luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
TBA ni watendaji sio wasimamiziMiradi ya ujenzi wa majengo ya shule na afya kwa mfano kwa nini wasifanye TBA? Kitengo cha uhandisi kule kitoke kiende TBA
Hapo ni sahihi kuanzia hawa iwnternal auditors lazima wawe responsibleeUkishindwa sema tukusaidie..View attachment 1736725
Hatujui mengi yaliyokua yanaendelea ndani combination (hayati na mama) ila kwa tafsir ya haraka haraka hiki kinachofanyika ni kua kipndi Cha hayati maamuzi yalikua yanatolewa na mtu mmoja tu na mawazo ya mama hayapewi nafasi,ila kwa jicho lingine hotuba ya mama leo inatoa kengele kwa watu wafuatao wajiandae kisaikolojia jafo,waziri mkuu, na Yule wa azina waliochota mapesa kipind cha hayati akiwa mgonjwaMama mh Rais awe makini alikuwa msaidizi No 1 wa JPM. Asifikirie wenye akili watamchukulia kama wanavyoweza kumchukulia Waziri wa JPM. Mapungufu ya serikali ya JPM ni mapingufu ya Naibu wa Rais wake pia. Aangalie anavyo siriba kwa kupaka matope maana anajisiriba.
Hili la bandari kampaka matope PM kiaina flani hivi. Walengwa wakupigwa spana tayari wanaanza kuonekana.
Yaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi.
Hata kabla hajaoza kaburini anaonekana ni mwizi. Tulisema mapema tukaonekana wasaliti kiko wapi sasa.
Cha ajabu wala maboga wanajinadi mtaani kuwa kimetoka chuma kimeingia chuma.
Acha kwanza nitafakari hizi kauli labda uwezo wangu wa kuwaza unaanza kuchoka.
Mama yangu wee wakusaidiwa wapo wengi sana humo ndani [emoji17][emoji17][emoji17]Mh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)
Ushauri.
Mh Seleman Jafo jipange; Halmashauri, Hospitali,miradi ya ujenzi wa shule n.k hela zinapigwa sana, vituo vya afya EFD mashine hazitumiki vilivyo. Fuatilia Mama Samia hatakuhurumia atakutumbua shauri yako.
Praise and Worship gang walishasema Jaffo ni Rais wa JMT anayesubiri muda tu. Leo tena hafai, jamani!!!
Kumbe manyani ni sahihi kushangilia bila kuhofia kufa make kama njaa imetupiga miaka 5 bila kufa sembuse hii miaka 4 iliyobakia ya awamu 5.
Mkuu usitetee madudu. Ma DED unaosema wapo chini yake, kama ndio wana mkwamisha yeye kama waziri amechukua hatua gani?Jafo wanamuonea tu,wakurugenzi wengi wameingia kwa kiki za uanachama wa kijani pia ni vilaza mno hawawezi kusimamia pesa za serikali.Aanzia kwa hao DED ndo shida zipo
ugha yako, haina staha wala ukomavu japo hoja yako ni murua kabisa. Tatizo la TAMISEMI Hayati Magufuli alilisema sana na katika uongozi wake zaidi ya 82% ya upigaji umeondoka. Bado hizi chache, na Rais wa sasa anatakiwa akaze buti, uzuri walikuwa wote na Rais Magufuli. TAMISEMI haina kikomo kupambana. Sijaona mheshimiwa Rais akiwatoa Wakurugenzi, lakini nina imani atawanyofoa baadhi kama Mtangulizi wake Hayati JPM alivyokuwa anafanya. Na hii report angeipokea JPM (Kama angekuwa hai, yawezekana Jafo angeondoka leo) japo simuombei aondoke. TAMISEMI pagumu sana. Watu wengi kule wanafanya kazi kwa mazoea na hawajali. Kingine Muhimu tusome report ya CAGYaani juzi tu wala maboga walibwatuka kuwa jiwe ni Rais pekee aliyeweza kuikoa Tz na genge la wezi.
Hata kabla hajaoza kaburini anaonekana ni mwizi. Tulisema mapema tukaonekana wasaliti kiko wapi sasa.
Cha ajabu wala maboga wanajinadi mtaani kuwa kimetoka chuma kimeingia chuma.
Acha kwanza nitafakari hizi kauli labda uwezo wangu wa kuwaza unaanza kuchoka.
Kiukweli waziri wa tamisemi inafaa awe engineer wa kusomea kabisa maana ujenzi ni mwingi tizama mbezi stand BOQ ikasukwa kupigwa bil 15 sasa wamepiga ngapi nani anajua?? huyu bitozi masuti itamtesa apewe kawizara ka mazingira na usafi
Dogo mmeshikwa pabayaPunguza speed ili uandike kitu chenye "CONTENT" Makosa ya kiuandishi yanaweza kuondoa credibility yako!!
