Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Rais Samia Suluhu awasili Kenya, aweka kidole Mkataba wa Bomba la gesi Dar-Mombasa

Naona sasa ni mwendo wa kupukuchulia angani rasilimali za nchi yetu; sasa zile harakati za kupishana angani zinanyemelea baada ya kuzinduliwa rasmi pale kwa M7. Bi Mkubwa hasomeki, kurasa za hotuba na ahadi zake tifutifu & futefute zimefutika.

#Mtanikumbuka kwa mema, na wala si kwa mabaya.
Huyo meko, licha ya kujifanya hasafiri nje ya nchi lakini msafara wake wa ndani unaweza kuwa ulikuwa na gharama karibu sawa tu na hizo, wewe magari zaidi ya 50, helcopter juu, mawaziri karibia wote, yanatoka dodoma hadi chato!!alikuwa anawapumbaza tu watu wajinga, eleweni tu hii ni awamu nyingine, anawatia ujinga tu eti yeye na meko ni kitu kimoja!!ona wakenya wanavyomsubiria kwa hamu, na yote ni kutokana na madhara ya meko, aliyosababisha.
 
Wewe ni wale watu wanaoacha house full of diamonds na kwenda kuleeeeeeee kuombaomba. When did you lose your delicate brain with some intelligence!??? Ni ziara ya kulitafutia taifa maendeleo au kulifutilia taifa mbali kwa kuisalimisha nchi iwe koloni la wapuuzi once more, after ^24 + 5^ good years of freedom & independence!??? ^Acres of Diamonds^ kinakuhusu sana!!!
Shinikiza maandamano.
 
Kusafiri ama kuwa na staili yake siyo hoja. Hapa tunazungumzia harakati za kupukuchulia angani na vibwekani rasilimali za Watanzania. Asije huyu Bi Mkubwa akatudanganya kuwa yeye ni JPM & JPM ni yeye. COMPLETE, TOTAL, ABSOLUTE LIE!!! Namna pekee nayoweza kumfananisha na JPM ni kwa vile anakalia, as it were, kiti alichokuwa akikalia Bulldozer. Mengine YOOOTE ni utusitusi na mafingofingo ya pwani na pangani!!!

Why haendi kutembelea SGR, JNHPP, Miundombinu ya barabara, shule, hospitals, maji and so forth!??? Sababu ni kwamba hivyo si vipaumbele vyake!!! Kama alivyokuwa yuleeee Mr Mamboooo wa awamu ya 4, huyu Bi Mkubwa naye pia lengo ni KUJISAKIA some international mileage & fame. Nothing more, nothing less!!! So pathetic & shame!!! Ingekuwa si janga la korona, nasema kweli si uongo, ningehamia hata hukoo Planet Mars ^kwenye uwanja mpya wa mapambano^!!!
Rais ana washauri wanaomshauri . Tumuache Rais na Serikali yake wafanye kwa njia zao . Sio lazima atumie njia za Mtangulizi wake kama unavyotaka wewe.
 
Wakati anakaribia kuingia kwenye ndege,akageuka,aka bend kidogo kama ishara ya unyenyekevu huku akiaga nikafikiria kiongozi MKUU kama yeye ni sawa kufanya hivyo kwa "surbodinate" wake? wenye kujua mambo ya protocol mtujuze.
... Samia anajua sana kwamba yeye ni mwanadamu kama walivyo wengine vyeo visimpe kiburi kwani ni dhamana tu aliyobahatika kupewa among millions! By the way, pale alikuwa hawaagi sub-ordinates bali watanzania na Tanzania ndio maana aka-bend kwa unyenyekevu kwa nchi yake sio yule mwingine "MNYENYEKEVU" kwenye mabango wakati rohoni ...

Lakini Bwana Yesu alipowaosha wanafunzi wake miguu alijidhalilisha? Hasha; aliwapa somo kwamba aliye mkuu kati yao na awe mtumishi wa wengine!
 
Rais ana washauri wanaomshauri . Tumuache Rais na Serikali yake wafanye kwa njia zao . Sio lazima atumie njia za Mtangulizi wake kama unavyotaka wewe.
... huyo jamaa aombe japo kibarua cha ulinzi wa kaburi maana inaonekana yuko obsessed sana marehemu.
 
Huyu SSH ni hasara kwa Taifa, hii miaka minne iishe tu tupate Rais na sio national comforter.
1620121654054.png
 
Leo kapokewa na waziri wa mambo ya nje wa Kenya,safari zikizidi atakuja kupokelewa na mkuu wa mkoa au mkuu wa Nairobi Library.
... Samia ni mwanamke tena yuko kwenye mfungo. Mila na desturi za mahalia sometimes huzingatiwa acha kwenda kwa mazoea.
 
Huyo meko, licha ya kujifanya hasafiri nje ya nchi lakini msafara wake wa ndani unaweza kuwa ulikuwa na gharama karibu sawa tu na hizo, wewe magari zaidi ya 50, helcopter juu, mawaziri karibia wote, yanatoka dodoma hadi chato!!alikuwa anawapumbaza tu watu wajinga, eleweni tu hii ni awamu nyingine, anawatia ujinga tu eti yeye na meko ni kitu kimoja!!ona wakenya wanavyomsubiria kwa hamu, na yote ni kutokana na madhara ya meko, aliyosababisha.
Mmmh duh...hahahaha wajinga na wasaliti wapo wengi...
 
ni mategemeo yetu kuwa ziara yake itafufua mahusiano mazuri zaidi, ya kibiashara,

pande zote zinufaike. Mutual benefits.

kwa takwimu za sasa zinaonyesha kenya ina export zaidi bidhaa zake kwa nchi ya Tanzania kuliko inavyo import bidhaa za Tanzania, jambo hili halina manufaa, sasa ni wakati kwa nchi zote ku balance masuala ya kibiashara ili nchi zote zinufaike sawa.
 
Back
Top Bottom