Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Katika majirani ninaowaona miyeyusho kenya wamo
Yaani wakenya huwa wanatuona kama mtoto ambao kwao ni matajiri ila akili zake kama za mende hivyo unamlia timing akuuzie raba kali aliyopewa zawadi na baba yake kwa hela ya kununua muwa!
 
Hivi "air Tanzania ndio ndege ya Rais"
Hata Mimi nashangaa Sana Rais kutumia ndege ya air tanzania YANI serikali imeshindwa kabisa kununua ndege ya Rais kweli?hizo ndege zimenunuliwa ili zifanyebiashara sasa Rais anapozitumia tena KWA safari ZAKE haipendezi hata kiusalama wake sio poa wamnunulie ndege mh Rais iwena Rangi ya pendela ya taifa letu
 
Naona maandalizi yamekamilika kule Kenya state House, tayati kabisa Rais wa Tanzania kukagua gwaride

20210504_114916.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kila rais ana style yake ya utawala.
utawala wa JPM sio blue print ya utawala wa tz.
kisa ni rais asisafiri?

mbona viongozi kibao chini ya rais wanasafir tena kwa vibali vya serikal almost every month?

Kusafiri ama kuwa na staili yake siyo hoja. Hapa tunazungumzia harakati za kupukuchulia angani na vibwekani rasilimali za Watanzania. Asije huyu Bi Mkubwa akatudanganya kuwa yeye ni JPM & JPM ni yeye. COMPLETE, TOTAL, ABSOLUTE LIE!!! Namna pekee nayoweza kumfananisha na JPM ni kwa vile anakalia, as it were, kiti alichokuwa akikalia Bulldozer. Mengine YOOOTE ni utusitusi na mafingofingo ya pwani na pangani!!!

Why haendi kutembelea SGR, JNHPP, Miundombinu ya barabara, shule, hospitals, maji and so forth!??? Sababu ni kwamba hivyo si vipaumbele vyake!!! Kama alivyokuwa yuleeee Mr Mamboooo wa awamu ya 4, huyu Bi Mkubwa naye pia lengo ni KUJISAKIA some international mileage & fame. Nothing more, nothing less!!! So pathetic & shame!!! Ingekuwa si janga la korona, nasema kweli si uongo, ningehamia hata hukoo Planet Mars ^kwenye uwanja mpya wa mapambano^!!!
 
Kusafiri ama kuwa na staili yake siyo hoja. Hapa tunazungumzia harakati za kupukuchulia angani na vibwekani rasilimali za Watanzania. Asije huyu Bi Mkubwa akatudanganya kuwa yeye ni JPM & JPM ni yeye. COMPLETE, TOTAL, ABSOLUTE LIE!!! Namna pekee nayoweza kumfananisha na JPM ni kwa vile anakalia, as it were, kiti alichokuwa akikalia Bulldozer. Mengine YOOOTE ni utusitusi na mafingofingo ya pwani na pangani!!!

Why haendi kutembelea SGR, JNHPP, Miundombinu ya barabara, shule, hospitals, maji and so forth!??? Sababu ni kwamba hivyo si vipaumbele vyake!!! Kama alivyokuwa yuleeee Mr Mamboooo wa awamu ya 4, huyu Bi Mkubwa naye pia lengo ni KUJISAKIA some international mileage & fame. Nothing more, nothing less!!! So pathetic & shame!!! Ingekuwa si janga la korona, nasema kweli si uongo, ningehamia hata hukoo Planet Mars ^kwenye uwanja mpya wa mapambano^!!!
Huyu SSH ni hasara kwa Taifa, hii miaka minne iishe tu tupate Rais na sio national comforter.
 
Sogea Chato ukapalilie kaburi, acha kulialia.. Rais lazima azunguke kulitafutia taifa maendeleo.. sio kujifungia ndani kishamba na kukwapua hela za mifuko ya jamii na hela za wafanyabiashara wakubwa.


Wewe ni wale watu wanaoacha house full of diamonds na kwenda kuleeeeeeee kuombaomba. When did you lose your delicate brain with some intelligence!??? Ni ziara ya kulitafutia taifa maendeleo au kulifutilia taifa mbali kwa kuisalimisha nchi iwe koloni la wapuuzi once more, after ^24 + 5^ good years of freedom & independence!??? ^Acres of Diamonds^ kinakuhusu sana!!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo tarehe 04 Mei, 2021 kuelekea nchini Kenya ambako anafanya Ziara Rasmi ya siku 2 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta.

