Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Rais Samia Suluhu Hassan ampendekeza Dkt. Philip Isdor Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Bunge lamthibitisha kwa 100%

Namkumbuka VP. Mpango alivokomaaga pale bandarini ili mkuu wa mkoa wa Dar wa zamani alipe kodi ya fenicha alizoingizaga toka nje. Mpaka JPM alipo ingilia kati. Daaa! hesabu za mama ni kali.
 
zam hii kanda ya magaharibi -- Kigoma moja tumekumbukwa hahahahah Big up Mama SAMIA kwa good selection..KIGOMA OYEEEEEEEEEEEE
Au sio😀 kwaio unamwambia zito arudi home mkavue migebuka?
 
Mnyukano ndani ya shambani kati ya mazao ya kale na mazao kizazi kipya yametifuana sana na hakuna anayetegemea mpaka sasa kama mazao yaliyorutubishwa kiwandani yangepata nguvu ya kuzidi mazao ya asili.

Picha hii inanikumbusha yule kijana ambaye alitegemea mzazi wake aliyekuwa kigogo kwenye ofisi ambayo yule kijana alipata nafasi kutokana na babake.

[emoji1485]Aluta continue...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
how old is this guy ?

a replica of Ghalib Bilal

harmless, aloof, lethagic, tired and sickly
 
Back
Top Bottom