NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ilo fukuto la wajuba wanaotaka nafasi 2025 analijua na yule mama yupo smart, sidhani kama atatamani kuwania tena baada ya hii minne.Mzigo mkubwa sana kwa samia...
Kwanza ccm wanaomba ashindwe wapate sababu ya kumpiga chini 2025
Ile nafasi ni tamu na mwanadamu kaumbwa na tamaa, tusubiri tuone kitakachotokea huko mbeleni.