#KaziIendelee

======

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amewasili nchini Kenya na kupokelewa uwanja wa ndege na waziri wa mambo ya nje ya Kenya, Balozi Amina Mohammed. Rais Samia amefika eneo la VIP uwanjani hapo na punde anaenda Ikulu ya Kenya na leo atafanya mazungumzo na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

maza atake care wasije wakam covid-19
 
Hata Mimi nashangaa Sana Rais kutumia ndege ya air tanzania YANI serikali imeshindwa kabisa kununua ndege ya Rais kweli?hizo ndege zimenunuliwa ili zifanyebiashara sasa Rais anapozitumia tena KWA safari ZAKE haipendezi hata kiusalama wake sio poa wamnunulie ndege mh Rais iwena Rangi ya pendela ya taifa letu
Ndugu yangu inaelekea uko nyuma na masuala haya...Serikali inapotumia ndege za ATC ni lazima Serikali ilipe..
 
It's true,mwacheni mwendazake apumzike,na tumwombee apite purgatory kwa amani,maana hapo ndipo pagumu kweli kupita.
*hufanikiwi kupita hapa kwa maombi ya walio hai,hapo unapita kwa wema na uzuri ulioufanya duniani.
in order to pass purgatory you hav to pass seven gates.dante alighier.asee.mdau upo vizuri
 
Kusafiri ama kuwa na staili yake siyo hoja. Hapa tunazungumzia harakati za kupukuchulia angani na vibwekani rasilimali za Watanzania. Asije huyu Bi Mkubwa akatudanganya kuwa yeye ni JPM & JPM ni yeye. COMPLETE, TOTAL, ABSOLUTE LIE!!! Namna pekee nayoweza kumfananisha na JPM ni kwa vile anakalia, as it were, kiti alichokuwa akikalia Bulldozer. Mengine YOOOTE ni utusitusi na mafingofingo ya pwani na pangani!!!

Why haendi kutembelea SGR, JNHPP, Miundombinu ya barabara, shule, hospitals, maji and so forth!??? Sababu ni kwamba hivyo si vipaumbele vyake!!! Kama alivyokuwa yuleeee Mr Mamboooo wa awamu ya 4, huyu Bi Mkubwa naye pia lengo ni KUJISAKIA some international mileage & fame. Nothing more, nothing less!!! So pathetic & shame!!! Ingekuwa si janga la korona, nasema kweli si uongo, ningehamia hata hukoo Planet Mars ^kwenye uwanja mpya wa mapambano^!!!
yeye na JPM lazima wawe tofauti. kila mtu ana uniqueness kwenye utekelezaji majukumu.
anapukuchulia angani rasilimal za tanzania .. hao waliopita walikiwa hawafanyi hivyo?

mbona ataembelei miradi? Kila kitu afanye yeye? Mawaziri wako wapi? makatibu wakuu wako wapi? nn kazi yao?
 
Huyu SSH ni hasara kwa Taifa, hii miaka minne iishe tu tupate Rais na sio national comforter.
hiyo miaka minne ikiisha atachahuliwa tena mi 5. na hamna lolote la kufanya kizazi hiki cha waoga na wanafki.
utaishi kulalamika hum lakin in reality box la kura hapa tz halichagui rais.. vipo vyombo vye kazi hiyo
 
yeye na JPM lazima wawe tofauti. kila mtu ana uniqueness kwenye utekelezaji majukumu.
anapukuchulia angani rasilimal za tanzania .. hao waliopita walikiwa hawafanyi hivyo?

mbona ataembelei miradi? Kila kitu afanye yeye? Mawaziri wako wapi? makatibu wakuu wako wapi? nn kazi yao?


Mbona wakati wa kuomba kura hao viongozi taipu yako hawawaachii the so-called mawaziri & makatibu!??? Are you even thinking, ama!???
 
in order to pass purgatory you hav to pass seven gates.dante alighier.asee.mdau upo vizuri


Neno lenyewe (purgatory) linaashiria hiyo ni njia ya kuzimu, siyo Paradise niijuavyo according to Misahafu. Acheni stori za mitaani, sawa!???
 
Back
Top Bottom