Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6

Rais Samia Suluhu Hassan: Hii ni Serikali ya Awamu ya 6

Angalau ametoa ule mkanganyiko, japo ni awamu ya sita lakini ilani inatumika ya awamu ya tano au anaandaa ya awamu yake, niweke sawa kidogo hapo chief.
Awamu bado Ni ya tano.Awamu ya tano iliisha lini?

Awamu ya uraisi Tanzania ni miaka kumi, siyo mitano .

MH.Samia bado anahudumu ktk awamu ya tano akiwa Rais wa 6.

Awamu ya tano inakamilika 2025.
 
Raisi hakosei kwan
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.

Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Awamu bado Ni ya tano.Awamu ya tano iliisha lini?

Awamu ya uraisi Tanzania ni miaka kumi, siyo mitano .

MH.Samia bado anahudumu ktk awamu ya tano akiwa Rais wa 6.

Awamu ya tano inakamilika 2025.
Lakini mdau kasema Mh. Rais mwenyewe ndio kasema hii ni awamu ya sita, sasa mimi nani mpaka nibishe.
 
Mfano Marekani Biden ni Rais wa 48 katika awamu ya 47 nadhani..so huwa iko hivyo
Hamna. Awamu inaendana na rais. Huyu ni rais wa 6, awamu ya 6. Biden rais wa 48 awamu ya 48. Haijalishi huyo rais kaptakana kwa kura au kwa kifo au kwa mapinduzi. Awamu mpya, rais mpya
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.

Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Suala sio kuamini au kasema nani

Suala ni kwamba, huu ni muendelezo wa serikali ya awamu ya tano (japo rais ni wa 6)

Hii ni awamu ya 5
 
Awamu moja yenye miaka zaidi ya kumi bt kipindi hcho kilikuwa ni kipindi cha zidumu fikra za mwenyekt.
Kwa maelezo yako uhalali wa awamu ina miaka kumi una walakini boss.

JPM angeongezewa miaka 5 angekuwa ametawala awamu ngapi?
 
Awamu si miaka ni raisi/mtu/binadamu.
Nakubaliana kupingana na wewe...awamu ni term ya Uongozi..Yani ni nyakati kwa namna nyingine tunaweza kusema..Yaya nyakati hii BADO ni ya awamu ya tano yenye Serikali ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ..mwaka 2025 ikigombea akashinda anakuwa Rais wa 6 katika awamu ya Sita Kama atakuwa Rais Mwingine akishinda anakuwa Rais wa Saba katika awamu ya Sita..Angalia Marekani ndio utaelewa ..
 
Najua hamjazoea zoea viongozi kufa wakiwa madarakani. Mkishazoea, haya maswali mnayoleta yatakuwa na majibu!

Kiufupi, mambo ya awamu au ilani hayana maana yoyote wala nguvu kisheria. Lini Rais amewahi kuhukumiwa kisiasa au mahakamani kwa kushindwa kutekeleza ilani?
 
Hamna. Awamu inaendana na rais. Huyu ni rais wa 6, awamu ya 6. Biden rais wa 48 awamu ya 48. Haijalishi huyo rais kaptakana kwa kura au kwa kifo au kwa mapinduzi. Awamu mpya, rais mpya
Biden ni wa 48 katika awamu ya 47 mzee mbona mbinshi...wakati kila kitu kipo wazi aisee..awamu ya kiongozi ama rahisi..inaukamilifu wake kwa mujibu wa Kati a bila kuzingatia kifo chake ama mapinduzi...inamaana kwa ufahamu wako JPM angekufa mwaka jana ama juzi ama mwaka 2018 akaingia mama Samia ungesema ni awamu ya ngapi na hii ya mwaka huu uingiita awamu ya ngapi!?

Mzee..hizi awamu zinapangwa kupingana na Mambo mengi ikiwemo mipango ya Serikali kwa mtiririko..lakini pia ndio umri..ama miaka ya Serikali za Dunia huwa zinahesabiwa hivyo..haswa katika nchi za kidemokrasia
 
Awamu moja ni miaka mitano, sasa yy atarun kwa miaka mitano?
Awamu inategemea kuapishwa kwa Rais mpya hivyo ndani ya miaka mitano kunaweza kukawa na awamu hata zaidi ya tano kutegemea wamehudumu Marais wangapi.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.

Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Sawa mama Sasa kaa vizuri ,anza KWA makatibu wakuu wa wizara fanya Mambo kulingana na unyeti wa wizara, shuka KWA wakuu wa mikoa na wilaya Kuna vimeo vingi huko,
 
Angalau ametoa ule mkanganyiko, japo ni awamu ya sita lakini ilani inatumika ya awamu ya tano au anaandaa ya awamu yake, niweke sawa kidogo hapo chief.
Ilani haiwezi kuwa na awamu bali ni malengo ya chama cha siasa yanayotarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miaka mitano. Ndiyo sababu kipindi cha Kwanza cha Magufuli kilikuwa na ilani yake na kipindi hiki pia kina ilani yake.
 
Lakini wateule wa rais wapo chini ya kiapo cha agano lililopita.

Kumaanisha hii ni awamu nyingine lazima kuwe na agano kati ya wateule na mteuaji. Agano halithibitiki bila kiapo!
Agano ni ilani ya mipango ya maendeleo ambayo CCM iliahidi kutekeleza ndani ya miaka mitano ambayo ilinadiwa na wote madiwani, wabunge na Rais.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.

Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Awamu ya sita. Raisi mpya,Awamu mpya. Siku Mpango akiwa Rais itakuwa awamu ya Saba.
 
Back
Top Bottom