"Anahonywa" sijui kiswahili gani hiki, huwa nakereka sana na watu msioweza kujua matumizi ya herufi"h"
Anyway, kujiuzuru ni rahisi kuizungumza, hata hivyo watajiuzuru wangapi? Kwakuwa amepewa nafasi nyingine ya yeye kufuatilia agizo hilo, tusubiri utekelezaji wake kisha tutahoji nafasi yake ya uwaziri!!
Ahsante!
Report ya CAG sisi wananchi wa kawaida tunaipata wapi?Sijapenda L
ugha yako, haina staha wala ukomavu japo hoja yako ni murua kabisa. Tatizo la TAMISEMI Hayati Magufuli alilisema sana na katika uongozi wake zaidi ya 82% ya upigaji umeondoka. Bado hizi chache, na Rais wa sasa anatakiwa akaze buti, uzuri walikuwa wote na Rais Magufuli. TAMISEMI haina kikomo kupambana. Sijaona mheshimiwa Rais akiwatoa Wakurugenzi, lakini nina imani atawanyofoa baadhi kama Mtangulizi wake Hayati JPM alivyokuwa anafanya. Na hii report angeipokea JPM (Kama angekuwa hai, yawezekana Jafo angeondoka leo) japo simuombei aondoke. TAMISEMI pagumu sana. Watu wengi kule wanafanya kazi kwa mazoea na hawajali. Kingine Muhimu tusome report ya CAG
Tickson nzunda alifanya kazi yake kwa weledi na alikuwa na maono makubwa ya kuboresha elimu yetu lakini jiwe hakupenda hicho kitu ndio maana akamuondoa kwenye unaibu katibu na kisa cha kuondolewa kwake ni pale Nzunda alipotaka kuajiri walimu wenye digrii kufundisha primary, jiwe akaona anaingizwa kwenye bajeti kubwa ya mishahara akamuondoaRais amteue bwana Tickson Nzunda kuwa katibu mkuu Tamisemi maana aliwabana Sana wapigaji akiwa Naibu anaeshughulikia elimu ,atamsaidia.
Pia wazari Jafo kama anaona kuna watu chini yake hawafanyi vizuri si awaseme kwa boss mama wapigwe chini?
Wewe unadhani waziri atawachukulia hatua gani maDED? Yeye sio mamlaka ya uteuzi au utenguzi wao, hiyo mamlaka anayo Rais. Jafo hawezi hata kuwaweka ndani siku moja mbili. Hiyo mamlaka wamepewa wakuu wa mikoa. Rejea alivyokuwa analalamika akiwa geita juu ya wale maafisa ardhi na mkurugenzi waliofanya madudu. Ni Mongela RC wa mwanza ndio alikuja kusema hiyo mamlaka yeye anayo na akawaweka ndani.yeye Jafo sana sana atakachoweza kufanya ni kuwabwekea tu na kuwashitaki kwa mamlaka iliyowateua, si zaidi ya hapo. lazima wamvimbie na kumpuuza.Mkuu usitetee madudu. Ma DED unaosema wapo chini yake, kama ndio wana mkwamisha yeye kama waziri amechukua hatua gani?
Jifunze matumizi ya "r" na "l" unaharibu lugha yetu.Nimesema,aliwadhihaki waliomtangulia kua nchi wameihalibu.
Matokeo yake yeye ndio kaihalibu zaidi.
Ila mungu nae hajawahi kuwaacha watanzania wanyonge wasiokua na hatia.
Ogopa sana kumuumiza na kumnyanyasa mtu masikini asie na hatia mungu hawezi kumuacha aendelee kunyanyaswa na kuzibwa mdomo pale anapodai haki yake.
Matokeo yake hata miaka 10 haikuisha nchi imehalibiwa kuliko vipindi vyote tangu kupata uhuru.
Tunashauri ukubwa wa Baraza la mawaziri upunguzwe wewe ndo kwanza unataka wizara moja iwe na mwaziri sita! Labda nawe NI mnufaika wa hizo teuzi.Kwanini TAMISEMI isikatwe kikanda.. iwe na waziri na manaibu waziri sita. NAIBU WAZIRI TAMISEMI 1)lake zone, 2)central zone, 3)northern zone, 4)coast zone, 5)southern highlands zone na 6)west Tanzania zone.
Hawa manaibu wawe specific kwa maeneo hayo sawa sawa na Manaibu Katibu wakuu wao. Labda itasaidia