vannistelrooy
JF-Expert Member
- Jan 31, 2017
- 317
- 652
Wewe ndio unamchukia hivyo, sisi tunampendaRaisi Samia anatakiwa ajitathmini kwanini anachukiwa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unamchukia hivyo, sisi tunampendaRaisi Samia anatakiwa ajitathmini kwanini anachukiwa hivi.
Unaishi wapi ndugu?Wewe ndio unamchukia hivyo, sisi tunampenda
Na. Nimikataba ya niniii vileHivi Kwa ziara ya kualikwa Kama hii je huo mkataba na hizo hati zinazosainiwa zinakuwa zimeandaliwa na nchi gani?
Huyu kwa miaka yake minne bila shaka atavunja rekodi ya Vasco Da GamaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Mama ifungue nchi
Wqmfumdishe kuachana na u DiktetaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Wwe mgeni nchini.diplomasia ilikufa awamu iliyopitaKwani ilifungwa ?
Aliifunga nani na lini?...
Niombee kaka. Niwe nasafiri kila siku.Tukuombee nawe uupate Urais
Safi Sana Samia, Ngosha ameturudisha Sana nyuma kidiplomasi na kiuchumi,una kazi kubwa Mh. Rais kuweka Nchi kwenye mstari,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Wwe mgeni nchini.diplomasia ilikufa awamu iliyopita
Ccm.katiba ya kidikteta.Hairuhusu kumpinga kumkosoa anaekuweka mjini so unachagua utumie professional ufe njaa au utii maagizo njia ya chooni isiote nyasiChini ya uongozi wa chama gani ?
Kama ni kweli inamaana kuna tatizo kubwa sana mahali.
Kwa hiyo alipokuwepo kumbe walikuwa wanaona anakosea lakini walimwacha afanye atakavyo yeye?
Je angeendelea kuwepo hali ingekuwaje zaidi kama ni hivyo?
Kumbe mtu mmoja anaweza kufanya atakavyo bila kuonywa na mtu , watu au chombo chochote?!
Mbona watu walikuwa wanaonesha kumkubali sana na kumsifia kupita kiasi?
Je tuchukulie kuwa ni unafiki ulopitiliza au ujinga au ni nini?
Inashangaza sana kama ni hivyo.
Tembea mama hata hivyo mwenye machungu na nchi alishakufa, et ushirikiano na misri wa nini ? Au wanaenda kukushawishi tusiendelee kutumia maji ya Victoria? HAYA malizia muda wako CCM wakikupitidha watakuwa WAPUMBAVU na wenyeweRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu.
Ziara hiyo ya Kiserikali ya siku tatu inafuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Katika ziara hiyo, Mhe. Rais Samia pamoja na mambo mengine anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake katika maeneo kadhaa ya ushirikiano kati ya Tanzania na Misri ikiwemo nyanja za
diplomasia, uchumi, siasa, elimu, utalii na huduma za kijamii
Mhe. Rais Samia na mwenyeji wake pia wanatarajiwa kushuhudia utiaji saini mkataba mmoja (]) na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
View attachment 2004534
View attachment 2004542
Mama yenu mpumbavu Sana alibadilishia Njiwa angani , huyu ni Zaid ya Vasco dagama wa Wa 2010Ccm.katiba ya kidikteta.Hairuhusu kumpinga kumkosoa anaekuweka mjini so unachagua utumie professional ufe njaa au utii maagizo njia ya chooni isiote nyasi
Yeye anaishi unguja. Victoria inawahusu kanda ya ziwaWaongeee yote lkn asijekushawishiwa juu ya kuacha kunywa maji ya ziwa Victoria hatumuelewa kabisa.
JPM tutamkumbuka , Hiki ni kizazi cha JK. Akirudi atakwenda BruneiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu.
Ziara hiyo ya Kiserikali ya siku tatu inafuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
Katika ziara hiyo, Mhe. Rais Samia pamoja na mambo mengine anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenyeji wake katika maeneo kadhaa ya ushirikiano kati ya Tanzania na Misri ikiwemo nyanja za
diplomasia, uchumi, siasa, elimu, utalii na huduma za kijamii
Mhe. Rais Samia na mwenyeji wake pia wanatarajiwa kushuhudia utiaji saini mkataba mmoja (]) na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.
View attachment 2004534
View attachment 2004542