Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Jamani baadhi ya wabunge mnapaswa mumuadress Samia kama rais Samia siyo Mama Samia.
 
Madame President anawakata Umeme TEAM CHAWA (wazee wa kusifu na kuabudu) taratibu huku wenye hali ngumu anawaomba kuwasaidia... Madame President anaonyesha Upendo wa AGAPE katika taifa la wana wa BABELI..
 
Moderator siyo kila mtu ni rafiki, huu uzi hauhusiki na hii mada nini kimewafanya kuunganisha😬?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…