Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Njaa ya Tundu ukipewa utapata vidonda vya tumbo
Kwani ananjaa Kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ananjaa Kama wewe
Hao mabalozi wapya JE locations zao zimetajwa, namtabiria Slaq kupata post kubwa zaidi.Jamani Lisu hata hajakumbukwa ubalozi wa ubelgiji?
SIO mange tu hata wanaharakati huru watamsakama sana.Hoyce Temu ameula hongera zake sana..Sipatii picha Mange atakavyomsakama jamani...Aliyebarikiwa kabarikiwa tu.
Ni kweli maana husda na roho mbaya za binadamu huwaga hazitabiriki.Hata unaowategewa wanaeza kukusakama hadi uone dunia chungu.SIO mange tu hata wanaharakati huru watamsakama sana.
Hizi nafasi 23 za mabalozi zipo wazi?au wameteuliwa Ili kuongezewa uraji tu?Yupo Hoyce Temu, Mtangazaji na mjasiriamali.View attachment 1794049View attachment 1794051
Hii comment ifanyiwe lamination kwa maslahi mapana ya kitaifaNa waliopo yanga siku zote ndo huwa wako mkondo sahihi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aasante sana mkuu nimewaza tuuu maana kule navy pia ametolewa basi sawa tuamini mambo yako shwari ....vipi JKT lakini nako shwari ?? Wajua hapo Gen 4 wameguswa in aweek.....plus Takukuru....na Ibuge ...jumla 6Mkuu sidhani kama uko sahihi. CDF na CoS appointment zao zinaenda sambamba na utaratibu uliopo ni kwamba utumishi wao unadumu miaka 4 hadi watakapotimiza miaka 60 baada ya hapo wataendelea kwa ridhaa ya Amiri Jeshi Mkuu.
Kuhusu kutofautiana nalo sidhani kama lipo kwani Gen. Mabeyo na Gen. Mohamed " wamekulia" idara moja kwa muda mrefu na wanaelewana fika.
Redeployment ya Gen. Ibuge ni sawa tu kwa sababu ile nafasi inataka a career diplomat.
Kama wewe ni mfuasi au nyumbu wa Mange basi wazaz wako wamepata hasaraMange Aliwahi Kusema Kwamba Hyo HT Ni Lesbian Kakubuhu [emoji1787][emoji1787]
Ombeni Sefue amestaafu siku nyingiNimejiuliza whay particularly Togolani Mavula anatokea kwenye thread heading, kumbe ni hivi: Huyu Togolani Mavila ana historia ya kuwa na ukaribu na Ombeni Sifue ambao wote ni wapare hivyo ni kujuana na si merit.
Miss Elsie Kanza , Mindi Kasiga wote msoga hiyo!!!
Kuna mafala humu kazi yao kubwa ni kuponda na kukandia bila hata kujua undani wake.Hoyce temu alikuwa mfanyakazi wa office ya UN dar kwa muda mrefu
Sio kupalilia tu, nalala pale zamu lindoni.Usisahau kupalilia kaburi hapo
Afrika hususani Tanzania kuna mentality fulani fulani za ajabu ajabu mpaka wakati mwingine unajiuliza hawa watu wana akili timamu kweli au ni magarasa tuKwani ukiwa miss/ mlimbwende baada hapo hautakiwi kufanya kazi nyingine au mtu yule ndio anakuwa ameharibika? huo ni mtazamo mbaya juu ya urembo, kwani urembo unatofauti gani na michezo mingine?
UNASUMBULIWA NA MYOPISMNimejiuliza whay particularly Togolani Mavula anatokea kwenye thread heading, kumbe ni hivi: Huyu Togolani Mavila ana historia ya kuwa na ukaribu na Ombeni Sifue ambao wote ni wapare hivyo ni kujuana na si merit.
awamu ya nne inahusika nini hapo acha kazi iendeleeNaona kuna remote inaongoza nchi toka Msoga.
Unaona wivu?Jakaya kikwete anaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma...