Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6


Watu wasomi wa ukweli hawalishwi tango pori!! Awamu zinatengezwa na Uchaguzi Mkuu!! Mama kutaja Awamu ya Sita inawezekana alikosea kama Bin Adam yeyote!!! Kama alikosea kutaja siku za maombolezo sembuse Awamu!!! Tumia bongo brother!! Sio unameza tu!!! Period!!
 
Sawa mkuu, hii na awamu ya 5, rais wetu ni JPM, SSH anamshikia tu!
 
You are trying to get in 🤣 don't stop mkuu slow but sure, with full of praise.
 
Mwenye urais kasema yake ni awamu ya 6....full stop! Anataka kutengeneza legacy yake.....

BTW, hivi katiba yetu kwa namna ilivyo sasa ina maana kuna uwezekano Samia akawa Rais kwa miaka 15 (hii almost 5 mpaka 2025 na kumi tena mpaka 2035)?
 
Sasa mkuu kwenye Hansard kule Dodoma, pana umbali gani uache kwenda huko, kuandika hiki! Alafu kusema mama SSH amepewa urais ni kumkosea rais wetu! Mama SSH alikuwepo kwenye ballot paper na alipigiwa kura sambamba na Mwendazake, kwa makusudi haya haya ya kuchukua madaraka nafasi ikiwa wazi! Sasa Wewe unaleta mambo ya kupewaa, hata kama mmeumizwa na msiba wa yesu wenu wa lugola, hebu kuweni serious bhana!
 
Tango pori or no tango pori unapata wapi kama huna reference. Mahaba ya mwendazake yanakusumbua sana. Hakuna mahali hata pamoja palipoandikwa awamu zinatengenezwa na nani au na nini. Tumekwambia habari ya awamu haipo kwenye msamiati wa katiba au sheria yoyote ile. Aliyelileta kwenye siasa za uchaguzi lilikuwa linamfaa yeye. Sasa usitake kulazimisha kwa logic za kutunga kwamba awamu zinaletwa na uchaguzi. Haijaandikwa mahali popote. Argue kama mtu anayejitambua na mwenye utimamu wa akili. Au peleka bungeni hoja kuwa ssh ni rais wa awamu ya tano. SSH ni rais wa awamu ya sita na hanasibishwi na awamu ya tano. Deal with it
 
Tundu lisu, ww hata ukijikwaa huko Imhotep utamtukana Magu! Utakoma sasa Mungu ameamua kumpumzisha na kumficha mbali na matukano yenu mfyuuuuuu 😡!
Taga lenye kivuli cha mwendazake
 
Kinachosababisha vipindi vya uongozi vihesabike kwa 'awamu' ni hesabu ya kawaida ya kuwahesabu viongozi.
1. Nyerere
2.Mwinyi
3.Mkapa
4.Kikwete
5.Magufuri
6.Samia.

Hivyo wewe ndo unapaswa ujitafakari.
 
Ikitokea huyu naye kafariki na mpango kuingia kisha naye kafariki na mwingine kuingia tutasema tumekuwa na awamu nne ndani ya miaka kumi!!?
Naam, Mbona tulikuwa na awamu moja ndani ya miaka 24?.
 
Mnachamnganya ninyi mapopoma [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]! Samia ni rais wa 6 anayehudumu awamu ya 5 period [emoji23]!
Nini kinasababisha tuite awamu ya kwanza,ya pili n.k?
 
Civics ni somo muhimu sana. Hii ni awamu ya tano. Awamu inabadilika pale kunapokua na uchaguzi mkuu na akachaguliwa Rais mwingine
Awamu ni hesabu ya kawaida ya kuhesabu viongozi personally.Haijaloshi katawala kwa miaka 24 (Nyerere),Miaka 10 au sita (Magufuri).

Haijalishi kaingiaje, uchaguzi wa Chama kimoja, uchaguzi wa vyama vingi au Kwa kuiba kura kama fulani.Haijalishi aliingia kwa kura ama kwa kuapishwa baada ya Mtangulizi kufa.

Hivyo Samia ni Rais wa awamu ya Sita.
 
Kwa maelezo yako,je Nyerere anakuwa na awamu ngapi hapo?.
Jitahidini kuvumilia maumivu,mkubali ihalisia wa Mambo.

Mh Samia ni Rais wa awamu ya Sita.
 

Hii ni Awamu ya 6 maana awami ni rais.

Nyerere ni awamu ya kwanza japo hakuongoza miaka 10 bali 23...Kwahiyo dhana yako ya vipindi basi umekosea,what if 2020 oct NEC wangetenda haki akaingia lissu,je ingekuwa ya 5 au 6? Kwahiyo awamu sio miaka bali ni rais.
 

Kama Awamu hazipo ( kwa mujibu wa kauli yako) ilitakiwa baada ya Rais Magufuli kufariki uitishwe Uchaguzi Mkuu!! Na Mama angegombea na kama angeshinda kweli angeita hii ni Awamu ya 6. Ili kuondoa Awamu za uongozi inabidi Katiba ibadilishwe na iseme wazi pindi Rais anapofariki Nchi itakuwa chini ya Jaji Mkuu kwa kipindi cha Miezi 6 ili kupisha maandalizi ya Uchaguzi wa kuchagua Rais Mwingine. Sio hii ya kupasiana kijiti ndani ya Awamu then mnaita ni Awamu yenu ndani ya Awamu ilitowapa Madaraka!! Nonsense!!
 
haya waambie waitishe uchaguzi ili mama agombee kama unavyotaka. maana anachokitambuab rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia ni kuwa hii ni awamu ya 6. halafu kama kama uko dodoma hebu waone wataalamu wa afya pale kwenye hosptali yetu pendwa hapo dom
 
Neno awamu tumelitumia sana kwa marais wa Zanzibar ambako Karume alikufa na Aboud Jumbe alijiuzulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…