Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Nyani haoni kunde lake, kwa uzoefu wangu humu ndani na huko nje, asilimia kubwa ya Wanaotumia hilo neno kukashifu wenzao unakuta wao hilo jina ndio linawafaa mbaya.Alimaanisha ninyi MATAGA msijeleta balaa!