Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

MK254 usicheze mbali kutimiza adhma yako.

Mama ameshawasili kurekebisha mahusiano yaliyoraruliwa na kujeruhiwa.

Ujirani mwema muhimu sana

Hehehe!! Nimekwenda hayo maeneo nikakuta ulinzi utadhani POTUS wa USA, kwanza KDF kabisa aisei na mibunduki yao halafu wamenuna sijui wana ugomvi na nani, nikaona isiwe tabu nitamtazama kwenye runinga, nilitamani sana nimuone live, angepita karibia yangu lazima ningemuambia kitu cha kumtia moyo mama.
 
It's true,mwacheni mwendazake apumzike,na tumwombee apite purgatory kwa amani,maana hapo ndipo pagumu kweli kupita.
*hufanikiwi kupita hapa kwa maombi ya walio hai,hapo unapita kwa wema na uzuri ulioufanya duniani.
Apite wapi aseme alikoben saanane na wale waliookokwa pwani kwanza
 
Watu mnagubu sana, Mapokezi na heshima aliyoyapata mama Samia ni makubwa na yenye hadhi ya kumpokea Rais.
Uwanja wa ndege amepokelewa na Waziri na baada ya hapo Rais Kenyata akampokea Ikulu na kisha Mama Samia kukagua gwaride maalim na kupigiwa mizinga 21.
Relax mkuu.
 
Naona sasa ni mwendo wa kupukuchulia angani rasilimali za nchi yetu; sasa zile harakati za kupishana angani zinanyemelea baada ya kuzinduliwa rasmi pale kwa M7. Bi Mkubwa hasomeki, kurasa za hotuba na ahadi zake tifutifu & futefute zimefutika.

#Mtanikumbuka kwa mema, na wala si kwa mabaya.
We msukuma rudi chato kwa ndugu yako
 
Hivyo ndivyo ninavyokumbuka na zinaendelea kutumika hadi sasa ingawa haiondoi uhalali wa mawazo yako kuwa sio matumizi sahihi kibiashara. Kingine kumbuka kuwa mwaka 2018 ndege hizo zilihamishiwa ofisi ya Raisi - Ikulu. Kwa hiyo ziko chini ya Ikulu
Kwa mtindo huu itakuwa vigumu sana kwa ATCL ku- breakthrough. Aviation industry si lelemama.
 
Sogea Chato ukapalilie kaburi, acha kulialia.. Rais lazima azunguke kulitafutia taifa maendeleo.. sio kujifungia ndani kishamba na kukwapua hela za mifuko ya jamii na hela za wafanyabiashara wakubwa.
Umeona eee lile jamaa lilikuwa shamba sanaa.kagane na mseveni wanaiba congo kwa maslahi ya nchi zao sisi tunajidungia ndani kisukuma tunawaibia ndugu zetu tena kwa mitutu ya bunduki ulikuwa ujinga.
 
Kusafiri ama kuwa na staili yake siyo hoja. Hapa tunazungumzia harakati za kupukuchulia angani na vibwekani rasilimali za Watanzania. Asije huyu Bi Mkubwa akatudanganya kuwa yeye ni JPM & JPM ni yeye...
Chuki itakuua hivi karibuni!

Nonsense!
 
Kusema kweli hakuna sababu ya Tanzania na Kenya kuwa na misuguano. Hizi nchi zinategemeana mno na zikiwa na uhusiano mwema ni faida kwa mataifa yote mawili.
Wakenya hawaeleweki bro, wao ndo chanzo cha migogoro yote baina ya hizi nchi mbili..ni taabu sana kuwa karibu na failed state..
 
Katumia ile ya zamani aliyokuwa anaitumia Jakaya Kkwete au Mitambo (Airbus)zilizonunuliwa na mwamba hayati Magufuli?

Maana Airbus ni comfortable sana, hakika Magufuli umeondoka mapema sana, naamni vitu vingi vizuri vikubwa na vya maana tumevikosa.
 
Yes naona sasa hivi ndege yake ipo usawa wa Arusha ikelekea Nairobi. Hivi kwanini anatumia ndege za ATCL, ile aliyonunua Mramba ipo wapi?
Umesahau? Mwendazake aliigawa kwa ATC na hadi rangi ilibadilishwa so kwasasa ni mali ya ATCL
 
Umeona eee lile jamaa lilikuwa shamba sanaa.kagane na mseveni wanaiba congo kwa maslahi ya nchi zao sisi tunajidungia ndani kisukuma tunawaibia ndugu zetu tena kwa mitutu ya bunduki ulikuwa ujinga.
Fanya kazi kijana acha kuwaza vya bure, Magufuri aliwafundisha watu kuchapa kazi,eti kuiba congo,haende kuiba congo wakati dhahabu na alumasi zimejaa shinyanga, ndio maana kafanya mambo makubwa sasahivi analinganishwa na Nyerere aliyekaa madarakani miaka 24, wakati yeye kakaa miaka 5 tu.

Kinacho takiwa ni akili tu kutumia rasilimali Mungu alizokupa kitu kinachowashinda viongozi wengi wa Kiafrika,sasa Kenya wanaweza kutusaidia nini sanasana fitina tu.
 
Pole mataga.
Bado unaomboleza eti?

Mekoo alikuwa dikteta mbumbumbu wa uongozi. Alikuwa ametuharibia sana nchi. Wacha mama arekebishe.
Nchi hipi ilialibika? Kinyatta kaja chato mara Mbili na kupewa tausi,sasa mlitaka kitu kipi,tafuta takwimu za WB na IFM Magufuri kaipaisha Tanzania kiuchumi,kimiundombinu kuliko Rais yeyeto hapa Tanzania kwa mda mfupi,tena kipindi kigumu cha corona,pasipo misaada.Wewe unabwabwaja tu kwasababu ya chuki tu Kwa Magufuri,kama ingelikuwa kusafiri kwa Marais Tanzania ingelizidi Hon kong kipindi cha Kikwete maana akuna nchi ambayo akufika na Tanzania ilikuwa ktka 3 bora duniani kwa misaada lakini bado taifa alikusonga.Maendeleo hayaji kwa kuzurura kwa jirani zako yanakuja kwa kuchapa kazi kwa bidii na maharifa.
 
Back
Top Bottom