Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kumbe ndo maana huwa wana-project hizo desperations zao kwa wengine!Ingekuwa unaweza kuweka attachment, wangeweka cv zao. People are desperate, Nyani.
Amandla..
Anamuhitaji JK kwa ajili ya 2025 vinginevyo hatoboiiiNdiyo maana mama katoa waliokuwa wasaidizi wa Magu wote aliowarithi. Anataka aweke safu yake na JK.
Nasubiri watu kama akina Eliakimu Mwaswi,Kitwanga,Mukulo na wengineo sasa kuanza kuchomoza upya.
KumbeDokta Slaa naye atakua miongoni mwa mabalozi 23 wanaostaafu nafasi zao ndio hawa 23 waloteuliwa na mheshimiwa raisi
Hadi Hoyce Temu!
Si mlichonga sana alipoteuliwa Binti Kidoti na JPM!!?Hadi Hoyce Temu!
Ww umepataPaschal mayalla kakosa na huku pia, 😬😬😬
Hakika mkuu. MUNGU IBARIKI TANZANIA.Naam, kwenye siasa za Maziwa Makuu na Utatuzi wa Migogoro nadhani kwasasa yeye ni moja kati ya wataalamu ambao wana uzoefu na uelewa mkubwa hapa nchini. Kibarua kikubwa ambacho anacho kwasasa ni kuhakikisha anatengeneza kizazi kipya cha wataalamu, maana kile cha zamani ndiyo kinaondoka hivyo.
Hili la kuwateua vijana awengi kutoka Foreign Affairs limenigusa mno, they all have institutional memory. Naamini kabisa wakiendelea hivi tutafika sehemu nzuri,.....
Wanajuabna na mama, hana hadhi ya ubalozi...... kwa uzoefu upi katika shghuli za serikali? Huyu Mama naye anaanza vituko vya karneIla Hoyce yuko vzr vita kati ya Mange na Rachel sasa tusubiri matusi
Sababu aliwekwa na MarehemuMnadhimu Mkuu wa Jeshi kakosa nini jamani sio kawaida kumtoa at this time.....kamficha ubalozini daaa maisha yaenda mbio
Mkuu balozi wa tz ubelgiji Dkt Slaa, ndio aliyekumbukwa atakua miogoni mwa mabalozi wanaorudi nyumbani kwa umri wa kustaafuBila kumtaja Lissu huwezi kupata usingizi
Status yako inapanda ukiteuliwa kama Balozi, ile Passport inakulinda mno.Hivi kuteuliwa serikalini kibongo bongo ni dili eh?
Kweli mentality zipo tofauti sana.
Wakati baadhi yetu hatutaki kabisa kufanya kazi serikalini, wengine wanaona kufanya kazi serikalini ni zali!
Ndo maana mara nyingi wengine huwa hatuelewani kabisa humu!
I mean…ubalozi nao ni dili? [emoji1787]
Sio Msoga tu hadi wasaidizi wake wanampangia wa kuteua. Balozi Mteule Bw. Edwin Novath Rutageruka ni mdogo wa damu kwa baba na mama na Waziri Balozi Liberatha Mulamula.Naona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Hahaaa hey it’s all good!Status yako inapanda ukiteuliwa kama Balozi, ile Passport inakulinda mno.
Labda na mafao
Sent using Jamii Forums mobile app
Warudi tu hamna noma....Ndiyo maana mama katoa waliokuwa wasaidizi wa Magu wote aliowarithi. Anataka aweke safu yake na JK.
Nasubiri watu kama akina Eliakimu Mwaswi,Kitwanga,Mukulo na wengineo sasa kuanza kuchomoza upya.
"Njaa" is extremely excluded here!Paschal mayalla kakosa na huku pia, 😬😬😬
Watu wenye akili pana hawawezi kufanya kazi ya serekali.....Maisha tunayachukulia tofauti. Watanzania wengi 'uheshimiwa' ni very big deal.