Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Jina hilo limepelekwa Bungeni na Mpambe wa Rais (ADC) Kanali Nyamburi Mashauri, na kukabidhiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai akisoma ujumbe wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema..

Mheshimiwa Spika, nawasilisha Bungeni Jina la Mheshimiwa Philip Isdori Mpango kwa Nafasi ya Makamu wa Rais Tanzania.


Itakuwa kampa "ubuyu mnene" wa kina Dotto ndo maana!!
 
Makamba wa kigogo hajatokelezea tujiandae Sasa kigogo kuanza kuchafua Hali ya hewa km kawaida yake maana aliekuwa anampigia pande hayupo au tusubr majaliwa apigwe chini timu msoga wapate u-pm
Many did not see this coming, huyu ni Mh. Raisi hapangiwi na mtu
Hakuna cha gogoki, msoga, chato, wala wapi
Sasa watu ndio wanajua kwamba kuna The Number 1
 
Back
Top Bottom