Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Amefika kumsalimia Rais Samia nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.Hivi Mh Rais Samia Bado hajahamia Ikulu rasmi kimakazi?.
 
 
Tunasubiria mzee mbayywayu akapige yake ......hamu kubwa tusubiri
 
Mahakama za yule wa tuhuma za mauji ya Kanumba ndio zilikuwa zikitoa haki. Kumbafu mkubwa.
Acha lugha chafu haikusaidii, kama unahoja iweke wazi mie nimetoa data kama una yako weka tuone.
 
Ni sawa kabisa, nami nimejiuliza kuhusu uwezo wake wa sasa juu ya utambuzi na uchakataji - uchambuzi wa kina na yakinifu wa mambo.
Huyu mzee wangemuacha tuu sio wa kumsumbua sumbua maana hata network zinakatakata, isije akaongea mambo ambavyo yatamuaibisha kumbe tatizo ni kumbukumbu
 
Usikute Mzee kuna mtoto wake anamtafutia kazi, ndiyo zake huyu,wakati anamtafutia Hussein Urais alikuwa anamsifia sana mwendazake.
 
Mama Sitti hapa paitwaje vile?.
Ikulu
Ahh Ikuluuuu[emoji28]

Mh Mwinyi tunaomba siri ya kuishi miaka mingi jmn na uko so happy.,
Siri ya kuishi miaka mingi ni 3 tu:

1.Uwe mcha Mungu

2.Usipende kufuatilia mambo ya watu yasiokuhusu

3.Acha kuweka vinyongo kwa waliokukosea
 
Hivi hebu kuwa mkweli,ni nani amemchafua mwendazake?
 
Hivi hebu kuwa mkweli,ni nani amemchafua mwendazake?

Na kujibu kwa Neno la Mungu:
Waraka wa Yakobo3:17
Lakini hekima itokayo juu(kwa Mungu mbinguni), kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.
 
Ha ha ha!

Huyu mzee Mwinyi huwa ananikosha sana

Jana baada ya kuonana na Mama Samia akawashauri wananchi kuacha balaa, ugomvi na fitna... na kuendeleza mshikamano.

Baada ya kucheka sana hasa balaa, ngoja nifikiri kwanza ili nidadavue maana yake ujumbe huu

ANGALIZO: MATAGA tulieni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…