Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Huyo Mpango wanafanana na Mwigulu wanaonekana enzi hizo walikuwa washamba sana.
 
Hata Mimi nashangaa Sana Rais kutumia ndege ya air tanzania YANI serikali imeshindwa kabisa kununua ndege ya Rais kweli?hizo ndege zimenunuliwa ili zifanyebiashara sasa Rais anapozitumia tena KWA safari ZAKE haipendezi hata kiusalama wake sio poa wamnunulie ndege mh Rais iwena Rangi ya pendela ya taifa letu
Ninachokumbuka ni kuwa Rais aliyepita aliitoa iliyokuwa ndege ya rais na kuipeleka atcl ikafanye biashara na kuiteua moja ya ndege mpya kutumiwa na Raisi bila kutoa nembo ya atcl. Kwa hiyo moja ya ndege hizo mpya kati ya chapa Dodoma au hapa kazi tu ndio inatumika rasmi na Raisi. Niko tayari kusahihishwa.
 
Mbona wakati wa kuomba kura hao viongozi taipu yako hawawaachii the so-called mawaziri & makatibu!??? Are you even thinking, ama!???
Look at you. You have no idea hata mifumo ya nchi inafanyaje kazi?
Wapi umeshaona waziri na katibu mkuu anatumwa kwenye campaign akaombe kura?

Unajua hata kazi za makatib wakuu ww?

Wakati wa kuomba kura bunge linakuwa limeshavunjwa. Automatic mawaziri wanakuwa hawapo.. maana wagombea lazima waombe kura upya.. wapate ubunge.. then wakibahatika wateuliwe uwaziri.

The same to urais.. lazima apite kuomba ridhaa ya wananchi.
 
Ninachokumbuka ni kuwa Raisi aliyepita aliitoa iliyokuwa ndege ya rais na kuipeleka atcl ikafanye biashara na kuiteua moja ya ndege mpya kutumiwa na Raisi bila kutoa nembo ya atcl. Kwa hiyo moja ya ndege hizo mpya kati ya chapa Dodoma au hapa kazi tu ndio inatumika rasmi na Raisi. Niko tayari kusahihishwa.
Hakuna kitu Kama hicho..
 
Leo kapokewa na waziri wa mambo ya nje wa Kenya,safari zikizidi atakuja kupokelewa na mkuu wa mkoa au mkuu wa Nairobi Library.
Watu mnagubu sana, Mapokezi na heshima aliyoyapata mama Samia ni makubwa na yenye hadhi ya kumpokea Rais.

Uwanja wa ndege amepokelewa na Waziri na baada ya hapo Rais Kenyata akampokea Ikulu na kisha Mama Samia kukagua gwaride maalim na kupigiwa mizinga 21.
 
Huyo meko, licha ya kujifanya hasafiri nje ya nchi lakini msafara wake wa ndani unaweza kuwa ulikuwa na gharama karibu sawa tu na hizo, wewe magari zaidi ya 50, helcopter juu, mawaziri karibia wote, yanatoka dodoma hadi chato!!alikuwa anawapumbaza tu watu wajinga, eleweni tu hii ni awamu nyingine, anawatia ujinga tu eti yeye na meko ni kitu kimoja!!ona wakenya wanavyomsubiria kwa hamu, na yote ni kutokana na madhara ya meko, aliyosababisha.
Bora mala kumi ya Meko aliyekuwa anatumia barabara, maana kila alipokuwa akipita sehemu anajua matatizo ya nchi/wananchi, barabara zilitengenezwa kwasababu walijua wakati wowote Rais atapita.

Sasa huyu kila siku angani shida za nchi atazijulia wapi?kila siku atadanganywa kuwa mambo yanaenda kumbe amna kitu.Magufuri alifanikiwa kufanya vitu kwasababu alikuwa anaenda mwenyewe,akusubiri kusomewa ripoti za kupika za wasaidizi wake,hata yeye Samia alikili kuwa Magufuri ilikuwa sio laisi kudanganywa.
 
Ninachokumbuka ni kuwa Raisi aliyepita aliitoa iliyokuwa ndege ya rais na kuipeleka atcl ikafanye biashara na kuiteua moja ya ndege mpya kutumiwa na Raisi bila kutoa nembo ya atcl. Kwa hiyo moja ya ndege hizo mpya kati ya chapa Dodoma au hapa kazi tu ndio inatumika rasmi na Raisi. Niko tayari kusahihishwa.
Habari ndugu, kwakuwa umeruhusu kusahihishwa wacha nikusahihishe.

Ofisi ya Rais ina ndege zaidi ya moja, na ndege iliyoamuriwa na mwenda zake kupakwa rangi na kisha kuchukuliwa na ATCL ni ndege za aina ya FOLCKER 28 na FOLCKER 50 na sio ile mpya iliyonunuliwa enzi za kula nyasi.

Nazani unaizungumzia ile GULFSTREAM G550 ambayo iliyonunuliwa na uongozi wa Mkapa. Kama ndio hii nikuambie kuwa hiyo ndege bado inahudumu ofisi ya Rais.

Hii GULFSTREAM G550 ni moto wa kuotea mbali na ni ndege ya kufanya safari za masafa marefu (intercontinental) Imagine Bongo to USA inapasua kwa saa 9 tu na hakuna kutoa popote. Huyo mbabe wa anga huwa anatumia mafuta pale anapopaa na akishakaa kwenye eneo lake huko angani engine zake hubadilisha mfumo wa ubugiaji wa mafuta na kutumia upepo mwingi zaidi.

Sasa hapo hiyo ndege ukiituma toka Bongo to Kenya hiyo distance ni ndogo kiasi kwamba haitoshi kuiwezesha engine kujibadilisha na kufanya kazi kwa ubora wake.

Pia ukiilazimisha kwenda Bongo to Kenya lazima itapitiliza na kutoa nchi nyingine kama Misri au Sudani
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo tarehe 04 Mei, 2021 kuelekea nchini Kenya ambako anafanya Ziara Rasmi ya siku 2 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta...
Vipi yule bwana wa Mia Kenda na Hamsini na Tisa hakuomba hata kwenda kuaga aga huko?
 
Sogea Chato ukapalilie kaburi, acha kulialia.. Rais lazima azunguke kulitafutia taifa maendeleo.. sio kujifungia ndani kishamba na kukwapua hela za mifuko ya jamii na hela za wafanyabiashara wakubwa.
Umepatwa na kizungu zungu
 
Ninachokumbuka ni kuwa Raisi aliyepita aliitoa iliyokuwa ndege ya rais na kuipeleka atcl ikafanye biashara na kuiteua moja ya ndege mpya kutumiwa na Raisi bila kutoa nembo ya atcl. Kwa hiyo moja ya ndege hizo mpya kati ya chapa Dodoma au hapa kazi tu ndio inatumika rasmi na Raisi. Niko tayari kusahihishwa.
I hope si kweli, maana economically sijui imekaaje.uondoe Airbus kwenye biashara ya abiria ili itumike katika safari za raisi ambae msafara wake hauzidi watu 60.
 
I hope si kweli, maana economically sijui imekaaje.uondoe Airbus kwenye biashara ya abiria ili itumike katika safari za raisi ambae msafara wake hauzidi watu 60.
Hivyo ndivyo ninavyokumbuka na zinaendelea kutumika hadi sasa ingawa haiondoi uhalali wa mawazo yako kuwa sio matumizi sahihi kibiashara. Kingine kumbuka kuwa mwaka 2018 ndege hizo zilihamishiwa ofisi ya Raisi - Ikulu. Kwa hiyo ziko chini ya Ikulu
 
Rais Samia amezuru kaburi la baba wa taifa la Kenya na kushiriki dua na maombi zilizoongozwa na viongozi mbalimbali wa dini nchini humo.

Source: ITV

Kazi Iendelee
 
Kwa wale msiojua, ziara ya Raisi wetu haikuja Hivi Hivi tuu, inatokana na hamu kubwa walionao majirani zetu kwa ya kupata Gesi inayopatikana kwa wings nchini mwetu, Kenya imekua muda mrefu ikitaka Gesi yetu lakini utawala uliopita haukuharakisha matamanio ya majirani zetu kwasababu kwa mujibu wa Rais magufuli hakuharakisha mchakato huo kwasababu alitaka nchi ipate maslahi mazuri katika mikataba ya uvunaji wa maliasili hiyo.

Hili lililofanyika leo la kitia sahihi makubaliano ya kuipatia Kenya Gesi ni matumaini yetu maslahi aliyokua akiyapigania Marehemu magufuli yatakua yamezingatiwa kwa umakini mkubwa kwajinsi marehemu alivyoyasimsmis viginevyo maliasili yetu itaanza kupotea kama ilivyopotea katika tawala za nyuma, mungu atusaidie watawala wetu wavae moyo wa magufuli wanapofanya maamuzi juu ya raslimali yetu.
 
Back
Top Bottom