Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

Rais Samia Suluhu Hassan kufanya ziara ya siku 3 Nchini Misri

Mhe. Rais Samia na mwenyeji wake pia wanatarajiwa kushuhudia utiaji saini mkataba mmoja (]) na hati saba (7) za makubaliano kati ya Tanzania na Misri.

Ni jambo jema rais wetu kualikwa. Hata hivyo, tungependa kujua.
Mkataba unahusu nini? Vipi hizo hati?
 
Maendeleo hayana chama,piga kazi mama, nenda katutafutie fulsa cc vijana wako.
 
Hivi anafahamu kweli kuhusu huu mfumuko wa ghafla wa bei wa bidhaa mbalimbali na hasa zile muhimu? Au ndiyo ameamua tu kuwaachia wafanyabiashara wasio waaminifu kujiamulia vile wapendavyo!

Anashindwa hata kumwagiza Waziri mkuu/Waziri mwenye dhamana kufanya uchunguzi juu ya jambo hili! Au anafahamu kinacho endelea na hivyo ameona ni wakati wake kupuyanga kwa watu, huku wananchi wakiendelea kuumia?
She is clueless

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nyumba nyeupe hapakaliki,kajamaa kanamtokea kila leo, njia pekee ya kimsaidia ni kuhakikisha anapata safari za kila mara ndani ya miaka yake minne.

Anapitia kipindi kigumu sana,sio kwamba anapenda.
Kamfanyaje mpaka amtokee
 
Nyumba nyeupe hapakaliki,kajamaa kanamtokea kila leo, njia pekee ya kimsaidia ni kuhakikisha anapata safari za kila mara ndani ya miaka yake minne.

Anapitia kipindi kigumu sana,sio kwamba anapenda.

Mkuu
Umetisha sana

Mpwani naye yuko hoi, Halali usiku

Anawaona ndugu zake ambao walishakufaga
zamani.....

Ugali moto.....
mboga moto....
 
Nashauri uanzishwe uzi wa kuorodhesha idadi ya ziara za Mama kama ilivyofanyika kipindi cha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete!
 
Back
Top Bottom