kukwapua hela za mifuko ya jamii na hela za wafanyabiashara wakubwa.
Kukwapua Mifuko ya Jamii.
 
Back
Top Bottom