Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia katoa masharti mapya ya kurudi nchini?Ile ni haki yake mpuuzi wewe
Jeuri yenu kwish wapuuzi nyie
Si aseme tu kanogewa kuwa huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia katoa masharti mapya ya kurudi nchini?Ile ni haki yake mpuuzi wewe
Jeuri yenu kwish wapuuzi nyie
Maandalizi ni muhimu kuepuka michubuko na mikwaruzano.Amesema JPM alimuandaa vizuri!
Lazima warudi hao.Akibadilisha mawaziri nina hakika January Makamba na Nape wanarudi tena. Na kuna wengi mashawishi watapigwa chini
Basi watamalizia wenginemaandalizi ni muhimu kuepuka michubuko na mikwaruzano.
Dodoma iko palepale mkuu, tuliza mihemkoNataka nione kama hawa jamaa wataendeleza juhudi za serikali kuhamia Dodoma, naona dalili kama mambo yatakuwa tofauti.
Yes. Yeye na team yake watajua yapi mazuri ya kuyaendeleza na yapi mabaya ya kuachana nayo. Mtangulizi wake hakuwa Mungu, hivyo kuna yasiyofaa aliyatenda ambayo hayafai kuendelezwa.Yap Mama achape kazi,keshasema kapikwa na aliyemtangulia.
Kabisa, mazuri abebe mabaya atupe kule.Mama aendeleze mema yote ya JPM.
Hii ndio inahalalisha jamaa yetu kuendelea kunogewa kuwa ng'ambo?Baba ako hajawahi kuvuka hata mkoa aliozaliwa
Huyo ni mjumbe bwasheeNaona mpaka Mwinyi nae anaingia kikaoni, au ndio anachukua nafasi ya VP kwa muda?
Nani akakae Dodoma Jangwani? Mwendazake Mwenyewe amefia Dar.Nataka nione kama hawa jamaa wataendeleza juhudi za serikali kuhamia Dodoma, naona dalili kama mambo yatakuwa tofauti.
Patience is a virtue...not everyone is blessed with.Membe amekosa umakamu rais kizembe 😂😂😂
Katiba haisemi hivyo. Vinginevyo hao mawaziri watakuwa wanaongozwa na kivuli cha Mwendazake Magufuli.Mkuu si lazima afanye hivyo.. anaweza kuendelea na baraza hili lililopo, kulibadilisha au kutokulibadilisha ni uamuzi wake mwenyewe au anaweza fanya mabadiliko madogo tu...
Mmhh Daudi Mchambuzi .....maandalizi ni muhimu kuepuka michubuko na mikwaruzano.
Haiwezekani Rais na Makamu wake watoke upande mmoja wa Muungano, Makamu lazima atoke Bara.Naona mpaka Mwinyi nae anaingia kikaoni, au ndio anachukua nafasi ya VP kwa muda?
Na kwa taarifa baraza halivunjwi, kasi ni ile ile ya KAZI TU.Hawezi kuteua kabla ya kulivunja hili lililopo!
Jiwe limesagika kudadadekiHii ndio inahalalisha jamaa yetu kuendelea kunogewa kuwa ng'ambo?
Ndiyo mkuu na Lissu na chadema wako Ikulu sasaJiwe limesagika kudadadeki
Weka picha achaga longolongoRais Samia Suluhu Hassan muda mchavhe ujao ataongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri.
Updates;
Mawaziri wote wako ukumbini wakiongozwa na waziri mkuu na tayari Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi ameshaingia ukumbini.
Rais wa JMT mama Samia ameingia ukumbini na kufungua kikao na sasa majadiliano yanaendelea!
Huyu anamalizia kazi tu. Hawezi Fanya mabadiliko makubwa. Ni Rais kwa mujibu wa katiba sioAfanye mabadiliko makubwa hawa akina Mwigulu, Mkumbo sijui Gwajima afukuze mara moja
Hahahahaha najua imekuuma ila hakuna mji udumuo milele wala dhulma haina ujira mwema!!Ndiyo mkuu na Lisu na chadema wako ikulu sasa